Kwanini RC wa Manyara, Makongoro Nyerere alimpigia saluti ya kijeshi Rais wakati wa kiapo?

Kwanini RC wa Manyara, Makongoro Nyerere alimpigia saluti ya kijeshi Rais wakati wa kiapo?

ngaiwoye

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
2,150
Reaction score
3,225
Wakuu, naomba kuuliza kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Je ni mwanajeshi mstaafu ama mwandamizi?

Nadhani wengi wetu hatufahamu. Makongoro Nyerere anakubalika sana na wananchi. Sisi wananchi tumefurahi Sana Mh. Rais wetu kuikumbuka familia ya baba wa Taifa.
1621583111588.png

 
Ni mihemko tu ya kulamba uteuzi kimasihara! Kwani hata kama ni mjeshi mstaafu salute za kijeshi hazitolewi tu kienyeji, zina kanuni zake. Sasa mtu hata sare hajavaa anapiga salute hiyo miongozo ni ya jeshi gani??
Nakupinga kwa miguu na mikono yote watoto wa Nyerere wote hawana hulka hizo, huyo Makongoro angekuwa wa kujipendekeza angekuwa mbali sana na angekuwa MTU mkubwa sana hapa Tanzania.
 
Ni huyu ndiyo aliulizwa na mwandishi "Nasikia unapenda sana wanawake" akajibu kwa swali "Sasa ndugu yangu ulitaka nipende wanaume?"
Nadhani alimaanisha anapenda wanawake akiwemo Rais Samia.
Sema Makongoro ni muongeaji sana kwahiyo maelezo yake yalikuwa marefu, hayakufika mwisho.

Makongoro ni mtu wa comedy sana.
 
Ni mihemko tu ya kulamba uteuzi kimasihara! Kwani hata kama ni mjeshi mstaafu salute za kijeshi hazitolewi tu kienyeji, zina kanuni zake. Sasa mtu hata sare hajavaa anapiga salute hiyo miongozo ni ya jeshi gani?
Hakupiga saluti, alitoa heshima ambayo mwanajeshi yoyote ambae hajavaa uniform anapaswa kuitoa.
 
Ni mihemko tu ya kulamba uteuzi kimasihara! Kwani hata kama ni mjeshi mstaafu salute za kijeshi hazitolewi tu kienyeji, zina kanuni zake. Sasa mtu hata sare hajavaa anapiga salute hiyo miongozo ni ya jeshi gani??
Alibana mikono kwa ukakamavu na kunyanyua visigino mbele ya amiri jeshi mkuu.
 
Wakuu, naomba kuuliza kama kichwa Cha habari kinavyojieleza. Je ni mwanajeshi mstaafu ama mwandamizi?
Nadhani wengi wetu hatufaham. Makongoro Nyerere anakubalika Sana na wananchi. Sisi wananchi tumefurahi Sana Mh. Raisi wetu kuikumbuka familia ya baba wa Taifa.
Anafaa sn kwa kweli
 
Wakuu, naomba kuuliza kama kichwa Cha habari kinavyojieleza. Je ni mwanajeshi mstaafu ama mwandamizi???
Nadhani wengi wetu hatufaham. Makongoro Nyerere anakubalika Sana na wananchi. Sisi wananchi tumefurahi Sana Mh. Raisi wetu kuikumbuka familia ya baba wa Taifa.
Hangover is real.
 
Back
Top Bottom