Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati wa mkwere hata DG wa TISS hatukumjua haya yalianza wakati wa yule mshamba wa kisukuma!Tunaweza kubadilika nakuokoa fedha na rasilimali wakati pale tutakapokubali kwamba upo umihimu wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.
Mhe. Rais akiwa popote nchini anakuwa na wakuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama ambao naamini Kila mmoja anakwenda na timu ya Watu wasiopungua kumi. Watu Hawa qanalipwa na mafuta yanalipwa pia Kwa Kodi zetu.
Lakini akiwa nje ya nchi hakuna Mkuu wa chombo anayeambatana naye. Maana yake ni kwamba wakuu wa vyombo watafanya KAZI zao pale TU ratiba ya Mhe. Rais inapokuwa loose ila ikiwa tyt kama ya Mhe. Rais basi Kila Siku KAZI ofisini zitalala.
Ni yapi madhara au ipi faida ya kuambatana na Hawa viongozi? Mbona Mataifa yaliyoendelea hawana hizi tamaduni? Kama ni usalama je, wakiwa pamoja ndipo usalama unakuwa mkubwa? Lakini kama ni usalama anapokuwa nje haileti maana kwamba huko nje Kuna security KULIKO ndani ndio maana anakwenda bila Hawa wasaodizi wake kiusalama?
Hata wewe ukiwa Rais utalindwa hivyo hivyoSababu huwa hawajachaguliwa na wananchi, kama kweli wananchi wamekuchagua wanakupenda kwanini uwabebee bunduki?
Siyo kwa ulinzi wa namna hiyoHata wewe ukiwa Rais utalindwa hivyo hivyo
Utawazuia?Siyo kwa ulinzi wa namna hiyo
UnakataaUtawazuia?
Ulinzi kwa rais ni muhimu, aina ya ulinzi tangu enzi za magufuli ni mbwembwe, ushamba na matumizi mabovu ya pesa za umma.Tunaweza kubadilika nakuokoa fedha na rasilimali wakati pale tutakapokubali kwamba upo umihimu wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.
Mhe. Rais akiwa popote nchini anakuwa na wakuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama ambao naamini Kila mmoja anakwenda na timu ya Watu wasiopungua kumi. Watu Hawa qanalipwa na mafuta yanalipwa pia Kwa Kodi zetu.
Lakini akiwa nje ya nchi hakuna Mkuu wa chombo anayeambatana naye. Maana yake ni kwamba wakuu wa vyombo watafanya KAZI zao pale TU ratiba ya Mhe. Rais inapokuwa loose ila ikiwa tyt kama ya Mhe. Rais basi Kila Siku KAZI ofisini zitalala.
Ni yapi madhara au ipi faida ya kuambatana na Hawa viongozi? Mbona Mataifa yaliyoendelea hawana hizi tamaduni? Kama ni usalama je, wakiwa pamoja ndipo usalama unakuwa mkubwa? Lakini kama ni usalama anapokuwa nje haileti maana kwamba huko nje Kuna security KULIKO ndani ndio maana anakwenda bila Hawa wasaodizi wake kiusalama?
Kumbuka anapokuwa nje anakuwa kakasimu madaraka kwa Makamu wa Raisi/Jaji Mkuu/ Spika so kazi lazima ziendelee huku home.Tunaweza kubadilika nakuokoa fedha na rasilimali wakati pale tutakapokubali kwamba upo umihimu wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.
Mhe. Rais akiwa popote nchini anakuwa na wakuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama ambao naamini Kila mmoja anakwenda na timu ya Watu wasiopungua kumi. Watu Hawa qanalipwa na mafuta yanalipwa pia Kwa Kodi zetu.
Lakini akiwa nje ya nchi hakuna Mkuu wa chombo anayeambatana naye. Maana yake ni kwamba wakuu wa vyombo watafanya KAZI zao pale TU ratiba ya Mhe. Rais inapokuwa loose ila ikiwa tyt kama ya Mhe. Rais basi Kila Siku KAZI ofisini zitalala.
Ni yapi madhara au ipi faida ya kuambatana na Hawa viongozi? Mbona Mataifa yaliyoendelea hawana hizi tamaduni? Kama ni usalama je, wakiwa pamoja ndipo usalama unakuwa mkubwa? Lakini kama ni usalama anapokuwa nje haileti maana kwamba huko nje Kuna security KULIKO ndani ndio maana anakwenda bila Hawa wasaodizi wake kiusalama?
😂🤣😅😆😁😄😃😀😀Woga Ndugu ZanguIla kweli,nje ya nchi,simuonagi IGP,CDF wala nani,kule sijui huwa analindwaje wakati kule ana kura moja tu,ya balozi ambaye huwa kule.
Sababu ni wanatumbua Kodi yako watakavyo.Tunaweza kubadilika nakuokoa fedha na rasilimali wakati pale tutakapokubali kwamba upo umihimu wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.
Mhe. Rais akiwa popote nchini anakuwa na wakuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama ambao naamini Kila mmoja anakwenda na timu ya Watu wasiopungua kumi. Watu Hawa qanalipwa na mafuta yanalipwa pia Kwa Kodi zetu.
Lakini akiwa nje ya nchi hakuna Mkuu wa chombo anayeambatana naye. Maana yake ni kwamba wakuu wa vyombo watafanya KAZI zao pale TU ratiba ya Mhe. Rais inapokuwa loose ila ikiwa tyt kama ya Mhe. Rais basi Kila Siku KAZI ofisini zitalala.
Ni yapi madhara au ipi faida ya kuambatana na Hawa viongozi? Mbona Mataifa yaliyoendelea hawana hizi tamaduni? Kama ni usalama je, wakiwa pamoja ndipo usalama unakuwa mkubwa? Lakini kama ni usalama anapokuwa nje haileti maana kwamba huko nje Kuna security KULIKO ndani ndio maana anakwenda bila Hawa wasaodizi wake kiusalama?