Ni huyu ndiyo aliulizwa na mwandishi "Nasikia unapenda sana wanawake" akajibu kwa swali "Sasa ndugu yangu ulitaka nipende wanaume?"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni huyu ndiyo aliulizwa na mwandishi "Nasikia unapenda sana wanawake" akajibu kwa swali "Sasa ndugu yangu ulitaka nipende wanaume?"
Lakini hakukosea. Jibu maridhawa kabisaNi huyu ndiyo aliulizwa na mwandishi "Nasikia unapenda sana wanawake" akajibu kwa swali "Sasa ndugu yangu ulitaka nipende wanaume?"
Akiwa amepiga kinywaji chake ndio zake hizo. Manyara Wataona rangi zote
Kule kuna gongo nzuri kuliko kinywaji chake pendwa cha konyagi alichozoea ndiyo kila siku ataokotwa mtaroni.Akiwa amepiga kinywaji chake ndio zake hizo. Manyara Wataona rangi zote
Ni wakati muafaka kwa wawekezaji kuchangamkia fursa ya ujenzi wa kiwanda cha hicho kinywaji mkoa wa Manyara."WILD" konyiagie haimuachi mtu salama
Kwa majungu na umbea naona ni asili yenu kwani hata wazazi wako walikuwa hivyo.Kule kuna gongo nzuri kuliko kinywaji chake pendwa cha konyagi alichozoea ndiyo kila siku ataokotwa mtaroni.
Na wewe mbona unampambia sana, ana mke yule tena mke wake ni Mh.JajiUtendaji kazi.
Hapo Ufipa hakuna mwenye cv iliyotukuka kama ya Makongoro!
Afu jana kasema mi kupenda wanawake na wanawake ndo wameniona na kuniteuwa.Ni huyu ndiyo aliulizwa na mwandishi "Nasikia unapenda sana wanawake" akajibu kwa swali "Sasa ndugu yangu ulitaka nipende wanaume?"
Muulize mama yako anaujua mziki wangu. Ukimtajia jina langu tu mwili unamsisimka.Kwa majungu na umbea naona ni asili yenu kwani hata wazazi wako walikuwa hivyo.
labda sikuhizi afande,zimegawanywa zipo salute heshima zakisiasa na heshima za kijeshiAnapigaje salute bila sare na kofia ya kijeshi, unapopiga salute ni sharti uwe na kofia, usipokuwa na kofia unatakiwa kubana mikono
Mbona wewe umeolewa na Nyangali lakini tunakumbana manka!Na wewe mbona unampambia sana, ana mke yule tena mke wake ni Mh.Jaji
Ndiyo tatizo lako ukiwa kwenye heat unaparamia paramia wanaume.Mbona wewe umeolewa na Nyangali lakini tunakumbana manka!
Haya mama Nyangali!Ndiyo tatizo lako ukiwa kwenye heat unaparamia paramia wanaume.
Kaitupie hata maji ya moto utulie utapa ukimwi bureHaya mama Nyangali!
Kama unavyotupia wewe Mdude akiwa jela!Kaitupie hata maji ya moto utulie utapa ukimwi bure
Huyo ni retired army officerWakuu, naomba kuuliza kama kichwa Cha habari kinavyojieleza. Je ni mwanajeshi mstaafu ama mwandamizi?
Nadhani wengi wetu hatufahamu. Makongoro Nyerere anakubalika sana na wananchi. Sisi wananchi tumefurahi Sana Mh. Rais wetu kuikumbuka familia ya baba wa Taifa.