Kwanini Rais Samia naye anataka kutumia mabavu kutawala? Umuombee dua gani?

Kwanini Rais Samia naye anataka kutumia mabavu kutawala? Umuombee dua gani?

Ajifunze kwa mwenzake mwendazake ,alileta ujinga Mungu akamwondoa dunia chap kidogo,huyu bi mkubwa kaanza kulewa madaraka
Ila kumtegemea Mungu ktk Mambo ya kisiasa ni dalili ya kushindwa.

Hata Syria Mungu anayaona yanayoendelea lkn millions are dying.
 
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala. CCM ni ile ile
 
Haiwezekani unazuia mikutano ya kisiasa wakati katiba inaruhusu, huwezi kuzuia watu kujadili katiba ya nchi wakati siyo uhaini wala hakuna katiba iliyovunjwa. Hivi kwani Uchamungu umekua ni msamiati mzito sana kwa watawala wetu?

Unaweka makatazo batili maana yake nini? Yaani tusubiri ujenge uchumi wakati mambo mengine hayasubiri? Haya makatazo ni kwa mujibu wa sheria ipi?
Tunatawaliwa na tabaka la ajabu sana
 
Haiwezekani unazuia mikutano ya kisiasa wakati katiba inaruhusu, huwezi kuzuia watu kujadili katiba ya nchi wakati siyo uhaini wala hakuna katiba iliyovunjwa. Hivi kwani Uchamungu umekua ni msamiati mzito sana kwa watawala wetu?

Unaweka makatazo batili maana yake nini? Yaani tusubiri ujenge uchumi wakati mambo mengine hayasubiri? Haya makatazo ni kwa mujibu wa sheria ipi?

Hawa si wa kuwaombea dua tu. Dua la kuku halikuwahi kumpata mwewe.

Hawa ni wa kukabili kiutu uzima tu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kuna WATU washamba wamdanganya , ila ACHA adanganyike!
IMG_20210704_051559_619.jpg


Si muda mrefu atakipata anachokitafuta.
 
Lema tu apewe maono na Mwenyezi Mungu kwamba kama akiendelea na udhalimu na dhuluma zake dhidi ya Watanzania basi hafiki 2024.

Hawa si wa kuwaombea dua tu. Dua la kuku halikuwahi kumpata mwewe.

Hawa ni wa kukabili kiutu uzima tu.
 
Itakuwa Kuna remote control inamseti

Alisikika mlevi mmoja akibwabwaja
 
Lema tu apewe maono na Mwenyezi Mungu kwamba kama akiendelea na udhalimu na dhuluma zake dhidi ya Watanzania basi hafiki 2024.
sasa ukifa wewe kabla ya huo mwaka, utakuwa umehukumiwa kwa udhalimu gani!!!

nyinyi watu, kenge sana.
 
Haiwezekani unazuia mikutano ya kisiasa wakati katiba inaruhusu, huwezi kuzuia watu kujadili katiba ya nchi wakati siyo uhaini wala hakuna katiba iliyovunjwa. Hivi kwani Uchamungu umekua ni msamiati mzito sana kwa watawala wetu?

Unaweka makatazo batili maana yake nini? Yaani tusubiri ujenge uchumi wakati mambo mengine hayasubiri? Haya makatazo ni kwa mujibu wa sheria ipi?
Hiyo ndo nguvu ya CCM iliyo salia.
CCM bila nguvu ya jeshi, haina maisha hapa bongo tena.
 
Mufanye mchezo wenu wa kuwapa mike zenye sumu wenzenu kama vile mtaishi milele
 
Ila kumtegemea Mungu ktk Mambo ya kisiasa ni dalili ya kushindwa.

Hata Syria Mungu anataona yanayoendelea lkn millions are dying.
Ila hapa tumeonja mkono was Mungu ukatusaidia mwezi march uliopita
 
Hakuna namna, kwa hapa tulipofikia nchini CCM iweze kutaeala nchi hii kwa ridhaa ya wananchi.
Hadhi ya CCM imeshuka sana miongoni mwa wananchi. Isingekuwa hela namaguvu ya jeshi na madaraka, CCM ingesha sahaulika sasa hivi.
Vyama vya upinzani vyinanguvu ya kweli mioyoni mwa wananchi kuliko CCM hivyo bila kutumia mabavu ya jeshi, mafaraka( uteuzi na tenda za halmashauri na setikali kuu) na fedha za hazina, CCM haiwezi kusimama au kukubalika na wananchi kwa hiyari yao.
Hii inaonekana lkwa watawala na CCM kwa ujumla, kukumbatia katiba hii mbovu kiasi cha kuwa tayari hata kuua wote wenye mawazo ya kubadilisha hasa kitengo cha tume ya uchsguzi ili iendelee kuwa kiinimacho kwa wafadhili wa serikali huko nje.
 
Haiwezekani unazuia mikutano ya kisiasa wakati katiba inaruhusu, huwezi kuzuia watu kujadili katiba ya nchi wakati siyo uhaini wala hakuna katiba iliyovunjwa. Hivi kwani Uchamungu umekua ni msamiati mzito sana kwa watawala wetu?

Unaweka makatazo batili maana yake nini? Yaani tusubiri ujenge uchumi wakati mambo mengine hayasubiri? Haya makatazo ni kwa mujibu wa sheria ipi?
Si anajua raha ya urais. Anamalizia awamu ya Magufuli Halafu aanze 10 more years za kwake. Huyu ni mzanzibari, she doesn’t care. Matunda ya mwungano hayo. This is the woman who told us Magufuli was not sick but resting when he was actually dead. All that forgotten, mama mama mama!
 
Haiwezekani unazuia mikutano ya kisiasa wakati katiba inaruhusu, huwezi kuzuia watu kujadili katiba ya nchi wakati siyo uhaini wala hakuna katiba iliyovunjwa. Hivi kwani Uchamungu umekua ni msamiati mzito sana kwa watawala wetu?

Unaweka makatazo batili maana yake nini? Yaani tusubiri ujenge uchumi wakati mambo mengine hayasubiri? Haya makatazo ni kwa mujibu wa sheria ipi?
dua ni zile zile as long as ameamua kumfata shetwain.
 
Back
Top Bottom