Kwanini Rais Samia anataka kusifiwa zaidi kuliko kukosolewa?

Kwanini Rais Samia anataka kusifiwa zaidi kuliko kukosolewa?

Kwasababu anajua hana zuri la kuweza kufanya asifiwe hivyo inabidi anunue sifa.

Sifa za kununua na za uongo ni bora kwake kuliko kukosolewa kwa ya kweli.

'Mama' ni mithili ya nyumba ya udongo iliyopigwa lipu na rangi za kuvutia. Kimuonekano wa nje ni nzuri ila haibadilishi uhalisia kuwa ni nyumba ya udongo.
 
Mama Samia amekuwa akisifiwa na kupambwa kila mahali hapa nchini.

Watu wanaomsifia mama, hawatekwi, hawapotezwi, wanapata nafasi za uoendeleo na teuzi kedekede.

Lakini kwa wakosoaji hali ni tofauti, wakitekwa na kupotezwa hamna anayejali.

Sativa alikutwa na Jambo, akamtaja @mafwelele kuhusika, lakini hamna kilichofanyika na hali inazidi kuwa mbaya zaidi.

Kina Soka wana miezi zaidinya siita sasa hamna anayejali Usalama wao wala uhai wao.

Watanzania tuna haki ya kuishi salama, kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, ukawe mwezi wa huruma na sio mwezi wa hujuma.

Kukosolewa na kusifiwa ndio ubinadamu wenyewe.
Ndivo alivokuambia ? wewe kishtobe tu .
 
Mama Samia amekuwa akisifiwa na kupambwa kila mahali hapa nchini.

Watu wanaomsifia mama, hawatekwi, hawapotezwi, wanapata nafasi za uoendeleo na teuzi kedekede.

Lakini kwa wakosoaji hali ni tofauti, wakitekwa na kupotezwa hamna anayejali.

Sativa alikutwa na Jambo, akamtaja @mafwelele kuhusika, lakini hamna kilichofanyika na hali inazidi kuwa mbaya zaidi.

Kina Soka wana miezi zaidinya siita sasa hamna anayejali Usalama wao wala uhai wao.

Watanzania tuna haki ya kuishi salama, kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, ukawe mwezi wa huruma na sio mwezi wa hujuma.

Kukosolewa na kusifiwa ndio ubinadamu wenyewe.
Soma kuhusu 'ostracism' utanishukuru
 
Mama Samia amekuwa akisifiwa na kupambwa kila mahali hapa nchini.

Watu wanaomsifia mama, hawatekwi, hawapotezwi, wanapata nafasi za uoendeleo na teuzi kedekede.

Lakini kwa wakosoaji hali ni tofauti, wakitekwa na kupotezwa hamna anayejali.

Sativa alikutwa na Jambo, akamtaja @mafwelele kuhusika, lakini hamna kilichofanyika na hali inazidi kuwa mbaya zaidi.

Kina Soka wana miezi zaidinya siita sasa hamna anayejali Usalama wao wala uhai wao.

Watanzania tuna haki ya kuishi salama, kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, ukawe mwezi wa huruma na sio mwezi wa hujuma.

Kukosolewa na kusifiwa ndio ubinadamu wenyewe.
Soka ndiyo hivyo tena kama Ben saanane ,ngoja tusibili kitabu kingine cha Kabendera.
 
Huwajui watz Nini, huwa wanacheza na tone. Si umeona kipindi cha marehemu Kila mmoja alikuwa mbele Kwa kupiga kazi na kwenda na tone ya jamaa, baada ya kuondoka wamekuja na tone ya aliyepo. Watz wanakusoma Kwanza ukoje psychologically, emotionally halafu wanaambiana chini chini "Oyaa Mkuu unajua ni mtu wa hivi na vile, anataka hivi na vile unajua, ooh". Basi mambo ndo huwa hivyo, hata awamu zote zilizopita.

Sisi watz wengi ni wanafki wa kiwango cha juu sana hivyo kiongozi kuwa makini na wanaokuzunguka wanakuchongea na wananchi Kwa kukuletea ripoti za blah blah.
 
Sio samia tu magufuri pia alikuwa hvyo

Samia kaiga kwa Magufuri,
Magufuri yeye ni malezi mabaya aliyopitia akiwa mdogo hakuzoea kuambiwa kitu
Malezi ya Magufuli iliyaona au ulikuwepo .
Hii awamu kuna wahuni ndio wenye kufanya hayo matendo. Wakifikiria kwamba ndio njia sahihi ya kujilinda na kumlinda Kiongozi husika
 
1000375979.jpg
 
Mama Samia amekuwa akisifiwa na kupambwa kila mahali hapa nchini.

Watu wanaomsifia mama, hawatekwi, hawapotezwi, wanapata nafasi za uoendeleo na teuzi kedekede.

Lakini kwa wakosoaji hali ni tofauti, wakitekwa na kupotezwa hamna anayejali.

Sativa alikutwa na Jambo, akamtaja @mafwelele kuhusika, lakini hamna kilichofanyika na hali inazidi kuwa mbaya zaidi.

Kina Soka wana miezi zaidinya siita sasa hamna anayejali Usalama wao wala uhai wao.

Watanzania tuna haki ya kuishi salama, kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, ukawe mwezi wa huruma na sio mwezi wa hujuma.

Kukosolewa na kusifiwa ndio ubinadamu wenyewe.
Elewa kuwa yeye ni mama na ni mke, kama alivyowahi kusema.
 
Mama Samia amekuwa akisifiwa na kupambwa kila mahali hapa nchini.

Watu wanaomsifia mama, hawatekwi, hawapotezwi, wanapata nafasi za uoendeleo na teuzi kedekede.

Lakini kwa wakosoaji hali ni tofauti, wakitekwa na kupotezwa hamna anayejali.

Sativa alikutwa na Jambo, akamtaja @mafwelele kuhusika, lakini hamna kilichofanyika na hali inazidi kuwa mbaya zaidi.

Kina Soka wana miezi zaidinya siita sasa hamna anayejali Usalama wao wala uhai wao.

Watanzania tuna haki ya kuishi salama, kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, ukawe mwezi wa huruma na sio mwezi wa hujuma.

Kukosolewa na kusifiwa ndio ubinadamu wenyewe.
Ujinga huu ulianzia kwa Rais Kikwete,ukaja kwa Magufuri na sasa ni kwa Rais Samiah.Urais uliisha Desemba mwaka 2005
 
Hakuna binadamu anayependa kukosolewa hakuna ,kama yupo mtaje ,ni unafiki tu .

Ushu ya kupenda sifa ni kitu kikubwa ana maana tumecopy kutoka kwa Mungu ,Mungu anapenda sifa sana na akatuumba kwa mfano wake

USSR
Nyerere,Mwinyi,Mkapa,na hata Kikwete walikosolewa na mambo yalienda vizuri tu.
 
Back
Top Bottom