Ila kumtegemea Mungu ktk Mambo ya kisiasa ni dalili ya kushindwa.Ajifunze kwa mwenzake mwendazake ,alileta ujinga Mungu akamwondoa dunia chap kidogo,huyu bi mkubwa kaanza kulewa madaraka
Tunatawaliwa na tabaka la ajabu sanaHaiwezekani unazuia mikutano ya kisiasa wakati katiba inaruhusu, huwezi kuzuia watu kujadili katiba ya nchi wakati siyo uhaini wala hakuna katiba iliyovunjwa. Hivi kwani Uchamungu umekua ni msamiati mzito sana kwa watawala wetu?
Unaweka makatazo batili maana yake nini? Yaani tusubiri ujenge uchumi wakati mambo mengine hayasubiri? Haya makatazo ni kwa mujibu wa sheria ipi?
Haiwezekani unazuia mikutano ya kisiasa wakati katiba inaruhusu, huwezi kuzuia watu kujadili katiba ya nchi wakati siyo uhaini wala hakuna katiba iliyovunjwa. Hivi kwani Uchamungu umekua ni msamiati mzito sana kwa watawala wetu?
Unaweka makatazo batili maana yake nini? Yaani tusubiri ujenge uchumi wakati mambo mengine hayasubiri? Haya makatazo ni kwa mujibu wa sheria ipi?
Kuna WATU washamba wamdanganya , ila ACHA adanganyike!
Hawa si wa kuwaombea dua tu. Dua la kuku halikuwahi kumpata mwewe.
Hawa ni wa kukabili kiutu uzima tu.
wewe mbuzi, kifo sio adhabu.Ajifunze kwa mwenzake mwendazake ,alileta ujinga Mungu akamwondoa dunia chap kidogo,huyu bi mkubwa kaanza kulewa madaraka
sasa ukifa wewe kabla ya huo mwaka, utakuwa umehukumiwa kwa udhalimu gani!!!Lema tu apewe maono na Mwenyezi Mungu kwamba kama akiendelea na udhalimu na dhuluma zake dhidi ya Watanzania basi hafiki 2024.
Hiyo ndo nguvu ya CCM iliyo salia.Haiwezekani unazuia mikutano ya kisiasa wakati katiba inaruhusu, huwezi kuzuia watu kujadili katiba ya nchi wakati siyo uhaini wala hakuna katiba iliyovunjwa. Hivi kwani Uchamungu umekua ni msamiati mzito sana kwa watawala wetu?
Unaweka makatazo batili maana yake nini? Yaani tusubiri ujenge uchumi wakati mambo mengine hayasubiri? Haya makatazo ni kwa mujibu wa sheria ipi?
Ila hapa tumeonja mkono was Mungu ukatusaidia mwezi march uliopitaIla kumtegemea Mungu ktk Mambo ya kisiasa ni dalili ya kushindwa.
Hata Syria Mungu anataona yanayoendelea lkn millions are dying.
Ila ni zawadi?wewe mbuzi, kifo sio adhabu.
Ok wewe ni mmoja wao wamtakiao kufutwa ,unacoment ujinga then wajiona upo sawa , mungu anamuona, nawewe mbuzi, kifo sio adhabu.
Mungu sio askofu shoo.Ok wewe ni mmoja wao wamtakiao kufutwa ,unacoment ujinga then wajiona upo sawa , mungu anamuona, na
Si anajua raha ya urais. Anamalizia awamu ya Magufuli Halafu aanze 10 more years za kwake. Huyu ni mzanzibari, she doesn’t care. Matunda ya mwungano hayo. This is the woman who told us Magufuli was not sick but resting when he was actually dead. All that forgotten, mama mama mama!Haiwezekani unazuia mikutano ya kisiasa wakati katiba inaruhusu, huwezi kuzuia watu kujadili katiba ya nchi wakati siyo uhaini wala hakuna katiba iliyovunjwa. Hivi kwani Uchamungu umekua ni msamiati mzito sana kwa watawala wetu?
Unaweka makatazo batili maana yake nini? Yaani tusubiri ujenge uchumi wakati mambo mengine hayasubiri? Haya makatazo ni kwa mujibu wa sheria ipi?
dua ni zile zile as long as ameamua kumfata shetwain.Haiwezekani unazuia mikutano ya kisiasa wakati katiba inaruhusu, huwezi kuzuia watu kujadili katiba ya nchi wakati siyo uhaini wala hakuna katiba iliyovunjwa. Hivi kwani Uchamungu umekua ni msamiati mzito sana kwa watawala wetu?
Unaweka makatazo batili maana yake nini? Yaani tusubiri ujenge uchumi wakati mambo mengine hayasubiri? Haya makatazo ni kwa mujibu wa sheria ipi?