Kwanini Rais Samia anatumia nguvu kujitangaza badala ya kutatua shida za wananchi?

Kwanini Rais Samia anatumia nguvu kujitangaza badala ya kutatua shida za wananchi?

Utakuta wanao-push huu ujinga wa kubuni vitu vya hovyo hovyo na kijinga kama hivi ni wapigaji kina mchemba bashe au chalamila.

Wameshajua huyu mwanamke msifie tu anakaa miguu juu wao wanapiga vyao huku taifa linateketea.
 
Bado hujasema Hadi useme vinginevyo utakereka sana Kwa sababu hakuna sifa anayopewa ni ya uongo kama unaijua niwekee hapa vinginevyo chuki zinakusumbua.

Samia hana Mpango wa kutatua shida za individuals ila za jamii maana za individuals hakuna anaeweza kuzimaliza
Uwezo wake wa kiuongozi ni mdogo!
 
Itakuwa anayapenda haya

N.B
Karibuni Leaders Club tarehe 2/2/2025 kutakuwa na Tamasha la Muziki wa Dansi la Samia..Kiingilio BURE
 
Bado hujasema Hadi useme vinginevyo utakereka sana Kwa sababu hakuna sifa anayopewa ni ya uongo kama unaijua niwekee hapa vinginevyo chuki zinakusumbua.

Samia hana Mpango wa kutatua shida za individuals ila za jamii maana za individuals hakuna anaeweza kuzimaliza
elimu , afya na nishati ni individual ? husikii madudu yaliyopo huko , hapa kwa Ndambi kila siku umeme unakatwa mara 5 yaan kama wapo field na hawatoi taarifa maana umeme hapa hatutumii tumeunganisha tu kweny nyumva zetu hivyo hata wakikataa vifaa vyetu havitaungua , kuwa ccmu yapaswa ujitoe akil kdg ila muda sio mtaanza zificha kadi na tshirt za ccmu Subirini tu
 
elimu , afya na nishati ni individual ? husikii madudu yaliyopo huko , hapa kwa Ndambi kila siku umeme unakatwa mara 5 yaan kama wapo field na hawatoi taarifa maana umeme hapa hatutumii tumeunganisha tu kweny nyumva zetu hivyo hata wakikataa vifaa vyetu havitaungua , kuwa ccmu yapaswa ujitoe akil kdg ila muda sio mtaanza zificha kadi na tshirt za ccmu Subirini tu
Madudu gani?
 
Anajua kwambq hakubaliki kwa wanainchi ila kuna trick ndogo ilikuwa inampa ushindi wa huruma ila sasa kuna sehem kazingua itabidi aanze kusuka mipango upya na kwa nguvu zaidi maana ushawishi pekee hautoshi
 
Sio siri Rais hana mvuto kabisa kwa Wananchi na mbaya zaidi 2025 hana sera.

Hili si jambo geni machoni kwa watu kila kona kuna mabango ya kumsifia mama.

Kuna vikundi mbali mbali zimeanzisha kumpigia Rais kampeni kabla ya uchaguzi (Ongea na mama, Rafiki wa Samia nk)

Wote tunafahamu ni jinsi gani nguvu kubwa inatumika kumsifia Samia kiasi kwamba mpaka inakera hasa watu wana CCM.

Kwanini nguvu zote hizo zinazotumika kumsafisha asizitumie kutatua changamoto zinazomchafua.

Anapoteza Fedha nyingi kukubalika badala ya kuamishia Fedha hizo kwenye Miradi ili akubalike.
Mbaya zaidi anatumia kodi za wananchi kujitangaza.

Haya mambo ya Rais kujitangaza ninayaona huko TZ tu . Nchi za watu marais wapo busy …Uchumi, Business na ku convert resources into development …,. Ku prove kwa wananchi wao kwa vitendo na maendeleo.

Sio sisi nchi nzima imejaa mama huku watu hata maji ya kunywa ni shida vijijini.,

Sio sisi Rais anatafuta political fame kwa kugawa hela eti kwa kila goli moja. Huku ni kukosa kazi na ujanja ujanja ….. kazi zake ndio zinapaswq kumtambulisha … Sio huo utapeli wa matangazo

Sijawahi kuona nchi inasimamisha shughuli siku 2 kisa mkutano wa marais, nchi inaficha raia wake ils kuficha aibu. Nchi mbovu, chafu haina mpangilio, miundo mbinu hovyo…… kwanini msione aibu. Shame

Wakat wenzenu wapo busy kujenga nchi zao na mkienda huko mnashangaa….
Nyie mpo busy kuweka matangazo ya mchongo, mpo busy kuuza bandari, mpo busy kununua magoli , mpo busy na utekaji na ufisadi

Hicho kinachotokea cha kusimamisha shughuli ni dalili kubwa kuwa CCM IMESHINDWA 100 percent na haitoweza


Aibu
 

Attachments

  • IMG_20250127_101142_8.jpg
    IMG_20250127_101142_8.jpg
    429.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom