Kwanini Rais Samia huwa anacheza vizuri halafu mambo yanapoelekea kukaa sawa anabutua?

Kwanini Rais Samia huwa anacheza vizuri halafu mambo yanapoelekea kukaa sawa anabutua?

Mataga na Hardliners wa jiwe ndio wanaokoroga mambo, bado wako na hangover. Jambo la kushangaza hawaondoi kwenye system!
 
Pengine tumpe 'credit' yake pale inapostahili.

Alishasema "anakwenda kuifungua nchi", na nikitizama hajarudi nyuma katika hilo, bali ni jinsi gani anaifungua nchi ndilo tatizo. Katika hili, hata kama anafuata maelekezo, sioni kuwa ameyumba juu yake. Amedhamiria kabisa kuwa upande huyo wa kuiuza mali ya Tanzania kwa gharama yoyote ile.

Haya mengine anayo"flip flop' juu yake, ni kwa sababu anatafuta kuridhisha makundi mbalimbali, hata wakati makundi hayo yanapingana kati yao. Anataka jumuia za kimataifa zimuone kuwa yeye ni kiongozi anayesikiliza matatizo ya wananchi, wakati huo huo, ndani ya chama chake hawaruhusu mambo yanayotafutwa na hizo jumuia za kimataifa.

She is terribly conflicted. Torn apart!
Kuifungua nchi kwa kuwaumiza wale unaowaongoza mimi naona ni ujinga tu, kwangu mwerevu akishafanya kosa na akagundua amekosea hubadilika, lakini kuendelea kukomaa kutenda kosa ni ujinga.

Hii consistency ya aina hii ni majanga, sio ya kupongezwa.
 
Samia alipoingia Madarakani alianza vizuri sana, akatuliza Taifa, Taifa likampenda, mambo yakawa yanaenda vizuri.

Kha Ghafla akamkamata Mbowe, akamuweka ndani, Sehemu kubwa ya Taifa ikaanza kumuangalia kwa jicho baya!

Likaja suala la wamachinga, Mwanzo alitoa hotuba, akasema wapangwe vizuri na wasionewe

Kha, ghafla akaagiza Wamachinga wafukuzwe, hii ikajenga chuki kubwa juu yake, watu wa chini wakaanza kumkumbuka Magufuli

Likaja suala la Kukutana na Wapinzani, akakutana na Lissu Ubelgiji, watu wakalipokea vizuri sana, Na pia Mbowe alipoachiwa akaanza mikutano yake na Rais, likatuliza nchi, watu wakaanza kumpokea vizuri Samia na kupunguza hasira zao baada ya kumuweka Mbowe ndani kimagumashi!.

Kha Ghafla juzi Vijana wa Chadema juzi wanakamatwa na Polisi, watu wanaanza tena kuhoji kama Samia ana nia njema

Juzi hapa kaongeza mshahara na posho, watu wakalipokea positively, watu wakamuappreciate Samia

Kha, Leo tunaambiwa Mizengo Pinda, Eti naye kaongezwa kwenye kikosi kazi. Yaani badala ya kujaribu kukijengea kikosi kazi Legitimacy, hasa kutokana na kwamba hakiaminiki, yeye anakwenda kuchukua mstaafu, tena mwanaCCM mjumbe wa kamati, ambaye alikuwa ni Waziri mkuu kipindi rasimu ya Warioba inavurugwa na CCM na kumuweka katika kikosi kazi. Kwa kweli Rais amebutua!

Kiufupi Samia anafanya kazi nzuri leo kesho kukichwa anabutua, anaharibu kazi yake mwenyewe!.

Mimi najiuliza nani anampa ushauri?, Na kwa nini anapokea ushauri unaomharibia mazuri yake mwenyewe?

Wanamhujumu au anajihujumu mwenyewe?
Ni kama JK alivyofanya kwenye ishu ya Katiba Mpya,alianza vizuri lakini hotuba aliyoitoa kwenye Bunge Maalum la Katiba iliharibu kila kitu,kazi yote nzuri iliyofanywa na tume ya Jaji Warioba ikachakachuliwa na wanaccm.
 
