Kwanini ROMBO ipo TANZANIA badala ya kuwa KENYA?

Kwanini ROMBO ipo TANZANIA badala ya kuwa KENYA?

A4.

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
670
Reaction score
108
Hizi ni simulizi za marehemu babu yangu (Mkiwa), ambae alishirikiana sana na mangi (Yohana) baba yake kama sio babu yake Justin Salakana, zamani hizo robo tatu ya Rombo yaani kutoka mto Ugwasi hadi Tarakea lilikuwa eneo la Kenya.

Babu yangu na mangi Yohana walipewa kazi ya kwenda kutoa taarifa kwa mangi Mareale kule Mwika ikitokea wenyeji wa Kenya wameingia na kuanzisha makazi eneo hilo baada ya kuchukuliwa na Tanzania.

Kwa uaminifu wao, walilinda ile mipaka kwa maana kwamba, wakenya walikuwa wakiingia maeneo hayo ya Rombo na kuwafukuza watanzania, kuwachomea nyumba zao na hata kuwaua maana walikuwa na silaha kali za jadi, hivyo ilikuwa ikiwalazimu watz hao kukimbilia misituni.

Babu yangu na mangi Yohana wakiona hayo walikuwa wanafunga safari kwa miguu kutoka huko Useri na Tarakea hadi Mwika kwa Mangi Mareale kutoa taarifa maana wakati huo hakukuwa na simu wala magari, wakishafikisha ujumbe huo, Mareale anatoa taarifa serikalini pale Moshi, jeshi linaenda kuwafukuza hao Wakenya wanarudi kwao.

Huo utaratibu uliendelea hadi uvamizi huo ukaisha na Rombo kubaki Tz na wakati huo watu wakawa wanaongezeka hadi kukajaa watu na kuwa eneo halali la upande wa Tz hadi leo.

Suala la changamoto ni kuwa; tangu wakati huo hadi leo wale watu wanaoishi eneo hilo maana lengo lilikuwa mlima Kilimanjaro ulio mrefu kuliko milima yote barani Afrika uwepo Tanzania lakini wale wanaoishi chini ya ule mlima hawanufaiki kikamilifu na mlima huo tangu enzi hizo za mababu, baba, watoto, wajukuu hadi sasa kuna vitukuu!

Pesa inavunwa pale inapelekwa DSM, ile kidogo sana inayobakizwa tangu enzi hizo haionekani hadi leo hii ule mlima haujanufaisha wakazi wa kule kimaisha.

Eneo kubwa la Rombo hasa lile linalopakana na Kenya, wakazi wa kule ni watanzania ila ni kama wanaishi Kenya! Kwanini? Radio, tv zinazoshika kule ni za Kenya, hata mitandao ya simu access kubwa ni ya Kenya kwani ukifika kule unatumia mfano mtandao wa vodacom, display inakuwa safaricom n.k.

Kwahiyo wanazielewa habari za Kenya kuliko Tanzania. Mambo yanayoendelea Tanzania hadi wayasikie idhaa ya kiswahili ya Kenya (KBC).

Kwa mustakabadhi huo siku siyo nyingi atajitokeza mangi mwingine ashinikize watu wa kule kupiga kura ya kutambua Rombo ni eneo la kenya kama ilivyofanyika Crinnes huko Urusi na Ukraine maana ukiangalia mpakani mwa kenya na rombo ni vitu viwili tofauti kabisa wakati kipindi hicho cha mababu kulikuwa sawa.

Ukiangalia Custum ya Tarakea upande wa tz na upande wa kenya, nenda mji wa Taveta, hadi kuna uwanja wa ndege! Lakini rombo iliyopo tz imesahaulika sana kimiundombinu, huduma za jamii katika mawasiliano ya vyombo vya habari n.k

WITO WANGU SERIKALI IONE HILO MAPEMA.
hata hilo soko la kisasa linaloimbwa kila siku litajengwa Mwika, bado ni kitu kidogo sana japo ni soko la SIASA. Kwanini kusijengwe uwanja wa ndege ili watalii watue kule moja kwa moja? Hatuoni watatua Taveta na kuendelea kuikosesha Tanzania mapato? Serikali yangu, mangi anakaribia kurudi Rombo!
 
