Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Huyu jamaa alifilisika long time kitambo, hata nyumba yake ya urithi Sinza iliuzwa na benki.
SAA hizi jamaa ni choka mbaya, wacha tu awe Chawa Mbadi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa alifilisika long time kitambo, hata nyumba yake ya urithi Sinza iliuzwa na benki.
Unafahamu kuwa Askari waliomuua Mwangosi walipandishwa vyeo Baada ya yale mauaji? Aliwapandisha vyeo kwasababu gani? Ilikuwa Ahsante yao kwa kutimiza maagizo yake😳😳hapa kwa Mwangosi unampaka tope tu, uchawa wa askari ndio ulipelekea kifo cha mwandishi
kama ilivyo sasa hivi, kuna watendaji machawa wanafanya mambo ya kijinga kumfurahisha raisi
Siyo dhaifu tu bali hiyo ni daraja ya juu ya kiongozi mshenzi."Kiongozi dhaifu ni yule anayejali vyeo na sifa zaidi ya kazi halisi."
— Theodore Roosevelt
Binadamu yeyote asiye na uwezo wa kiakili, kiuweledi, kiutendaji, hupenda sana kusifiwa ili "kucompensate" kile asichokuwa na uwezo nacho.Mama Samia amekuwa akisifiwa na kupambwa kila mahali hapa nchini.
Watu wanaomsifia mama, hawatekwi, hawapotezwi, wanapata nafasi za uoendeleo na teuzi kedekede.
Lakini kwa wakosoaji hali ni tofauti, wakitekwa na kupotezwa hamna anayejali.
Sativa alikutwa na Jambo, akamtaja @mafwelele kuhusika, lakini hamna kilichofanyika na hali inazidi kuwa mbaya zaidi.
Kina Soka wana miezi zaidinya siita sasa hamna anayejali Usalama wao wala uhai wao.
Watanzania tuna haki ya kuishi salama, kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, ukawe mwezi wa huruma na sio mwezi wa hujuma.
Kukosolewa na kusifiwa ndio ubinadamu wenyewe.
SIFA KWA WANAWAKE NI KIPAUMBELEMama Samia amekuwa akisifiwa na kupambwa kila mahali hapa nchini.
Watu wanaomsifia mama, hawatekwi, hawapotezwi, wanapata nafasi za uoendeleo na teuzi kedekede.
Lakini kwa wakosoaji hali ni tofauti, wakitekwa na kupotezwa hamna anayejali.
Sativa alikutwa na Jambo, akamtaja @mafwelele kuhusika, lakini hamna kilichofanyika na hali inazidi kuwa mbaya zaidi.
Kina Soka wana miezi zaidinya siita sasa hamna anayejali Usalama wao wala uhai wao.
Watanzania tuna haki ya kuishi salama, kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, ukawe mwezi wa huruma na sio mwezi wa hujuma.
Kukosolewa na kusifiwa ndio ubinadamu wenyewe.
Cha ccm na mafisadi pamoja na madicteta wote duniani.SIFA KWA WANAWAKE NI KIPAUMBELE
Mpaka wanatutumia kwenye facebook katoto ka kike kanampamba Rais Samiah kwa kiingereza huku kakijinasibu kuwa ni katoka shule ya serikali na siyo private,haya maigizo jamani yanaiua nchi hii pole pole.Jibu ni kwamba sa100 ni dhaifu sana (kiuongozi, hana maono) ndio maana anapenda sifa asizostahili...mtu yeyote mwenye akili hawezi kukubali kusifiwa vitu ambavyo sio vya kweli...ataona mnamsanifu hivyo atamaind!!!.
Kupenda sifa za kijinga kunaendana na akili ya mhusika!.
Lakini urais ni taasisi Sio jinsia!!SIFA KWA WANAWAKE NI KIPAUMBELE
Plus damu ya Dkt. UlimbokaHuyo Mkwere usione anacheka Cheka ni mkatili sana huyo !! Mikono yake imetapakaa damu ikiwemo ya mwandishi wa Habari Mwangosi aliyeamuru mapolisi wamuue Kule Iringa.
Kwani Dr. Ulimboka alifariki?Plus damu ya Dkt. Ulimboka
Anayekosolews ni Raisi lakini Chawa wanafura karibia kupasuka.Tatizo linaanzia pale chawa walipomiliki njia zake za kuingia na kutoka
Si kweliMama Samia amekuwa akisifiwa na kupambwa kila mahali hapa nchini.
Watu wanaomsifia mama, hawatekwi, hawapotezwi, wanapata nafasi za uoendeleo na teuzi kedekede.
Lakini kwa wakosoaji hali ni tofauti, wakitekwa na kupotezwa hamna anayejali.
Sativa alikutwa na Jambo, akamtaja @mafwelele kuhusika, lakini hamna kilichofanyika na hali inazidi kuwa mbaya zaidi.
Kina Soka wana miezi zaidinya siita sasa hamna anayejali Usalama wao wala uhai wao.
Watanzania tuna haki ya kuishi salama, kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, ukawe mwezi wa huruma na sio mwezi wa hujuma.
Kukosolewa na kusifiwa ndio ubinadamu wenyewe.
Ni kwa sababu hakosei kama binadamu. Anajua kila kitu na anastahili sifa toka kwa viumbe wote hata wasioonekanaMama Samia amekuwa akisifiwa na kupambwa kila mahali hapa nchini.
Watu wanaomsifia mama, hawatekwi, hawapotezwi, wanapata nafasi za uoendeleo na teuzi kedekede.
Lakini kwa wakosoaji hali ni tofauti, wakitekwa na kupotezwa hamna anayejali.
Sativa alikutwa na Jambo, akamtaja @mafwelele kuhusika, lakini hamna kilichofanyika na hali inazidi kuwa mbaya zaidi.
Kina Soka wana miezi zaidinya siita sasa hamna anayejali Usalama wao wala uhai wao.
Watanzania tuna haki ya kuishi salama, kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, ukawe mwezi wa huruma na sio mwezi wa hujuma.
Kukosolewa na kusifiwa ndio ubinadamu wenyewe.
Kumbe ni kijimungu MTU?Ni kwa sababu hakosei kama binadamu. Anajua kila kitu na anastahili sifa toka kwa viumbe wote hata wasioonekana