Samia alipoingia Madarakani alianza vizuri sana, akatuliza Taifa, Taifa likampenda, mambo yakawa yanaenda vizuri.

Kha Ghafla akamkamata Mbowe, akamuweka ndani, Sehemu kubwa ya Taifa ikaanza kumuangalia kwa jicho baya!

Likaja suala la wamachinga, Mwanzo alitoa hotuba, akasema wapangwe vizuri na wasionewe

Kha, ghafla akaagiza Wamachinga wafukuzwe, hii ikajenga chuki kubwa juu yake, watu wa chini wakaanza kumkumbuka Magufuli

Likaja suala la Kukutana na Wapinzani, akakutana na Lissu Ubelgiji, watu wakalipokea vizuri sana, Na pia Mbowe alipoachiwa akaanza mikutano yake na Rais, likatuliza nchi, watu wakaanza kumpokea vizuri Samia na kupunguza hasira zao baada ya kumuweka Mbowe ndani kimagumashi!.

Kha Ghafla juzi Vijana wa Chadema juzi wanakamatwa na Polisi, watu wanaanza tena kuhoji kama Samia ana nia njema

Juzi hapa kaongeza mshahara na posho, watu wakalipokea positively, watu wakamuappreciate Samia

Kha, Leo tunaambiwa Mizengo Pinda, Eti naye kaongezwa kwenye kikosi kazi. Yaani badala ya kujaribu kukijengea kikosi kazi Legitimacy, hasa kutokana na kwamba hakiaminiki, yeye anakwenda kuchukua mstaafu, tena mwanaCCM mjumbe wa kamati, ambaye alikuwa ni Waziri mkuu kipindi rasimu ya Warioba inavurugwa na CCM na kumuweka katika kikosi kazi. Kwa kweli Rais amebutua!

Kiufupi Samia anafanya kazi nzuri leo kesho kukichwa anabutua, anaharibu kazi yake mwenyewe!.

Mimi najiuliza nani anampa ushauri?, Na kwa nini anapokea ushauri unaomharibia mazuri yake mwenyewe?

Wanamhujumu au anajihujumu mwenyewe?
Ongeza hii

Kaongeza mishahara, Kaongeza posho. Watu wakati wako kwenye lindi la furaha.

Mara paaa. Kaleta kikokotoo watumishi wastaafu kuanzia July hawatapata tena 50% ya mafao yao bali watapata 33%. Hii inatupa mashaka na ubora wa Rais wetu.
 
Samia alipoingia Madarakani alianza vizuri sana, akatuliza Taifa, Taifa likampenda, mambo yakawa yanaenda vizuri.

Kha Ghafla akamkamata Mbowe, akamuweka ndani, Sehemu kubwa ya Taifa ikaanza kumuangalia kwa jicho baya!

Likaja suala la wamachinga, Mwanzo alitoa hotuba, akasema wapangwe vizuri na wasionewe

Kha, ghafla akaagiza Wamachinga wafukuzwe, hii ikajenga chuki kubwa juu yake, watu wa chini wakaanza kumkumbuka Magufuli

Likaja suala la Kukutana na Wapinzani, akakutana na Lissu Ubelgiji, watu wakalipokea vizuri sana, Na pia Mbowe alipoachiwa akaanza mikutano yake na Rais, likatuliza nchi, watu wakaanza kumpokea vizuri Samia na kupunguza hasira zao baada ya kumuweka Mbowe ndani kimagumashi!.