Mkuu Shimboni bana, Mbunge wenu yule aliemtoa mama yake kafara ushakutana naye? umemueleza haya au unayalete humu JF kama taarifa tu? (for our information? )
 
Mkuu Shimboni bana, Mbunge wenu yule aliemtoa mama yake kafara ushakutana naye? umemueleza haya au unayalete humu JF kama taarifa tu? (for our information? )

pale wamepita hadi mawaziri ila walifocus maslahi yao tu!
 
pale wamepita hadi mawaziri ila walifocus maslahi yao tu!

Si bora Mramba kawaekea barabara ya lami zile corner zilivyokuwa kali ilikuwa ngumu kupitika hasa kipindi cha mvua. Nakuomba sana mpatie Mbunge wenu halafu akikupatia majibu au solution tufikishie hapa. Kwa sasa tutachangia kwa hisia na utani tu.
 
kwa hiyo unatamani iwe kenya? vipi kuhusu sirali, bukoba kuwa Uganda, kigoma kuwa burundi, tunduma kuwa zambia, dar kuwa comoro?....una fikra mfu sana wewe
 
Rombo imesahaulika kabisa,bora iwe eneo la Kenya,Selasini asahau ubunge kabisa,hiyo atakayotumia kwenye kampeni bora aitoe sadaka.
 
Unania ya kuanzisha vuguvugu la chinichini wewe tumekung'amua, *fahamu hilo! Halitawesekana mangi mbee!
 
kwa hiyo unatamani iwe kenya? vipi kuhusu sirali, bukoba kuwa Uganda, kigoma kuwa burundi, tunduma kuwa zambia, dar kuwa comoro?....una fikra mfu sana wewe

lete hoja mzee! Kwani huko ulikotaja kuna kitu gani cha maana? Dar inafanana na rombo? Dar imeendelea kuliko rombo, zanzibar wanadai zanzibar yao, tutadai nchi ya kilimanjaro siku c nyingi' mlima utakuwaje wa muungano wakati zanzibar hakuna mlima?
 
"Crinnes" huko Urusi????
Hili eneo liko dunia hii kweli,achilia mbali kuwa Urusi

"Custum" ya Tarakea
Daah! Custum ndo nini?au mavi ya tembo kwa kijapan
 
lete hoja mzee! Kwani huko ulikotaja kuna kitu gani cha maana? Dar inafanana na rombo? Dar imeendelea kuliko rombo, zanzibar wanadai zanzibar yao, tutadai nchi ya kilimanjaro siku c nyingi' mlima utakuwaje wa muungano wakati zanzibar hakuna mlima?

ubongo wako umeoza
 
kutotembea kweli ni ulimbukeni. hivi huyu mtoa hoja alishawahi kufika maeneo kama ngara? kule kuanzia lugha,radio,tv,harusi,kuabudu misikiti na makanisa bar na hoteli nzuri unaenda nchi jirani ya burundi na rwanda. na hata umbali wa kutoka kahama mpaka huko ngara ni pori nene sana ni mwendo wa masaa manne kwa gari inayokimbia wastani wa kilometa 140 kwa saa na ni barabara ya lami. nadhani mtoa mada angekuwa ametembea angeanzia kwanza kusema ngara kwa nini iko tanzania. na huyo anayemuita sijui babu yake anatafuta sifa tu,huyo babu inaonekana hana kabisa hadhi ya kuongea na mangi achilia mbali kutumwa marangu.
 
Lakini si inaitwa Republic of Rombo? Lakini ukiachilia hayo mbunge inampasa awajibike sehemu kubwa ya mawasiliano kwa sababu ni kazi rahisi.
 
Hizi ni simulizi za marehemu babu yangu (Mkiwa), ambae alishirikiana sana na mangi (Yohana) baba yake kama sio babu yake Justin Salakana, zamani hizo robo tatu ya Rombo yaani kutoka mto Ugwasi hadi Tarakea lilikuwa eneo la Kenya.

Babu yangu na mangi Yohana walipewa kazi ya kwenda kutoa taarifa kwa mangi Mareale kule Mwika ikitokea wenyeji wa Kenya wameingia na kuanzisha makazi eneo hilo baada ya kuchukuliwa na Tanzania.

