Majungu hayoAkiwa amepiga kinywaji chake ndio zake hizo. Manyara Wataona rangi zote
Mkuu mbatizaji Unamaanisha Makongoro Nyerere alkua mgambo? Ama alikuwa jwtz kabisa kama mwanajeshi kamili?Makongoro ni mwanajeshi wa akiba.
Alipigana vita vya Kagera!
Ni captain mstaafu wa JWTZ!Mkuu mbatizaji Unamaanisha Makongoro Nyerere alkua mgambo? Ama alikuwa jwtz kabisa kama mwanajeshi kamili?
Utendaji kazi.kinachoangaliwa kwenye uteuzi ni kipi, kuikumbuka familia ya Mwalimu ama utendaji kazi?
Nakupinga kwa miguu na mikono yote watoto wa Nyerere wote hawana hulka hizo, huyo Makongoro angekuwa wa kujipendekeza angekuwa mbali sana na angekuwa MTU mkubwa sana hapa Tanzania.Ni mihemko tu ya kulamba uteuzi kimasihara! Kwani hata kama ni mjeshi mstaafu salute za kijeshi hazitolewi tu kienyeji, zina kanuni zake. Sasa mtu hata sare hajavaa anapiga salute hiyo miongozo ni ya jeshi gani??
Nadhani alimaanisha anapenda wanawake akiwemo Rais Samia.Ni huyu ndiyo aliulizwa na mwandishi "Nasikia unapenda sana wanawake" akajibu kwa swali "Sasa ndugu yangu ulitaka nipende wanaume?"
Hakupiga saluti, alitoa heshima ambayo mwanajeshi yoyote ambae hajavaa uniform anapaswa kuitoa.Ni mihemko tu ya kulamba uteuzi kimasihara! Kwani hata kama ni mjeshi mstaafu salute za kijeshi hazitolewi tu kienyeji, zina kanuni zake. Sasa mtu hata sare hajavaa anapiga salute hiyo miongozo ni ya jeshi gani?
Alibaba mikono na kunyanyua visigino mkuuAnapigaje salute bila sare na kofia ya kijeshi, unapopiga salute ni sharti uwe na kofia, usipokuwa na kofia unatakiwa kubana mikono
Alibana mikono kwa ukakamavu na kunyanyua visigino mbele ya amiri jeshi mkuu.Ni mihemko tu ya kulamba uteuzi kimasihara! Kwani hata kama ni mjeshi mstaafu salute za kijeshi hazitolewi tu kienyeji, zina kanuni zake. Sasa mtu hata sare hajavaa anapiga salute hiyo miongozo ni ya jeshi gani??
Anafaa sn kwa kweliWakuu, naomba kuuliza kama kichwa Cha habari kinavyojieleza. Je ni mwanajeshi mstaafu ama mwandamizi?
Nadhani wengi wetu hatufaham. Makongoro Nyerere anakubalika Sana na wananchi. Sisi wananchi tumefurahi Sana Mh. Raisi wetu kuikumbuka familia ya baba wa Taifa.
Alikuwa sahihi, zamani ilikuwa lazima kwenda National Service, na huko walifundisha kwamba ukishakuwa na force number wewe ni askari tayari, unatakiwa kusalimu viongozi kwa salute, nadhani amerejea hiloAlibaba mikono na kunyanyua visigino mkuu
Hangover is real.Wakuu, naomba kuuliza kama kichwa Cha habari kinavyojieleza. Je ni mwanajeshi mstaafu ama mwandamizi???
Nadhani wengi wetu hatufaham. Makongoro Nyerere anakubalika Sana na wananchi. Sisi wananchi tumefurahi Sana Mh. Raisi wetu kuikumbuka familia ya baba wa Taifa.
"WILD" konyiagie haimuachi mtu salamaAkiwa amepiga kinywaji chake ndio zake hizo. Manyara Wataona rangi zote
🤣"WILD" konyiagie haimuachi mtu salama