Hakushika mpira, sema refa amehadaika tuuuu,Benard Morrison aliushika mpira kabla ya kutoa pasi kwa Kapombe na refa alishapuliza filimbi kabla mpira aujafika kwa Kapombe na wachezaji wote walisikia filimbi. Ndio maana Morrison alikaa chini na kupigapiga nyasi kuonyesha hakushika mpira. Baati nzuri refa alikua karibu na aliliona tukio kwa uhakika.
Kama angetaka kuua move ya Simba angefanya hivyo wakati Bangala amefanyiwa Faul na akapeta ikaleta ilo shambulizi alilo shika Morrison.
Muwe mnasoma kanuni za mpira zinasemaje hakuonyesha offside alionyesha goal kick, kipindi Bocco anapiga mpira hakuonyesha kibendera , jitahidi kua una angalia mpira ukiwa soberKanishangaza sana kipa kacheza mpira unamkuta mshambuliaji eti offside.......ile mechi nyuma ya pazia ina mengi sana
Si ndo yale ya Geita Gold na kapombeHakushika mpira, sema refa amehadaika tuuuu,
Hilo ndo neno mkuuSimba shukuruni leo mmetoka salama
Hata kwa Yanga badala ya kutoa advantage kwa Ntibazokiza alizingua wakati tunapiga counterKuna kipindi Simba walishambulia Morison akampasia Kapombe na ilikuwa ndani ya 18 ,ilikuwa move ya goli. Naomba kufahamu kosa gani ilifanyika ,Tuache ile shuti ya Kanote halafu akapuliza offside.
Ila hata hivo hamna kelele baada ya mechiView attachment 2040820
basi kumbe jibu unalo ulituuliza nini sasa kama sio uzwazwa wakoHilo lipo wazi kabisa ,huwezi kupuliza tu filimbi kwenye move kama ile bila kosa ,hata fair play huwa hadi mchezaji mwenye mpira aamue kuutoa
Wanashangilia sana mitaani, hawakutarajia kabisaSimba shukuruni leo mmetoka salama
Mtu alikua na head injury,kwa Sheria za Sasa head injury inasimamisha mchezo hapohapo,kosa la refa ni kusimamisha move ya yanga ambapo mayele alikua ndani ya 18 na nafasi ya kufunga,akaweka faulo iliyotokea nyuma ya msitari wa katiHilo lipo wazi kabisa ,huwezi kupuliza tu filimbi kwenye move kama ile bila kosa ,hata fair play huwa hadi mchezaji mwenye mpira aamue kuutoa
Mchezaji wa yanga aliumia kichwa,na zaidi kapombe alikua kalazimisha kwenda pembeni ambalo Wala haikua hatari Tena,lakini ya mayele alikua ktk angle nzuri na refa akapuliza faulo iliyotokea nyuma ya msitari wa katiIngekuwa ni upande wa simba ungeskia refa wa mchongo anaibeba simba
Nani aliumia kichwa?Mchezaji wa yanga aliumia kichwa,na zaidi kapombe alikua kalazimisha kwenda pembeni ambalo Wala haikua hatari Tena,lakini ya mayele alikua ktk angle nzuri na refa akapuliza faulo iliyotokea nyuma ya msitari wa kati
Watasema Nini Wakati Walikuwa Wanataka Ushindi Wa Ujanjaujanja Na GSM WaoYanga wamepoa kimyaaa,,si mlikuwa mnasema mna kikosi kizur?maana nmeona hata yule auch alikuwa amepakatwa tu na kanut hahahahaa
nani akipata head injury pale?Mtu alikua na head injury,kwa Sheria za Sasa head injury inasimamisha mchezo hapohapo,kosa la refa ni kusimamisha move ya yanga ambapo mayele alikua ndani ya 18 na nafasi ya kufunga,akaweka faulo iliyotokea nyuma ya msitari wa kati
hata mimi huwa ku reply kwe upumbavu wako naona ni kujishushia heshima.we huwa sikujibu humu maana naonaga nabishana tu na chizi
unaona hata mpira hukufuatilia, sijui uliskiliza kwenye radio?nani akipata head injury pale?