Kha Ghafla juzi Vijana wa Chadema juzi wanakamatwa na Polisi, watu wanaanza tena kuhoji kama Samia ana nia njema

Juzi hapa kaongeza mshahara na posho, watu wakalipokea positively, watu wakamuappreciate Samia

Kha, Leo tunaambiwa Mizengo Pinda, Eti naye kaongezwa kwenye kikosi kazi. Yaani badala ya kujaribu kukijengea kikosi kazi Legitimacy, hasa kutokana na kwamba hakiaminiki, yeye anakwenda kuchukua mstaafu, tena mwanaCCM mjumbe wa kamati, ambaye alikuwa ni Waziri mkuu kipindi rasimu ya Warioba inavurugwa na CCM na kumuweka katika kikosi kazi. Kwa kweli Rais amebutua!

Kiufupi Samia anafanya kazi nzuri leo kesho kukichwa anabutua, anaharibu kazi yake mwenyewe!.

Mimi najiuliza nani anampa ushauri?, Na kwa nini anapokea ushauri unaomharibia mazuri yake mwenyewe?

Wanamhujumu au anajihujumu mwenyewe?
Umeongea uongo mtupu
 
Samia alipoingia Madarakani alianza vizuri sana, akatuliza Taifa, Taifa likampenda, mambo yakawa yanaenda vizuri.

Kha Ghafla akamkamata Mbowe, akamuweka ndani, Sehemu kubwa ya Taifa ikaanza kumuangalia kwa jicho baya!

Likaja suala la wamachinga, Mwanzo alitoa hotuba, akasema wapangwe vizuri na wasionewe

Kha, ghafla akaagiza Wamachinga wafukuzwe, hii ikajenga chuki kubwa juu yake, watu wa chini wakaanza kumkumbuka Magufuli

Likaja suala la Kukutana na Wapinzani, akakutana na Lissu Ubelgiji, watu wakalipokea vizuri sana, Na pia Mbowe alipoachiwa akaanza mikutano yake na Rais, likatuliza nchi, watu wakaanza kumpokea vizuri Samia na kupunguza hasira zao baada ya kumuweka Mbowe ndani kimagumashi!.

Kha Ghafla juzi Vijana wa Chadema juzi wanakamatwa na Polisi, watu wanaanza tena kuhoji kama Samia ana nia njema

Juzi hapa kaongeza mshahara na posho, watu wakalipokea positively, watu wakamuappreciate Samia

Kha, Leo tunaambiwa Mizengo Pinda, Eti naye kaongezwa kwenye kikosi kazi. Yaani badala ya kujaribu kukijengea kikosi kazi Legitimacy, hasa kutokana na kwamba hakiaminiki, yeye anakwenda kuchukua mstaafu, tena mwanaCCM mjumbe wa kamati, ambaye alikuwa ni Waziri mkuu kipindi rasimu ya Warioba inavurugwa na CCM na kumuweka katika kikosi kazi. Kwa kweli Rais amebutua!

Kiufupi Samia anafanya kazi nzuri leo kesho kukichwa anabutua, anaharibu kazi yake mwenyewe!.

Mimi najiuliza nani anampa ushauri?, Na kwa nini anapokea ushauri unaomharibia mazuri yake mwenyewe?

Wanamhujumu au anajihujumu mwenyewe?
Yaani anapiga ndole mpaka mpira unafumuka?
 

Hangaya hana confidence na maamuzi yake, Nakumbuka baada ya mfanyabiashara wa madini na askari kuuwawa kule Mtwara aliunda tume kuchunguza vifo vile; lakini mpaka leo Sirro bado anadunda na hakuna lolote linaloendelea zaidi ya kusema kutokana na malalamiko juu ya polisi amewaongeza nao polisi wawemo kwenye tume yake ya Katiba!!! It is pathetic!
 
Samia alipoingia Madarakani alianza vizuri sana, akatuliza Taifa, Taifa likampenda, mambo yakawa yanaenda vizuri.

Kha Ghafla akamkamata Mbowe, akamuweka ndani, Sehemu kubwa ya Taifa ikaanza kumuangalia kwa jicho baya!