Kwa uaminifu wao, walilinda ile mipaka kwa maana kwamba, wakenya walikuwa wakiingia maeneo hayo ya Rombo na kuwafukuza watanzania, kuwachomea nyumba zao na hata kuwaua maana walikuwa na silaha kali za jadi, hivyo ilikuwa ikiwalazimu watz hao kukimbilia misituni.

Babu yangu na mangi Yohana wakiona hayo walikuwa wanafunga safari kwa miguu kutoka huko Useri na Tarakea hadi Mwika kwa Mangi Mareale kutoa taarifa maana wakati huo hakukuwa na simu wala magari, wakishafikisha ujumbe huo, Mareale anatoa taarifa serikalini pale Moshi, jeshi linaenda kuwafukuza hao Wakenya wanarudi kwao.

Huo utaratibu uliendelea hadi uvamizi huo ukaisha na Rombo kubaki Tz na wakati huo watu wakawa wanaongezeka hadi kukajaa watu na kuwa eneo halali la upande wa Tz hadi leo.

Suala la changamoto ni kuwa; tangu wakati huo hadi leo wale watu wanaoishi eneo hilo maana lengo lilikuwa mlima Kilimanjaro ulio mrefu kuliko milima yote barani Afrika uwepo Tanzania lakini wale wanaoishi chini ya ule mlima hawanufaiki kikamilifu na mlima huo tangu enzi hizo za mababu, baba, watoto, wajukuu hadi sasa kuna vitukuu!

Pesa inavunwa pale inapelekwa DSM, ile kidogo sana inayobakizwa tangu enzi hizo haionekani hadi leo hii ule mlima haujanufaisha wakazi wa kule kimaisha.

Eneo kubwa la Rombo hasa lile linalopakana na Kenya, wakazi wa kule ni watanzania ila ni kama wanaishi Kenya! Kwanini? Radio, tv zinazoshika kule ni za Kenya, hata mitandao ya simu access kubwa ni ya Kenya kwani ukifika kule unatumia mfano mtandao wa vodacom, display inakuwa safaricom n.k.

Kwahiyo wanazielewa habari za Kenya kuliko Tanzania. Mambo yanayoendelea Tanzania hadi wayasikie idhaa ya kiswahili ya Kenya (KBC).

Kwa mustakabadhi huo siku siyo nyingi atajitokeza mangi mwingine ashinikize watu wa kule kupiga kura ya kutambua Rombo ni eneo la kenya kama ilivyofanyika Crinnes huko Urusi na Ukraine maana ukiangalia mpakani mwa kenya na rombo ni vitu viwili tofauti kabisa wakati kipindi hicho cha mababu kulikuwa sawa.

Ukiangalia Custum ya Tarakea upande wa tz na upande wa kenya, nenda mji wa Taveta, hadi kuna uwanja wa ndege! Lakini rombo iliyopo tz imesahaulika sana kimiundombinu, huduma za jamii katika mawasiliano ya vyombo vya habari n.k

WITO WANGU SERIKALI IONE HILO MAPEMA.
hata hilo soko la kisasa linaloimbwa kila siku litajengwa Mwika, bado ni kitu kidogo sana japo ni soko la SIASA. Kwanini kusijengwe uwanja wa ndege ili watalii watue kule moja kwa moja? Hatuoni watatua Taveta na kuendelea kuikosesha Tanzania mapato? Serikali yangu, mangi anakaribia kurudi Rombo!

Nipe majibu kwa haya yafuatayo. Sirari Tarime iende Kenya? Mtukula Bukoba iende Uganda? Mbamba Bay Songea iende Malawi? Kyela nayo iende Malawi? Tunduma Mbeya iwe sehemu ya Zambia? Nayo Mtwara iwe Msumbiji. Waulize Wabunge wako waliopita akina Alphonsi Maskini, Justine Salakana, Bazil Mramba na wa sasa Selasini wamelitumikia jimbo lao kwa uadilifu gani? Hoja yako haina mashiko.
 
Hizi ni simulizi za marehemu babu yangu (Mkiwa), ambae alishirikiana sana na mangi (Yohana) baba yake kama sio babu yake Justin Salakana, zamani hizo robo tatu ya Rombo yaani kutoka mto Ugwasi hadi Tarakea lilikuwa eneo la Kenya.

