Kwanini Rais Samia anatumia nguvu kujitangaza badala ya kutatua shida za wananchi?

Bullshit

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
1,357
Reaction score
1,596
Sio siri Rais hana mvuto kabisa kwa Wananchi na mbaya zaidi 2025 hana sera.

Hili si jambo geni machoni kwa watu kila kona kuna mabango ya kumsifia mama.

Kuna vikundi mbali mbali zimeanzisha kumpigia Rais kampeni kabla ya uchaguzi (Ongea na mama, Rafiki wa Samia nk)

Wote tunafahamu ni jinsi gani nguvu kubwa inatumika kumsifia Samia kiasi kwamba mpaka inakera hasa watu wana CCM.

Kwanini nguvu zote hizo zinazotumika kumsafisha asizitumie kutatua changamoto zinazomchafua.

Anapoteza Fedha nyingi kukubalika badala ya kuamishia Fedha hizo kwenye Miradi ili akubalike.
 
Bado hujasema Hadi useme vinginevyo utakereka sana Kwa sababu hakuna sifa anayopewa ni ya uongo kama unaijua niwekee hapa vinginevyo chuki zinakusumbua.

Samia hana Mpango wa kutatua shida za individuals ila za jamii maana za individuals hakuna anaeweza kuzimaliza
 

Pole sana
 
nadhani uchawa unalipa sana ndiomaana wameamua kuwekeza huku badala ya kwenye maendeleo kimsingi mambo kibao yamesimama ila anaona poa tu kazi yake kubwa teua tengua baaasiiiii kamaliza , uliona wapi rais anatajwa kila hotuba eti katoa hela katoa hela yaani kuna vi element vya mwendazake alitakiwa avikemee kabisa na asitabirike asifanye kazi kwa remote ya kuleeee mbele ya chalinze.
 
Mlioko humo ndani mtuambie kuna nini hasa.

Na kawa nini inaumtumika nguvu kubwa hivi kuitangaza mpaka inalipiwa "Ads" za Twitter.

 
Hao wana uwakika na maisha ata akiachia kiti hafirisiki wewe hapo ukitimuliwa kazini familia inalala njaa au ndio mwanamke akunyanyase tafuteni pesa zenu
 
Mpaka tuje kupambazukiwa kama taifa, kwa wenzetu kuta kuwa kume kuchwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…