Kwanini Rais Samia huwa anacheza vizuri halafu mambo yanapoelekea kukaa sawa anabutua?

Kwanini Rais Samia huwa anacheza vizuri halafu mambo yanapoelekea kukaa sawa anabutua?

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Samia alipoingia Madarakani alianza vizuri sana, akatuliza Taifa, Taifa likampenda, mambo yakawa yanaenda vizuri.

Kha Ghafla akamkamata Mbowe, akamuweka ndani, Sehemu kubwa ya Taifa ikaanza kumuangalia kwa jicho baya!

Likaja suala la wamachinga, Mwanzo alitoa hotuba, akasema wapangwe vizuri na wasionewe

Kha, ghafla akaagiza Wamachinga wafukuzwe, hii ikajenga chuki kubwa juu yake, watu wa chini wakaanza kumkumbuka Magufuli

Likaja suala la Kukutana na Wapinzani, akakutana na Lissu Ubelgiji, watu wakalipokea vizuri sana, Na pia Mbowe alipoachiwa akaanza mikutano yake na Rais, likatuliza nchi, watu wakaanza kumpokea vizuri Samia na kupunguza hasira zao baada ya kumuweka Mbowe ndani kimagumashi!.

Kha Ghafla juzi Vijana wa Chadema juzi wanakamatwa na Polisi, watu wanaanza tena kuhoji kama Samia ana nia njema

Juzi hapa kaongeza mshahara na posho, watu wakalipokea positively, watu wakamuappreciate Samia

Kha, Leo tunaambiwa Mizengo Pinda, Eti naye kaongezwa kwenye kikosi kazi. Yaani badala ya kujaribu kukijengea kikosi kazi Legitimacy, hasa kutokana na kwamba hakiaminiki, yeye anakwenda kuchukua mstaafu, tena mwanaCCM mjumbe wa kamati, ambaye alikuwa ni Waziri mkuu kipindi rasimu ya Warioba inavurugwa na CCM na kumuweka katika kikosi kazi. Kwa kweli Rais amebutua!

Kiufupi Samia anafanya kazi nzuri leo kesho kukichwa anabutua, anaharibu kazi yake mwenyewe!.

Mimi najiuliza nani anampa ushauri?, Na kwa nini anapokea ushauri unaomharibia mazuri yake mwenyewe?

Wanamhujumu au anajihujumu mwenyewe?
 
Anacheza mind game tu, tengeneza tatizo kisha litatue uonekane shujaa…. bado atazidi kutega na kubutua hadi ahakikishe watu wanamwongelea kisha akileta neema uchaguzi huu hapa.
 
ko samia ndio alimkamata mbowe akamuweka ndani?
 
Hana cha kusimamia, hana agenda yake wala filosofia inayomuongoza, ni mtu anayepelekwa na wasaidizi wake, hana muelekeo maalum yuko kama upepo anabadilika direction kila dakika.
Ye anafanya kisha anaangalia jamii imepokeaje.
 
Samia alipoingia Madarakani alianza vizuri sana, akatuliza Taifa, Taifa likampenda, mambo yakawa yanaenda vizuri.

Kha Ghafla akamkamata Mbowe, akamuweka ndani, Sehemu kubwa ya Taifa ikaanza kumuangalia kwa jicho baya!

Likaja suala la wamachinga, Mwanzo alitoa hotuba, akasema wapangwe vizuri na wasionewe

Kha, ghafla akaagiza Wamachinga wafukuzwe, hii ikajenga chuki kubwa juu yake, watu wa chini wakaanza kumkumbuka Magufuli

Likaja suala la Kukutana na Wapinzani, akakutana na Lissu Ubelgiji, watu wakalipokea vizuri sana, Na pia Mbowe alipoachiwa akaanza mikutano yake na Rais, likatuliza nchi, watu wakaanza kumpokea vizuri Samia na kupunguza hasira zao baada ya kumuweka Mbowe ndani kimagumashi!.