Babu yangu na mangi Yohana walipewa kazi ya kwenda kutoa taarifa kwa mangi Mareale kule Mwika ikitokea wenyeji wa Kenya wameingia na kuanzisha makazi eneo hilo baada ya kuchukuliwa na Tanzania.

Kwa uaminifu wao, walilinda ile mipaka kwa maana kwamba, wakenya walikuwa wakiingia maeneo hayo ya Rombo na kuwafukuza watanzania, kuwachomea nyumba zao na hata kuwaua maana walikuwa na silaha kali za jadi, hivyo ilikuwa ikiwalazimu watz hao kukimbilia misituni.

Babu yangu na mangi Yohana wakiona hayo walikuwa wanafunga safari kwa miguu kutoka huko Useri na Tarakea hadi Mwika kwa Mangi Mareale kutoa taarifa maana wakati huo hakukuwa na simu wala magari, wakishafikisha ujumbe huo, Mareale anatoa taarifa serikalini pale Moshi, jeshi linaenda kuwafukuza hao Wakenya wanarudi kwao.

Huo utaratibu uliendelea hadi uvamizi huo ukaisha na Rombo kubaki Tz na wakati huo watu wakawa wanaongezeka hadi kukajaa watu na kuwa eneo halali la upande wa Tz hadi leo.

Suala la changamoto ni kuwa; tangu wakati huo hadi leo wale watu wanaoishi eneo hilo maana lengo lilikuwa mlima Kilimanjaro ulio mrefu kuliko milima yote barani Afrika uwepo Tanzania lakini wale wanaoishi chini ya ule mlima hawanufaiki kikamilifu na mlima huo tangu enzi hizo za mababu, baba, watoto, wajukuu hadi sasa kuna vitukuu!

Pesa inavunwa pale inapelekwa DSM, ile kidogo sana inayobakizwa tangu enzi hizo haionekani hadi leo hii ule mlima haujanufaisha wakazi wa kule kimaisha.

Eneo kubwa la Rombo hasa lile linalopakana na Kenya, wakazi wa kule ni watanzania ila ni kama wanaishi Kenya! Kwanini? Radio, tv zinazoshika kule ni za Kenya, hata mitandao ya simu access kubwa ni ya Kenya kwani ukifika kule unatumia mfano mtandao wa vodacom, display inakuwa safaricom n.k.

Kwahiyo wanazielewa habari za Kenya kuliko Tanzania. Mambo yanayoendelea Tanzania hadi wayasikie idhaa ya kiswahili ya Kenya (KBC).

Kwa mustakabadhi huo siku siyo nyingi atajitokeza mangi mwingine ashinikize watu wa kule kupiga kura ya kutambua Rombo ni eneo la kenya kama ilivyofanyika Crinnes huko Urusi na Ukraine maana ukiangalia mpakani mwa kenya na rombo ni vitu viwili tofauti kabisa wakati kipindi hicho cha mababu kulikuwa sawa.

Ukiangalia Custum ya Tarakea upande wa tz na upande wa kenya, nenda mji wa Taveta, hadi kuna uwanja wa ndege! Lakini rombo iliyopo tz imesahaulika sana kimiundombinu, huduma za jamii katika mawasiliano ya vyombo vya habari n.k

WITO WANGU SERIKALI IONE HILO MAPEMA.
hata hilo soko la kisasa linaloimbwa kila siku litajengwa Mwika, bado ni kitu kidogo sana japo ni soko la SIASA. Kwanini kusijengwe uwanja wa ndege ili watalii watue kule moja kwa moja? Hatuoni watatua Taveta na kuendelea kuikosesha Tanzania mapato? Serikali yangu, mangi anakaribia kurudi Rombo!

Wewe Ni Muongo! Mimi ingawaje sijazaliwa huko lkn nimekulia huko, nimesoma Shule ya Msingi huko hivyo nalifahamu hilo eneo vizuri sana,kwanza hayo unayoyasema ni ndio yanafanyika kwa Upande wa Kenya, Ukienda Loitoktok (Kenya) wakazi wao wote wanakuja shopping kwetu Tarakea, kwanza wengi wao hata wanajisikia Watz kuliko Wakenya kwa kuwa Serikali yao haiwajali kabisa, ukienda Taveta nako hivyo hivyo ukifika huko Wataita wengi wanajifanya Watz na wanaona ufahari kuwa Watz kwa kuwa Serikali yao (Kenya) haina Mpango nao, hilo swala la kuangalia TV au sijui kusikiliza Redio sio Ishu kwa maana wako Mpakani na Nairobi ni karibu zaidi kwao kuliko ilivyo Dar!