Likaja suala la wamachinga, Mwanzo alitoa hotuba, akasema wapangwe vizuri na wasionewe

Kha, ghafla akaagiza Wamachinga wafukuzwe, hii ikajenga chuki kubwa juu yake, watu wa chini wakaanza kumkumbuka Magufuli

Likaja suala la Kukutana na Wapinzani, akakutana na Lissu Ubelgiji, watu wakalipokea vizuri sana, Na pia Mbowe alipoachiwa akaanza mikutano yake na Rais, likatuliza nchi, watu wakaanza kumpokea vizuri Samia na kupunguza hasira zao baada ya kumuweka Mbowe ndani kimagumashi!.

Kha Ghafla juzi Vijana wa Chadema juzi wanakamatwa na Polisi, watu wanaanza tena kuhoji kama Samia ana nia njema

Juzi hapa kaongeza mshahara na posho, watu wakalipokea positively, watu wakamuappreciate Samia

Kha, Leo tunaambiwa Mizengo Pinda, Eti naye kaongezwa kwenye kikosi kazi. Yaani badala ya kujaribu kukijengea kikosi kazi Legitimacy, hasa kutokana na kwamba hakiaminiki, yeye anakwenda kuchukua mstaafu, tena mwanaCCM mjumbe wa kamati, ambaye alikuwa ni Waziri mkuu kipindi rasimu ya Warioba inavurugwa na CCM na kumuweka katika kikosi kazi. Kwa kweli Rais amebutua!

Kiufupi Samia anafanya kazi nzuri leo kesho kukichwa anabutua, anaharibu kazi yake mwenyewe!.

Mimi najiuliza nani anampa ushauri?, Na kwa nini anapokea ushauri unaomharibia mazuri yake mwenyewe?

Wanamhujumu au anajihujumu mwenyewe?
Huyu si ndiye alisema wapigwe tu.Watu wamekaa madarakani mpaka wamestaafu,wamekuwa wazee bado wanapewa vyeo vya ajabu ajabu.Wakati mwingine ni kudhalilisha cheo cha mtu.Waziri mkuu mstaafu (mzee) yupo kwenye kikosi,spika wa bunge mstaafu Anne (mzee)Mkiti Sensa ya makazi.

Hawa wasomi waliosoma na maphd yao vijana wapo tu,wala hawaonekani wala hakuna anayewajali.Inasikitisha sana
 
Kaongeza posho na malipo ya kazi maalum kwa bajeti iliyopigiwa kwa rates za zamani. Hii ni siasa na hapo maana yake posho hizi zitakuwa effected sawasawa kwenye bajeti ya 2023/24 na siyo 2022/23.

Mathalani; Ulikuwa unamlipa mtu posho ya 100,000 kwa siku 10 kila mwezi ambayo ni sawa na milioni kwa mwezi na kwa mwaka ulimtengea bajeti ya 12,000,000. Mwaka unaofuata unatenga hiyo hiyo 12,000,000 na unatangaza sasa posho nitakulipa kwa rate ya 200,000 badala ya 100,000 na itaanza kulipwa Julai mosi ila utatumia bajeti ile ile ya 12,000,000 kwa mwaka. Maana yake hapo umepandisha kiwango ila umefix kwa bajeti ile ile, hivyo hata mlipaji atakulipa 200,000 mara siku 5 badala ya 10 ili asivuke bajeti iliyotengwa ya 12,000,000. Hizi figure ni mfano tu lakini mtakuwa mmeelewa siasa iliyochezwa hapa.
 
Nchi nyingi hasa za Africa zinashindwa kuwa na siasa nzuri zenye kuheshimu sheria na haki za binadamu sababu viongozi wake ni waoga. Matokeo yake wanavunja sheria kwa maana ya katiba, wanavunja haki za binadamu. Kwa uoga wao wanatumia mabavu kwa kuhofia kesho yao!. Kiongozi anayefuata sheria huku akiwa hana chembe ya wizi hana haja ya kuogopa kwa kutumia vyombo vya dola kujenga hofu miongoni mwa wananchi. Rais Samia atang'ara kwa kuwa anafuata katiba na hafikirii kuwa na makundi au matabaka. Amejitahidi kwa kweli
 
Back
Top Bottom