Kha Ghafla juzi Vijana wa Chadema juzi wanakamatwa na Polisi, watu wanaanza tena kuhoji kama Samia ana nia njema

Juzi hapa kaongeza mshahara na posho, watu wakalipokea positively, watu wakamuappreciate Samia

Kha, Leo tunaambiwa Mizengo Pinda, Eti naye kaongezwa kwenye kikosi kazi. Yaani badala ya kujaribu kukijengea kikosi kazi Legitimacy, hasa kutokana na kwamba hakiaminiki, yeye anakwenda kuchukua mstaafu, tena mwanaCCM mjumbe wa kamati, ambaye alikuwa ni Waziri mkuu kipindi rasimu ya Warioba inavurugwa na CCM na kumuweka katika kikosi kazi. Kwa kweli Rais amebutua!

Kiufupi Samia anafanya kazi nzuri leo kesho kukichwa anabutua, anaharibu kazi yake mwenyewe!.

Mimi najiuliza nani anampa ushauri?, Na kwa nini anapokea ushauri unaomharibia mazuri yake mwenyewe?

Wanamhujumu au anajihujumu mwenyewe?
Huko ndani kwenye system wenyewe wanamtisha kuwa akiwaacha hawa jamaa ataokota mabua.

Naye ana moyo lazima aogope.
 
Hana cha kusimamia, hana agenda yake wala filosofia inayomuongoza, ni mtu anayepelekwa na wasaidizi wake, hana muelekeo maalum yuko kama upepo anabadilika direction kila dakika.
Nahisi hiki kinamsumbua. Bora awe kama jiwe tu ajiapize hadharani kuwa atahakikisha 2025 hakuna upinzani tujue moja tu.
 
Samia alipoingia Madarakani alianza vizuri sana, akatuliza Taifa, Taifa likampenda, mambo yakawa yanaenda vizuri.

Kha Ghafla akamkamata Mbowe, akamuweka ndani, Sehemu kubwa ya Taifa ikaanza kumuangalia kwa jicho baya!

Likaja suala la wamachinga, Mwanzo alitoa hotuba, akasema wapangwe vizuri na wasionewe

Kha, ghafla akaagiza Wamachinga wafukuzwe, hii ikajenga chuki kubwa juu yake, watu wa chini wakaanza kumkumbuka Magufuli

Likaja suala la Kukutana na Wapinzani, akakutana na Lissu Ubelgiji, watu wakalipokea vizuri sana, Na pia Mbowe alipoachiwa akaanza mikutano yake na Rais, likatuliza nchi, watu wakaanza kumpokea vizuri Samia na kupunguza hasira zao baada ya kumuweka Mbowe ndani kimagumashi!.

Kha Ghafla juzi Vijana wa Chadema juzi wanakamatwa na Polisi, watu wanaanza tena kuhoji kama Samia ana nia njema

Juzi hapa kaongeza mshahara na posho, watu wakalipokea positively, watu wakamuappreciate Samia

Kha, Leo tunaambiwa Mizengo Pinda, Eti naye kaongezwa kwenye kikosi kazi. Yaani badala ya kujaribu kukijengea kikosi kazi Legitimacy, hasa kutokana na kwamba hakiaminiki, yeye anakwenda kuchukua mstaafu, tena mwanaCCM mjumbe wa kamati, ambaye alikuwa ni Waziri mkuu kipindi rasimu ya Warioba inavurugwa na CCM na kumuweka katika kikosi kazi. Kwa kweli Rais amebutua!

Kiufupi Samia anafanya kazi nzuri leo kesho kukichwa anabutua, anaharibu kazi yake mwenyewe!.

Mimi najiuliza nani anampa ushauri?, Na kwa nini anapokea ushauri unaomharibia mazuri yake mwenyewe?

Wanamhujumu au anajihujumu mwenyewe?
Huenda kuna genge limemzidi nguvu
 
Huyu Pinda atahusikaje kutengeneza katiba nzuri ya wananchi anaowadharau na kupenda waumie?

"Wapigwe tu maana hakuna namna"
 
Samia alipoingia Madarakani alianza vizuri sana, akatuliza Taifa, Taifa likampenda, mambo yakawa yanaenda vizuri.

