Kwanini Rais Samia hateui Wanawake wengi na kuwapa nafasi?

Kwanini Rais Samia hateui Wanawake wengi na kuwapa nafasi?

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Rais Mwanamke wa kwanza Tanzania lakini cha ajabu wakati Dunia nzima mpaka hata ikijitahidi kuongeza quota za Wanawake kisheria kwenye nafasi za Uongozi huku wengine hata wakiweka kwenye Katiba Tanzania zao ambapo Rais wake ni Mwanamke ndiyo nchi yenye Wanawake wachache karibia klk zote Afrika, why?

India imepitisha ya quota za Wanaweka kwenye Bunge, hata Kenya wanayo na bosi Rwanda pia ana quota za Wanawake kama sikosei kwanini Tanzania hakuna CEO au hata Mkurugenzi Mwanamke?

Nafikiri Rais Magufuli aliteua Wanawake wengi zaidi kuliko hata Rais Samia.
 
Rais Mwanamke wa kwanza Tanzania lkn cha ajabu wakati Dunia nzima mpaka hata ikijitahidi kuongeza quota za Wanawake kisheria kwenye nafasi za Uongozi huku wengine hata wakiweka kwenye Katiba Tanzania zao ambapo Rais wake ni Mwanamke ndiyo nchi yenye Wanawake wachache karibia klk zote Afrika, why?

India imepitisha ya quota za Wanaweka kwenye Bunge, hata Kenya wanayo na bosi Rwanda pia ana quota za Wanawake kama sikosei kwanini Tanzania hakuna CEO au hata Mkurugenzi Mwanamke?

Nafikiri Rais Magufuli aliteua Wanawake wengi zaidi klk hata Rais Samia.
Una matatizo ya usikivu
 
Watachambana ofisini, ukizingatia yeye ni wa pwani, ashindwi kukuwekea taarab kukusuta
 
Rais Mwanamke wa kwanza Tanzania lakini cha ajabu wakati Dunia nzima mpaka hata ikijitahidi kuongeza quota za Wanawake kisheria kwenye nafasi za Uongozi huku wengine hata wakiweka kwenye Katiba Tanzania zao ambapo Rais wake ni Mwanamke ndiyo nchi yenye Wanawake wachache karibia klk zote Afrika, why?

India imepitisha ya quota za Wanaweka kwenye Bunge, hata Kenya wanayo na bosi Rwanda pia ana quota za Wanawake kama sikosei kwanini Tanzania hakuna CEO au hata Mkurugenzi Mwanamke?

Nafikiri Rais Magufuli aliteua Wanawake wengi zaidi kuliko hata Rais Samia.
Wewe ni kijakazi kweli, unakaa wapi ndugu yangu ata uoni?
 
Utafiti uliofanya siyo timilifu yaani hakuna CEO au Mkurugenzi mwanamke.
 
Back
Top Bottom