Hakuna tofauti kama ameamua kuwa mfuasi wa njia mbovu wakati njia njema anaionaDuwaaa ni ileile iliyomwandama mwendazake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna tofauti kama ameamua kuwa mfuasi wa njia mbovu wakati njia njema anaionaDuwaaa ni ileile iliyomwandama mwendazake
Kweli aisee. Watu hawawajui vizuri Wazanzibar. Never Under rate them. Alishindwa Kusema Rais anaumwa japo wanaompenda wakamwombea Dua?Si anajua raha ya urais. Anamalizia awamu ya Magufuli Halafu aanze 10 more years za kwake. Huyu ni mzanzibari, she doesn’t care. Matunda ya mwungano hayo. This is the woman who told us Magufuli was not sick but resting when he was actually dead. All that forgotten, mama mama mama!
Mshamba wa chattle alikuja mjini kwa Mbio za mwenge. Ushamba wa madaraka umemponza.Kuna WATU washamba wamdanganya , ila ACHA adanganyike!
Wewe una akili ya mbu, gombea ubungeMshamba wa chattle alikuja mjini kwa Mbio za mwenge. Ushamba wa madaraka umemponza.
Tinataka katiba mpya.Marais wote toka ccm watakaofuata baada ya Magufuli, watafanya kazi kwa kubanwa sana.
1) Kulazimika kuendeleza miradi ya Magufuli iliyoungua bila kuiva, ambayo inagharimu kuliko uwezo wa nchi, iliyokuwa inategemea fedha za "Dhulma".
2) Kwa kuwa ccm ni chama mfu kinachojiegemeza kwenye Dola, watalazimika kuvibana vyama vya upinzani visifurukute. Wataoneshwa mfano wa Kikwete aliyejaribu kuwapa wapinzani mwanya kidogo tu, wakachukua nchi uchaguzi wa 2015, sema tu ilibidi mbinu za ziada zitumike kupindua meza.
3) Kutokana na rushwa kushamiri, mipango mibovu, historia mbaya, ccm imeshindwa kuleta ufumbuzi wa Kweli wa matatizo ya nchi. Imeishiwa pumzi. Ubabe ni muhimu, na suala la Katiba mpya litaleta matatizo zaidi kwa ccm.
4) suala la Muungano ni bomu linalongoja kulipuka muda wowote. Angalau ccm inahitaji kuwepo madarakani ili ilikalie bomu hilo. Chama kingine kikiingia madarakani, kitalitegua na kuufumua Muungano. Wachawi wa ccm hawataki kusikia habari hiyo. Wako radhi kuficha kichwa mchangani kama mbuni
msimuombee mabaya , sala iwe "Mungu wa Israel ampende"Haiwezekani unazuia mikutano ya kisiasa wakati katiba inaruhusu, huwezi kuzuia watu kujadili katiba ya nchi wakati siyo uhaini wala hakuna katiba iliyovunjwa. Hivi kwani Uchamungu umekua ni msamiati mzito sana kwa watawala wetu?
Unaweka makatazo batili maana yake nini? Yaani tusubiri ujenge uchumi wakati mambo mengine hayasubiri? Haya makatazo ni kwa mujibu wa sheria ipi?
Wapi katumia mabavu?Samia haheshimu katiba ya nchi aliyoapa kuilinda.
Kakosa sifa za kuendelea kuwa rais wetu
Ndugu, hebu nenda kwenye mikusanyiko na vikao vya CCM na Polisi, hutaamini masikio yako.mara ya mwisho kusikia mwanamchi anahitaja chadema mtaani ilikuwa duh muda sana
Mama Samia anavuta bong, I would like some of that. She is useless with no vision. Kesho sends Comoro kujitambulisa. Sijui Biden atakuja lini Bongo kujitambulishaTinataka katiba mpya.