Kwanini Ratiba ya Rais ndani ya nchi ni Ratiba ya wakuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama? Kwanini akiwa nje ya nchi yupo mwenyewe?

Kwanini Ratiba ya Rais ndani ya nchi ni Ratiba ya wakuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama? Kwanini akiwa nje ya nchi yupo mwenyewe?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Tunaweza kubadilika nakuokoa fedha na rasilimali wakati pale tutakapokubali kwamba upo umihimu wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.

Mhe. Rais akiwa popote nchini anakuwa na wakuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama ambao naamini Kila mmoja anakwenda na timu ya Watu wasiopungua kumi. Watu Hawa qanalipwa na mafuta yanalipwa pia Kwa Kodi zetu.

Lakini akiwa nje ya nchi hakuna Mkuu wa chombo anayeambatana naye. Maana yake ni kwamba wakuu wa vyombo watafanya KAZI zao pale TU ratiba ya Mhe. Rais inapokuwa loose ila ikiwa tyt kama ya Mhe. Rais basi Kila Siku KAZI ofisini zitalala.

Ni yapi madhara au ipi faida ya kuambatana na Hawa viongozi? Mbona Mataifa yaliyoendelea hawana hizi tamaduni? Kama ni usalama je, wakiwa pamoja ndipo usalama unakuwa mkubwa? Lakini kama ni usalama anapokuwa nje haileti maana kwamba huko nje Kuna security KULIKO ndani ndio maana anakwenda bila Hawa wasaodizi wake kiusalama?
 
Hata sijui hao jamaa wanafanya kazi zao saa ngapi? Lakini alianzisha Magufuli hiyo tabia.
Ni kweli, mambo hayo alianzisha Pombe., mambo mengi sana Mama anamuiga Pombe lakini kila uchwao anajifanya kumtukana eti alikuwa simba dikteta.
 
Sababu huwa hawajachaguliwa na wananchi, kama kweli wananchi wamekuchagua wanakupenda kwanini uwabebee bunduki?

Kula tano mwanangu. Unakuta kiongozi ana ulinzi mkali sehemu anayosema kachaguliwa, lakini huko nje ambako hana hata kura moja ndio hana ulinzi wa kutiha. Halafu ukiongea na hao watu wa protocol wanajifanya wanajua wanachofanya eti hayo ni mambo ya system. Kimsingi kinachofanyika ni kupandikiza hofu isiyokuwepo ili kujipatia ulaji wa bwerere kwa watu wanaosimamia hizo hafla za rais.
 
Sababu huwa hawajachaguliwa na wananchi, kama kweli wananchi wamekuchagua wanakupenda kwanini uwabebee bunduki?
Hao wananchi unao wasema. Baadhi yao wako magerezani.
Why? Sababu ni wahalifu

Unajua kwanini? Kwenye jamii si wote ni wema. Anytime anywhere unafanyiwa chochote kibaya
 
Tunaweza kubadilika nakuokoa fedha na rasilimali wakati pale tutakapokubali kwamba upo umihimu wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.

Mhe. Rais akiwa popote nchini anakuwa na wakuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama ambao naamini Kila mmoja anakwenda na timu ya Watu wasiopungua kumi. Watu Hawa qanalipwa na mafuta yanalipwa pia Kwa Kodi zetu.

Lakini akiwa nje ya nchi hakuna Mkuu wa chombo anayeambatana naye. Maana yake ni kwamba wakuu wa vyombo watafanya KAZI zao pale TU ratiba ya Mhe. Rais inapokuwa loose ila ikiwa tyt kama ya Mhe. Rais basi Kila Siku KAZI ofisini zitalala.

Ni yapi madhara au ipi faida ya kuambatana na Hawa viongozi? Mbona Mataifa yaliyoendelea hawana hizi tamaduni? Kama ni usalama je, wakiwa pamoja ndipo usalama unakuwa mkubwa? Lakini kama ni usalama anapokuwa nje haileti maana kwamba huko nje Kuna security KULIKO ndani ndio maana anakwenda bila Hawa wasaodizi wake kiusalama?

Huu ni ukweli, jambo dogo wakuu wote wanajazana pale, hata ki usalama sio sawa.
 
Tunaweza kubadilika nakuokoa fedha na rasilimali wakati pale tutakapokubali kwamba upo umihimu wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.

Mhe. Rais akiwa popote nchini anakuwa na wakuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama ambao naamini Kila mmoja anakwenda na timu ya Watu wasiopungua kumi. Watu Hawa qanalipwa na mafuta yanalipwa pia Kwa Kodi zetu.

Lakini akiwa nje ya nchi hakuna Mkuu wa chombo anayeambatana naye. Maana yake ni kwamba wakuu wa vyombo watafanya KAZI zao pale TU ratiba ya Mhe. Rais inapokuwa loose ila ikiwa tyt kama ya Mhe. Rais basi Kila Siku KAZI ofisini zitalala.

Ni yapi madhara au ipi faida ya kuambatana na Hawa viongozi? Mbona Mataifa yaliyoendelea hawana hizi tamaduni? Kama ni usalama je, wakiwa pamoja ndipo usalama unakuwa mkubwa? Lakini kama ni usalama anapokuwa nje haileti maana kwamba huko nje Kuna security KULIKO ndani ndio maana anakwenda bila Hawa wasaodizi wake kiusalama?
Anaogopa watapindua meza anawaweka karibu zaidi
 
Huu ni ukweli, jambo dogo wakuu wote wanajazana pale, hata ki usalama sio sawa.
Ni kawaida ya nyumbu kufuatana ili mradi nyumbu mmoja akitangulia mbele na wengineo wanafuata tuu hata akiingia mtoni na wao wataingia humo humo.
 
Hao wananchi unao wasema. Baadhi yao wako magerezani.
Why? Sababu ni wahalifu

Unajua kwanini? Kwenye jamii si wote ni wema. Anytime anywhere unafanyiwa chochote kibaya
Mbona Rais wa Zambia ana ulinzi wa kawaida sn huku ni sawa na RC?
 
Kula tano mwanangu. Unakuta kiongozi ana ulinzi mkali sehemu anayosema kachaguliwa, lakini huko nje ambako hana hata kura moja ndio hana ulinzi wa kutiha. Halafu ukiongea na hao watu wa protocol wanajifanya wanajua wanachofanya eti hayo ni mambo ya system. Kimsingi kinachofanyika ni kupandikiza hofu isiyokuwepo ili kujipatia ulaji wa bwerere kwa watu wanaosimamia hizo hafla za rais.
Ni matumizi mabaya ya fedha za umma
 
Back
Top Bottom