Kwanini Rais Samia Suluhu asiweke JWTZ kusimamia bandari?

Kwanini Rais Samia Suluhu asiweke JWTZ kusimamia bandari?

Bandari ya Dar es salam, inatoa huduma kwenye nchi 6 ambazo watalaamu wanaziita LAND LOCKED COUNTRIES. Kila mara tumekuwa tukiondoa wakurugenzi pale TPA. Madam, Rais wetu mpendwa kwanini usiweke mtu kutoka TPDF mwenye utalaamu na bandari hawa wameapa kuilinda katiba na sisi wananchi sasa kama raia wa kawaida MH.

Rais wetu unaweka wanavurunda. Teua mjeda, wajumbe wa bodi wajeda. Wanatuchelewesha hawa wengine, Na Kila geti liwe JWTZ na wale wengineeeeeee waleeeeee
Kwani huko ndio kuna malaika? Upigaji unaweza kuwepo hata huko, kama CAG angefika huko yangeibuliwa madudu kama hayo ya Bandarini.
 
Tangu muone wanajeshi wanabangua korosho na kufyatua matofali ya ukuta basi kila kazi mnataka wapewe wao. Hakuna nchi huwa naona ya kipuuzi kama inayotegemea jeshi kuendesha mambo yao. Developed countries sio wajinga kutenga jeshi na civilian organs
Kama civilian are corrupt what are we going to do my colleague?
 
Hapo ndipo napompendea Kagame. Angekuwa Rais wetu kusingekuwa na upuz bandarini. The man has authority and when he talk and command people obey him.

"He who wishes to be obeyed must know how to command".

Machiaveli
Hana lolote
 
Ni kwa watu wachache sana zile combat hubadili tabia zao. Walio wengi husalia na tabia zao kisha wakapata kinga ya combat zao. JWTZ ni taasisi inayojipambanua kwa uadilifu ila haimaanishi walioajiriwa watakuwa hivyo pia. Tumeshasikia mara kadhaa maafisa wa TAKUKURU wanakamatwa kwa kesi za rushwa.
 
Bandari ya Dar es salam, inatoa huduma kwenye nchi 6 ambazo watalaamu wanaziita LAND LOCKED COUNTRIES. Kila mara tumekuwa tukiondoa wakurugenzi pale TPA. Madam, Rais wetu mpendwa kwanini usiweke mtu kutoka TPDF mwenye utalaamu na bandari hawa wameapa kuilinda katiba na sisi wananchi sasa kama raia wa kawaida MH.

Rais wetu unaweka wanavurunda. Teua mjeda, wajumbe wa bodi wajeda. Wanatuchelewesha hawa wengine, Na Kila geti liwe JWTZ na wale wengine wale
Achana kabisa ns hzo wavaa rangi za majani mchanganyiko, wana usela mavi mavi hivi wataharibu kabisaaa amini nakwambia.
 
Bandari ya DSM ni ndogo, haina miundombinu na ya zamani, hata iendeshwe na nani haiwezi kuleta tija sana kwenye ulimwengu wa leo. Kujenga bandari mpya hakukwepeki either Tanga, Bagamoyo au ku-renovate hiyo hiyo DSM.
 
Bandari ya Dar es salam, inatoa huduma kwenye nchi 6 ambazo watalaamu wanaziita LAND LOCKED COUNTRIES. Kila mara tumekuwa tukiondoa wakurugenzi pale TPA. Madam, Rais wetu mpendwa kwanini usiweke mtu kutoka TPDF mwenye utalaamu na bandari hawa wameapa kuilinda katiba na sisi wananchi sasa kama raia wa kawaida MH.

Rais wetu unaweka wanavurunda. Teua mjeda, wajumbe wa bodi wajeda. Wanatuchelewesha hawa wengine, Na Kila geti liwe JWTZ na wale wengine wale
Unafikiri bandari ni maji tu, weka mjeda uone kama kuna mzigo utapita pale..

Halaf Si mliweka mjeda MSD na Takukuru mlipata nini? Useless thinking
 
Bandari ya Dar es salam, inatoa huduma kwenye nchi 6 ambazo watalaamu wanaziita LAND LOCKED COUNTRIES. Kila mara tumekuwa tukiondoa wakurugenzi pale TPA. Madam, Rais wetu mpendwa kwanini usiweke mtu kutoka TPDF mwenye utalaamu na bandari hawa wameapa kuilinda katiba na sisi wananchi sasa kama raia wa kawaida MH.

Rais wetu unaweka wanavurunda. Teua mjeda, wajumbe wa bodi wajeda. Wanatuchelewesha hawa wengine, Na Kila geti liwe JWTZ na wale wengine wale
Kama kutumia jeshi ingelikuwa suluhisho la matatizo ya utendaji mbovu, basi nchi zilizotawaliwa na wanajeshi zingelikuwa zimepiga hatua kubwa sana.
 
Bandari ya Dar es salam, inatoa huduma kwenye nchi 6 ambazo watalaamu wanaziita LAND LOCKED COUNTRIES. Kila mara tumekuwa tukiondoa wakurugenzi pale TPA. Madam, Rais wetu mpendwa kwanini usiweke mtu kutoka TPDF mwenye utalaamu na bandari hawa wameapa kuilinda katiba na sisi wananchi sasa kama raia wa kawaida MH.

Rais wetu unaweka wanavurunda. Teua mjeda, wajumbe wa bodi wajeda. Wanatuchelewesha hawa wengine, Na Kila geti liwe JWTZ na wale wengine wale
Haya ni mawazo ya mtu mwenye wivu na walioemdelea. Unataka waharibu biashara alafu uje hapa kulalamika?
 
Kwa jinsi nilivyo experience aisee Jeshini pia kuna majizi balaa, maana kuna jamaa moja alikuwa Colonel alikuwa anapiga fedha sana akastaafu cha kusikitisha jamaa likapewa ukuu wa mkoa huko mikoa ya kanda ya ziwa.
Wengine humu huyo jamaa watakuwa wanamjua, na jamaa ukimuona humble kumbe jizi balaa.
 
Kama civilian are corrupt what are we going to do my colleague?
Mfatilie Balozi mstaafu Luteni Jenerali Abdulhaman Shimbo na tuhuma zake. Jeshi ni taasisi ngumu kiasi kuitia hatiani ikifanya ubadhirifu, haifai kupewa kazi ambazo haina uzoefu nazo. Wiki hii jeshi la maji la Uingereza limegoma kufanya operation ya kuzuia wahamiaji haramu baharini. Limetoa report tangu lianze uhamiaji huo haramu umekua mara mbili, jeshi limesema limefeli kwa kuwa halikufundishwa kukimbizana na wahamiaji. Limedai linatumia resources zake kwenye kazi za kipuuzi ambazo hazilisaidii kuilinda nchi. Hiyo ni kazi ya border patrol au polisi.


Kila kitu kina watu wake. Sio kama sisi Daktari sijui wa mifupa (Dkt. Mwinyi) anakuwa Waziri wa Ulinzi, anastaafu anafuatiwa Mhasibu (Kwandikwa, RIP), anafariki anafuatiwa na mwanadiplomasia mama Tax. Yani unaona wanachagua watu ilimradi tu.

Civilians hawajafeli, ni upuuzi wa uongozi basi. Yani katika watu milioni 60 hakuna team ya kuongoza bandari? Wapo mamia wenye uwezo huo, ila mifumo iliyopo hata umlete Warren Buffett bado bandari itafeli. Ila uhakika ni kuwa ukimleta Buffett atajiuzuru kabla ya miezi 6 kuepuka figisu na kujichafua
 
Back
Top Bottom