Kwanini Redio za zamani zina music mzuri na spika tulivu kuliko hizi za kisasa?

Kwanini Redio za zamani zina music mzuri na spika tulivu kuliko hizi za kisasa?

Kuna mtu mmoja ni maarufu hivi sasa alizaliwa kutokana na radio hii (National Panasonic Memory Q)
Jamaa alikwenda Kagera vitani mwaka 1978, akarudi na hii redio👇, binti mmoja akajipenyeza kwenda kucheza muziki kwake na siku hiyohiyo akanasa mimba na kupelekea kuzaliwa huyo mtu maarufu kwenye chama chetu
View attachment 2781608
Nilijua chama tu kumbe hadi mziki una wenyewe, na mwenyewe ndio yeye sasa😂
 
Radio siku hizi zinauzwa kulingana na uwezo wako au plan zako.

Radio za kichina tunazishukuru sana sababu kila mtu anapata mziki kwake..sisi tunaona quality nzuri lkn wengine wanaona mbaya cha ajabu wananunua hizo hizo.

Kama unaona seapeano huelew (150k) nunua sony ( 800k+)
Mkuu, wapi nitapata sound bar za sony nzuri? Hasa kwa Dar es salaam?
 
Mchina alishawaroga unanunuaje redio, TV and Gaming device ambayo haijawa certified na DOLBY. Sikiliza mziki unaotoka kwenye AIWA, KENWOOD au Sony za zamani halafu fananisha na takataka za Singsung, Kodtec na upuuzi mwingine mwingi[emoji16]
Kabisa mkuu, nilikuwa na Sony 3CD miaka ya 97, ukipiga hadi spika inatembea, kick yake simchezo na imetulia sio ule unakoroma na inachuja kinanda, mim ni mpenzi wa music system ila toka imekufa sijawahi kutana na redio yenye ule mziki mpaka leo, hizo wanazouza 2m Sasa hivi hamna kitu makelele tu
 
Kuna mtu mmoja ni maarufu hivi sasa alizaliwa kutokana na radio hii (National Panasonic Memory Q)
Jamaa alikwenda Kagera vitani mwaka 1978, akarudi na hii redio👇, binti mmoja akajipenyeza kwenda kucheza muziki kwake na siku hiyohiyo akanasa mimba na kupelekea kuzaliwa huyo mtu maarufu kwenye chama chetu
View attachment 2781608
Otikiii 🤪 ni nani huyo
 
Kabisa mkuu, nilikuwa na Sony 3CD miaka ya 97, ukipiga hadi spika inatembea, kick yake simchezo na imetulia sio ule unakoroma na inachuja kinanda, mim ni mpenzi wa music system ila toka imekufa sijawahi kutana na redio yenye ule mziki mpaka leo, hizo wanazouza 2m Sasa hivi hamna kitu makelele tu

Music and music system ukivijua hivyo vitu raha sana mzee.
 
Radio siku hizi zinauzwa kulingana na uwezo wako au plan zako.

Radio za kichina tunazishukuru sana sababu kila mtu anapata mziki kwake..sisi tunaona quality nzuri lkn wengine wanaona mbaya cha ajabu wananunua hizo hizo.

Kama unaona seapeano huelew (150k) nunua sony ( 800k+)
Ukiwa njiani na laki 8 yako kwenda mjini kununua SONY ...unapokea sms hizi 1."Baby nimemiss kuku wa kuchoma"
2.MWANANGU MBONA UMENISAHAU MIMI MAMA YAKO HATA HELA YA KITENGE HUTUMI
3.Oya Msela huku kumeanza kuhappen maua yapo shazi
.....kwa sms hizi lazima tu utanunua ABORDER yako ya laki na nusu
 
Masikio yetu ndiyo yamekuwa na tatizo la usikivu
Unaweza ukawa upo sahihi,watu wameathirika na Noise pollution,siku hizi makelele kila kona,so hata huo mziki unaweza kuona kama hautoi sound quality nzuri coz usikivu wako umesha athirika.
 
Jamaa umenikumbusha mbali na betry za kuanika juani
Kuna ile unafunga betri nyingi zaidi ya uwezo wa Radio kwa kuziunganisha kisha unafunga na karatasi au zile bomba za karatasi hala unaunganisha na waya kwenda kwenye Radio yako,tumetoka mbali sana.
 
Zipo Mkuu, hela yako tu, Kama unahitaji Muziki... tafuta Audio/Video Receivers hutajuta, muziki wake Una utulivu wa Hali ya juu Sana high quality sound ingawa Bei yake imechangamka Sana, zipo Denon, Yamaha, Sony, Grundig, Onkyo, JVC, Kenwood , pioneer, Klipsch n.k hizo ni sound proof hapa Tz hatuna jirani Kenya Zipo Bei kuanzia Ksh 49,999/= - Ksh186000/= Bei zake nyingi ni bila spika , unanunua kando kama HarmanKardon au ingia dreamaudio.co.ke na jijikenya utakuta vitu unapenda (Muziki) achana na Sony na Panasonic ya Malaysia utakuja kunishukuru.
 
Back
Top Bottom