Kwanini Rais Samia kakwepa Hoja za Wafanyakazi na kamtuma Makamu wa Rais wakati Rais wa Zanzibar yeye amevunja ziara kwa ajili ya Mei Mosi?

Rais anatakiwa hawepo Leo angeairisha iyo ziara sasa mipango atajibu nn?

Ile asilimia 23% itakuwepo kweli.
 
Hii sio namna nzuri ya ujenzi wa hoja. Pinga kwa hoja sio kwa matusi. Nchi hii niyetu sote.
Kama wewe kipato chako kinakutosha acha wengine walalamikie waajiri wao
Nakazia hoja. This 👆👆is a sample of a good n polite way to answer
 
Kilaza yule kwanza muoga sana.Yaani kipindi kile Magufuli akiwa Rais ,Magufuli akichachamaa Samia anatoa machozi hadi alitaka kujiuzulu.Bora angejiuzulugu tu.
Hahaaa, chuma kilikuwa kinataka matokeo sio kulemba maneno ya lahaja, vishazi n.k
 
Kikokotoo na ahadi hewa alizowaahidi watumishi
 
Kwani ishu ya May mosi ni jambo la ghafla mpaka huyo Rais wa Zanzibar akatishe ziara yake! Ina maana hilo swala halikuwa kwenye ratiba yake?
 
Your browser is not able to display this video.


Ahadi mwaka jana
 
Mtanikimbuka
 
Watu wengine bwana hujaulizwa wewe ila unatililika kama vile wewe ndiye uliyeulizwa swali. Hi suala la uchawa sasa limefikia mahali pabaya sana, mpaka kwenye mambo ya msingi. Mtoa hoja kauliza maswali ya msingi. Haya sasa unasema mwakilishi atayajibia hayo maswali sikukuu imeisha je yalijibiwa. Wakati mwingine kukaa kimya ni jibu.
 
Wataalam wa acurial science wanachambua suala la kikokotoo watashauri tuwe wapole na wastahimilivu as per 4 R
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…