Kwanini Rais Samia anataka kusifiwa zaidi kuliko kukosolewa?

Kwanini Rais Samia anataka kusifiwa zaidi kuliko kukosolewa?

hapa kwa Mwangosi unampaka tope tu, uchawa wa askari ndio ulipelekea kifo cha mwandishi

kama ilivyo sasa hivi, kuna watendaji machawa wanafanya mambo ya kijinga kumfurahisha raisi
Unafahamu kuwa Askari waliomuua Mwangosi walipandishwa vyeo Baada ya yale mauaji? Aliwapandisha vyeo kwasababu gani? Ilikuwa Ahsante yao kwa kutimiza maagizo yake😳😳
 
Mama Samia amekuwa akisifiwa na kupambwa kila mahali hapa nchini.

Watu wanaomsifia mama, hawatekwi, hawapotezwi, wanapata nafasi za uoendeleo na teuzi kedekede.

Lakini kwa wakosoaji hali ni tofauti, wakitekwa na kupotezwa hamna anayejali.

Sativa alikutwa na Jambo, akamtaja @mafwelele kuhusika, lakini hamna kilichofanyika na hali inazidi kuwa mbaya zaidi.

Kina Soka wana miezi zaidinya siita sasa hamna anayejali Usalama wao wala uhai wao.

Watanzania tuna haki ya kuishi salama, kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, ukawe mwezi wa huruma na sio mwezi wa hujuma.

Kukosolewa na kusifiwa ndio ubinadamu wenyewe.
Binadamu yeyote asiye na uwezo wa kiakili, kiuweledi, kiutendaji, hupenda sana kusifiwa ili "kucompensate" kile asichokuwa na uwezo nacho.
 
Jibu ni kwamba sa100 ni dhaifu sana (kiuongozi, hana maono) ndio maana anapenda sifa asizostahili...mtu yeyote mwenye akili hawezi kukubali kusifiwa vitu ambavyo sio vya kweli...ataona mnamsanifu hivyo atamaind!!!.
Kupenda sifa za kijinga kunaendana na akili ya mhusika!.
 
Mama Samia amekuwa akisifiwa na kupambwa kila mahali hapa nchini.

Watu wanaomsifia mama, hawatekwi, hawapotezwi, wanapata nafasi za uoendeleo na teuzi kedekede.

Lakini kwa wakosoaji hali ni tofauti, wakitekwa na kupotezwa hamna anayejali.

Sativa alikutwa na Jambo, akamtaja @mafwelele kuhusika, lakini hamna kilichofanyika na hali inazidi kuwa mbaya zaidi.

Kina Soka wana miezi zaidinya siita sasa hamna anayejali Usalama wao wala uhai wao.

Watanzania tuna haki ya kuishi salama, kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, ukawe mwezi wa huruma na sio mwezi wa hujuma.

Kukosolewa na kusifiwa ndio ubinadamu wenyewe.
SIFA KWA WANAWAKE NI KIPAUMBELE
 
Jibu ni kwamba sa100 ni dhaifu sana (kiuongozi, hana maono) ndio maana anapenda sifa asizostahili...mtu yeyote mwenye akili hawezi kukubali kusifiwa vitu ambavyo sio vya kweli...ataona mnamsanifu hivyo atamaind!!!.
Kupenda sifa za kijinga kunaendana na akili ya mhusika!.
Mpaka wanatutumia kwenye facebook katoto ka kike kanampamba Rais Samiah kwa kiingereza huku kakijinasibu kuwa ni katoka shule ya serikali na siyo private,haya maigizo jamani yanaiua nchi hii pole pole.
 
Anaupiga mwingi sana,mama mitano tena,hakuna kama mama eeeeeh,mbeba maono huyo atavunja record .kafungua nchi ,watu wale urefu wa kamba zao
 
Mama Samia amekuwa akisifiwa na kupambwa kila mahali hapa nchini.

Watu wanaomsifia mama, hawatekwi, hawapotezwi, wanapata nafasi za uoendeleo na teuzi kedekede.

Lakini kwa wakosoaji hali ni tofauti, wakitekwa na kupotezwa hamna anayejali.

Sativa alikutwa na Jambo, akamtaja @mafwelele kuhusika, lakini hamna kilichofanyika na hali inazidi kuwa mbaya zaidi.

Kina Soka wana miezi zaidinya siita sasa hamna anayejali Usalama wao wala uhai wao.

Watanzania tuna haki ya kuishi salama, kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, ukawe mwezi wa huruma na sio mwezi wa hujuma.

Kukosolewa na kusifiwa ndio ubinadamu wenyewe.
Si kweli

Mpe sa sifa alishafariki
 
Mama Samia amekuwa akisifiwa na kupambwa kila mahali hapa nchini.

Watu wanaomsifia mama, hawatekwi, hawapotezwi, wanapata nafasi za uoendeleo na teuzi kedekede.

Lakini kwa wakosoaji hali ni tofauti, wakitekwa na kupotezwa hamna anayejali.

Sativa alikutwa na Jambo, akamtaja @mafwelele kuhusika, lakini hamna kilichofanyika na hali inazidi kuwa mbaya zaidi.

Kina Soka wana miezi zaidinya siita sasa hamna anayejali Usalama wao wala uhai wao.

Watanzania tuna haki ya kuishi salama, kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, ukawe mwezi wa huruma na sio mwezi wa hujuma.

Kukosolewa na kusifiwa ndio ubinadamu wenyewe.
Ni kwa sababu hakosei kama binadamu. Anajua kila kitu na anastahili sifa toka kwa viumbe wote hata wasioonekana
 
Back
Top Bottom