Kwanini Redio za zamani zina music mzuri na spika tulivu kuliko hizi za kisasa?

Kwanini Redio za zamani zina music mzuri na spika tulivu kuliko hizi za kisasa?

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Haya maendeleo ya Sayansi na Teknolojia sometime yananichanganya.

Ukuaji wa teknolojia unatarajiwa kukuwa na viwango bora vya bidhaa na uimara zaidi.

Hali imekuwa tofauti kabisa kwenye idara ya music sounds and systems.

Yaani ukienda dukani ukapata Redio yako ya Sony au Rising ya zamani au Hitach kwa wale wahenga wenzangu utagundua zinatoa sauti na mziki safi kuliko hizi Saboof na Home Theatres, enzi hizo tukiziita Double Decker zinazotumia Casset au CD.

Shida ni utalaam unapotea kwenye viwanda au siku hizi ni bora liende waingize maokoto?
 
Mchina alishawaroga unanunuaje redio, TV and Gaming device ambayo haijawa certified na DOLBY. Sikiliza mziki unaotoka kwenye AIWA, KENWOOD au Sony za zamani halafu fananisha na takataka za Singsung, Kodtec na upuuzi mwingine mwingi😁
 
Radio siku hizi zinauzwa kulingana na uwezo wako au plan zako.

Radio za kichina tunazishukuru sana sababu kila mtu anapata mziki kwake..sisi tunaona quality nzuri lkn wengine wanaona mbaya cha ajabu wananunua hizo hizo.

Kama unaona seapeano huelew (150k) nunua sony ( 800k+)
 
Radio siku hizi zinauzwa kulingana na uwezo wako au plan zako.

Radio za kichina tunazishukuru sana sababu kila mtu anapata mziki kwake..sisi tunaona quality nzuri lkn wengine wanaona mbaya cha ajabu wananunua hizo hizo.

Kama unaona seapeano huelew (150k) nunua sony ( 800k+)
Hahaha lakini nazungumzia ule mchujo wa sauti......hiyo Sonny Theatre ina misauti mikubwa lakini ile confort ya kusikiliza mziki ni tofauti na Sony ya mwaka 2000
 
Hilo ndio swali langu.......zamani redio unanunua laki moja tu hata hizi Used tunanunua Laki tatu lakini mziki wake unazidi Sony ya laki nane
Ni kweli mimi natumia Sony ya zaman,sina mpango kabisa wa kubadilisha.
Sasa mkuu hiyo used ya laki 3 unadhan wakati inatoka iliuzwa bei gan, una kwa value ya sasa itakuwa bei gani?
Mi naona laki 8 kwa redio mpya bado ni bei ndogo,music system za kueleweka ni bei sana, wengi hatuwezi kuafford..ndo mana mchina kaleta hizo za laki 8!
 
Sisi ndio tulisababisha technology ifike hapa ilipo, zamani tunafungua speaker tunaweka kwenye chungu au pipa za mbao ili kutengeneza mziki mzito
 
Haya maendeleo ya Sayansi na Teknolojia sometime yananichanganya.

Ukuaji wa teknolojia unatarajiwa kukuwa na viwango bora vya bidhaa na uimara zaidi.

Hali imekuwa tofauti kabisa kwenye idara ya music sounds and systems.

Yaani ukienda dukani ukapata Redio yako ya Sony au Rising ya zamani au Hitach kwa wale wahenga wenzangu utagundua zinatoa sauti na mziki safi kuliko hizi Saboof na Home Theatres, enzi hizo tukiziita Double Decker zinazotumia Casset au CD.

Shida ni utalaam unapotea kwenye viwanda au siku hizi ni bora liende waingize maokoto?
Una akili sana!!

Technology ya Natinal Panasonic, Sharp, Hitachi, Aiwa, Sanyo, Sony, ilikuwa ni Hi-Fi ilikuwa na sauti tuliku isiyoumiza masikio hata ufungulie high volume, ila siku hizi mateso tupu, kuna mdau humu aliwahi kuelezea teknolojia ya High Fidelity nilimwelewa vizuri sana
 
Haya maendeleo ya Sayansi na Teknolojia sometime yananichanganya.

Ukuaji wa teknolojia unatarajiwa kukuwa na viwango bora vya bidhaa na uimara zaidi.

Hali imekuwa tofauti kabisa kwenye idara ya music sounds and systems.

Yaani ukienda dukani ukapata Redio yako ya Sony au Rising ya zamani au Hitach kwa wale wahenga wenzangu utagundua zinatoa sauti na mziki safi kuliko hizi Saboof na Home Theatres, enzi hizo tukiziita Double Decker zinazotumia Casset au CD.

Shida ni utalaam unapotea kwenye viwanda au siku hizi ni bora liende waingize maokoto?
Bora maokoto!
 
Una akili sana!!

Technology ya Natinal Panasonic, Sharp, Hitachi, Aiwa, Sanyo, Sony, ilikuwa ni Hi-Fi ilikuwa na sauti tuliku isiyoumiza masikio hata ufungulie high volume, ila siku hizi mateso tupu, kuna mdau humu aliwahi kuelezea teknolojia ya High Fidelity nilimwelewa vizuri sana
Yaani mimi mwenyewe napata tabu sana kununua Redio za kileo eti ili upate nzuri lazima ununue kuanzi Milioni na zaidi
 
Una akili sana!!

Technology ya Natinal Panasonic, Sharp, Hitachi, Aiwa, Sanyo, Sony, ilikuwa ni Hi-Fi ilikuwa na sauti tuliku isiyoumiza masikio hata ufungulie high volume, ila siku hizi mateso tupu, kuna mdau humu aliwahi kuelezea teknolojia ya High Fidelity nilimwelewa vizuri sana
Kaka Umenikumbusha National Panasonic ikiwa na spika mbili pembeni za kubandika na kubandua😆😆
 
Kaka Umenikumbusha National Panasonic ikiwa na spika mbili pembeni za kubandika na kubandua😆😆
Detachable speakers

1697268871176.png
1697268908208.png
1697268932414.png


Kwasababu ya uelewa mdogo ilikuwa unamkuta mtu ana record kwenye cassete anainua antennae hadi mwisho akiamini inasaidia kuomgeza ufanisi🤣
 
Sasa mkuu hiyo used ya laki 3 unadhan wakati inatoka iliuzwa bei gan, una kwa value ya sasa itakuwa bei gani?
Kuna mtu mmoja ni maarufu hivi sasa alizaliwa kutokana na radio hii (National Panasonic Memory Q)
Jamaa alikwenda Kagera vitani mwaka 1978, akarudi na hii redio👇, binti mmoja akajipenyeza kwenda kucheza muziki kwake na siku hiyohiyo akanasa mimba na kupelekea kuzaliwa huyo mtu maarufu kwenye chama chetu
1697269253190.png
 
Kuna mtu mmoja ni maarufu hivi sasa alizaliwa kutokana na radio hii (National Panasonic Memory Q)
Jamaa alikwenda Kagera vitani mwaka 1978, akarudi na hii redio👇, binti mmoja akajipenyeza kwenda kucheza muziki kwake na siku hiyohiyo akanasa mimba na kupelekea kuzaliwa huyo mtu maarufu kwenye chama chetu
View attachment 2781608
Nani huyo.😆😆
 
Back
Top Bottom