Kha Ghafla akamkamata Mbowe, akamuweka ndani, Sehemu kubwa ya Taifa ikaanza kumuangalia kwa jicho baya!

Likaja suala la wamachinga, Mwanzo alitoa hotuba, akasema wapangwe vizuri na wasionewe

Kha, ghafla akaagiza Wamachinga wafukuzwe, hii ikajenga chuki kubwa juu yake, watu wa chini wakaanza kumkumbuka Magufuli

Likaja suala la Kukutana na Wapinzani, akakutana na Lissu Ubelgiji, watu wakalipokea vizuri sana, Na pia Mbowe alipoachiwa akaanza mikutano yake na Rais, likatuliza nchi, watu wakaanza kumpokea vizuri Samia na kupunguza hasira zao baada ya kumuweka Mbowe ndani kimagumashi!.

Kha Ghafla juzi Vijana wa Chadema juzi wanakamatwa na Polisi, watu wanaanza tena kuhoji kama Samia ana nia njema

Juzi hapa kaongeza mshahara na posho, watu wakalipokea positively, watu wakamuappreciate Samia

Kha, Leo tunaambiwa Mizengo Pinda, Eti naye kaongezwa kwenye kikosi kazi. Yaani badala ya kujaribu kukijengea kikosi kazi Legitimacy, hasa kutokana na kwamba hakiaminiki, yeye anakwenda kuchukua mstaafu, tena mwanaCCM mjumbe wa kamati, ambaye alikuwa ni Waziri mkuu kipindi rasimu ya Warioba inavurugwa na CCM na kumuweka katika kikosi kazi. Kwa kweli Rais amebutua!

Kiufupi Samia anafanya kazi nzuri leo kesho kukichwa anabutua, anaharibu kazi yake mwenyewe!.

Mimi najiuliza nani anampa ushauri?, Na kwa nini anapokea ushauri unaomharibia mazuri yake mwenyewe?

Wanamhujumu au anajihujumu mwenyewe?
Unamwelezea kiongozi "geugeu", kiongozi asiyejua ni kipi afanye kwa msimamo wake thabiti.

Samia hana msimamo; hana 'consistence' katika kila jambo analolisemea au kulifanya.

Mbaya zaidi, anatumia sauti yake kupoza, huku pembeni akichochea moto. Watu wataachaje hatimaye kujua kuwa ni kiongozi mbabaishaji?
 
Duuh...kwahiyo hata vijana wa chadema kuwa kwenye vijiwe vya kahawa Rais atakuwa anajua na kufuatilia? U Rais sio taasisi ya namna hiyo.. Rais ana vipaumbele na vitu vinavyomhusu, mambo mengine huko hata hajui na infact hatakiwi hata kujua, wasaidizi wanatosha. Pia ikumbukwe kuwa sio kila wanalofanya wasaidizi ni lazima wamjulishe, RPC anaweza amua na kufanya jambo bila hata kumjulisha RC, na RC anaweza fanya jambo bila hata kumjulisha Rais.
 
Hana cha kusimamia, hana agenda yake wala filosofia inayomuongoza, ni mtu anayepelekwa na wasaidizi wake, hana muelekeo maalum yuko kama upepo anabadilika direction kila dakika.
Pengine tumpe 'credit' yake pale inapostahili.

Alishasema "anakwenda kuifungua nchi", na nikitizama hajarudi nyuma katika hilo, bali ni jinsi gani anaifungua nchi ndilo tatizo. Katika hili, hata kama anafuata maelekezo, sioni kuwa ameyumba juu yake. Amedhamiria kabisa kuwa upande huyo wa kuiuza mali ya Tanzania kwa gharama yoyote ile.

Haya mengine anayo"flip flop' juu yake, ni kwa sababu anatafuta kuridhisha makundi mbalimbali, hata wakati makundi hayo yanapingana kati yao. Anataka jumuia za kimataifa zimuone kuwa yeye ni kiongozi anayesikiliza matatizo ya wananchi, wakati huo huo, ndani ya chama chake hawaruhusu mambo yanayotafutwa na hizo jumuia za kimataifa.

She is terribly conflicted. Torn apart!
 
Back
Top Bottom