Kwanini Ratiba ya Rais ndani ya nchi ni Ratiba ya wakuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama? Kwanini akiwa nje ya nchi yupo mwenyewe?

Kwanini Ratiba ya Rais ndani ya nchi ni Ratiba ya wakuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama? Kwanini akiwa nje ya nchi yupo mwenyewe?

Analindwa popote na muda wowote, picha za kumuona mwenyewe zisikudanganye...

Ni kama vile unavyangalia movie mtu akiwa peke yake msituni anakimbizwa ila kiuhalisi kuna watu kiboa wapo nae pale behind the scene...
 
Tunaweza kubadilika nakuokoa fedha na rasilimali wakati pale tutakapokubali kwamba upo umihimu wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.

Mhe. Rais akiwa popote nchini anakuwa na wakuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama ambao naamini Kila mmoja anakwenda na timu ya Watu wasiopungua kumi. Watu Hawa qanalipwa na mafuta yanalipwa pia Kwa Kodi zetu.

Lakini akiwa nje ya nchi hakuna Mkuu wa chombo anayeambatana naye. Maana yake ni kwamba wakuu wa vyombo watafanya KAZI zao pale TU ratiba ya Mhe. Rais inapokuwa loose ila ikiwa tyt kama ya Mhe. Rais basi Kila Siku KAZI ofisini zitalala.

Ni yapi madhara au ipi faida ya kuambatana na Hawa viongozi? Mbona Mataifa yaliyoendelea hawana hizi tamaduni? Kama ni usalama je, wakiwa pamoja ndipo usalama unakuwa mkubwa? Lakini kama ni usalama anapokuwa nje haileti maana kwamba huko nje Kuna security KULIKO ndani ndio maana anakwenda bila Hawa wasaodizi wake kiusalama?
Wakati wa mkwere hata DG wa TISS hatukumjua haya yalianza wakati wa yule mshamba wa kisukuma!
Mungu fundi
 
Tunaweza kubadilika nakuokoa fedha na rasilimali wakati pale tutakapokubali kwamba upo umihimu wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.

Mhe. Rais akiwa popote nchini anakuwa na wakuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama ambao naamini Kila mmoja anakwenda na timu ya Watu wasiopungua kumi. Watu Hawa qanalipwa na mafuta yanalipwa pia Kwa Kodi zetu.

Lakini akiwa nje ya nchi hakuna Mkuu wa chombo anayeambatana naye. Maana yake ni kwamba wakuu wa vyombo watafanya KAZI zao pale TU ratiba ya Mhe. Rais inapokuwa loose ila ikiwa tyt kama ya Mhe. Rais basi Kila Siku KAZI ofisini zitalala.

Ni yapi madhara au ipi faida ya kuambatana na Hawa viongozi? Mbona Mataifa yaliyoendelea hawana hizi tamaduni? Kama ni usalama je, wakiwa pamoja ndipo usalama unakuwa mkubwa? Lakini kama ni usalama anapokuwa nje haileti maana kwamba huko nje Kuna security KULIKO ndani ndio maana anakwenda bila Hawa wasaodizi wake kiusalama?
Ulinzi kwa rais ni muhimu, aina ya ulinzi tangu enzi za magufuli ni mbwembwe, ushamba na matumizi mabovu ya pesa za umma.
 
Tunaweza kubadilika nakuokoa fedha na rasilimali wakati pale tutakapokubali kwamba upo umihimu wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.

Mhe. Rais akiwa popote nchini anakuwa na wakuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama ambao naamini Kila mmoja anakwenda na timu ya Watu wasiopungua kumi. Watu Hawa qanalipwa na mafuta yanalipwa pia Kwa Kodi zetu.

Lakini akiwa nje ya nchi hakuna Mkuu wa chombo anayeambatana naye. Maana yake ni kwamba wakuu wa vyombo watafanya KAZI zao pale TU ratiba ya Mhe. Rais inapokuwa loose ila ikiwa tyt kama ya Mhe. Rais basi Kila Siku KAZI ofisini zitalala.

Ni yapi madhara au ipi faida ya kuambatana na Hawa viongozi? Mbona Mataifa yaliyoendelea hawana hizi tamaduni? Kama ni usalama je, wakiwa pamoja ndipo usalama unakuwa mkubwa? Lakini kama ni usalama anapokuwa nje haileti maana kwamba huko nje Kuna security KULIKO ndani ndio maana anakwenda bila Hawa wasaodizi wake kiusalama?
Kumbuka anapokuwa nje anakuwa kakasimu madaraka kwa Makamu wa Raisi/Jaji Mkuu/ Spika so kazi lazima ziendelee huku home.
 
Ila kweli,nje ya nchi,simuonagi IGP,CDF wala nani,kule sijui huwa analindwaje wakati kule ana kura moja tu,ya balozi ambaye huwa kule.
 
Ila kweli,nje ya nchi,simuonagi IGP,CDF wala nani,kule sijui huwa analindwaje wakati kule ana kura moja tu,ya balozi ambaye huwa kule.
😂🤣😅😆😁😄😃😀😀Woga Ndugu Zangu
 
Tunaweza kubadilika nakuokoa fedha na rasilimali wakati pale tutakapokubali kwamba upo umihimu wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.

Mhe. Rais akiwa popote nchini anakuwa na wakuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama ambao naamini Kila mmoja anakwenda na timu ya Watu wasiopungua kumi. Watu Hawa qanalipwa na mafuta yanalipwa pia Kwa Kodi zetu.

Lakini akiwa nje ya nchi hakuna Mkuu wa chombo anayeambatana naye. Maana yake ni kwamba wakuu wa vyombo watafanya KAZI zao pale TU ratiba ya Mhe. Rais inapokuwa loose ila ikiwa tyt kama ya Mhe. Rais basi Kila Siku KAZI ofisini zitalala.

Ni yapi madhara au ipi faida ya kuambatana na Hawa viongozi? Mbona Mataifa yaliyoendelea hawana hizi tamaduni? Kama ni usalama je, wakiwa pamoja ndipo usalama unakuwa mkubwa? Lakini kama ni usalama anapokuwa nje haileti maana kwamba huko nje Kuna security KULIKO ndani ndio maana anakwenda bila Hawa wasaodizi wake kiusalama?
Sababu ni wanatumbua Kodi yako watakavyo.

Wewe fanya biashara / kazi lipa Kodi, tozo karibu ya 20% -50% ya kipato chako, jasho lako.

Waachie wenyewe wajipangie jinsi ya kutumbua. Wajilipe posho, kununua V8, kujenga Ikulu mpya upigaji, ufisadi kila sehemu.
 
Back
Top Bottom