Hivyo usidanganye watu hapa, Rombo naijua Vizuri sana tu!
 
kutotembea kweli ni ulimbukeni. hivi huyu mtoa hoja alishawahi kufika maeneo kama ngara? kule kuanzia lugha,radio,tv,harusi,kuabudu misikiti na makanisa bar na hoteli nzuri unaenda nchi jirani ya burundi na rwanda. na hata umbali wa kutoka kahama mpaka huko ngara ni pori nene sana ni mwendo wa masaa manne kwa gari inayokimbia wastani wa kilometa 140 kwa saa na ni barabara ya lami. nadhani mtoa mada angekuwa ametembea angeanzia kwanza kusema ngara kwa nini iko tanzania. na huyo anayemuita sijui babu yake anatafuta sifa tu,huyo babu inaonekana hana kabisa hadhi ya kuongea na mangi achilia mbali kutumwa marangu.


Unawezaje kutumia Masaa 4 kwenda umbali wa km 140 kwenye Barabara nzuri? Hayo ni makadirio ya wapi? Kama Dar - Morogoro ni Kilometa ~190 na hakuna mtu anayetumia masaa 4 iweje hapo km 140 utumie masaa 4? Kuna kitu hakipo sawa!
 
Nipe majibu kwa haya yafuatayo. Sirari Tarime iende Kenya? Mtukula Bukoba iende Uganda? Mbamba Bay Songea iende Malawi? Kyela nayo iende Malawi? Tunduma Mbeya iwe sehemu ya Zambia? Nayo Mtwara iwe Msumbiji. Waulize Wabunge wako waliopita akina Alphonsi Maskini, Justine Salakana, Bazil Mramba na wa sasa Selasini wamelitumikia jimbo lao kwa uadilifu gani? Hoja yako haina mashiko.

kweli wewe ni mgumu kuelewa cjui ueleweshwe vp? Mm nimetoa 7bu lukuki, na wewe anzisha post yako utoe mi7bu kwann unapendekeza hayo! Au liafisa usalama nn? Kucha zangu nazipenda!
 
Wewe Ni Muongo! Mimi ingawaje sijazaliwa huko lkn nimekulia huko, nimesoma Shule ya Msingi huko hivyo nalifahamu hilo eneo vizuri sana,kwanza hayo unayoyasema ni ndio yanafanyika kwa Upande wa Kenya, Ukienda Loitoktok (Kenya) wakazi wao wote wanakuja shopping kwetu Tarakea, kwanza wengi wao hata wanajisikia Watz kuliko Wakenya kwa kuwa Serikali yao haiwajali kabisa, ukienda Taveta nako hivyo hivyo ukifika huko Wataita wengi wanajifanya Watz na wanaona ufahari kuwa Watz kwa kuwa Serikali yao (Kenya) haina Mpango nao, hilo swala la kuangalia TV au sijui kusikiliza Redio sio Ishu kwa maana wako Mpakani na Nairobi ni karibu zaidi kwao kuliko ilivyo Dar!

Hivyo usidanganye watu hapa, Rombo naijua Vizuri sana tu!

unaujua mji unaoitwa rombo wewe uliopo kenya? Nenda pale linganisha na upande wa tz. Watz wengi wa mipakani huolewa kenya ilihali wakenya wanaoolewa tz ni kama hamna coz wanaolewa siku chache wanakimbia shida. Chezea KIBUNG'AA!
 
Mkuu Shimboni bana, Mbunge wenu yule aliemtoa mama yake kafara ushakutana naye? umemueleza haya au unayalete humu JF kama taarifa tu? (for our information? )


ameenda india
 
Wewe Ni Muongo! Mimi ingawaje sijazaliwa huko lkn nimekulia huko, nimesoma Shule ya Msingi huko hivyo nalifahamu hilo eneo vizuri sana,kwanza hayo unayoyasema ni ndio yanafanyika kwa Upande wa Kenya, Ukienda Loitoktok (Kenya) wakazi wao wote wanakuja shopping kwetu Tarakea, kwanza wengi wao hata wanajisikia Watz kuliko Wakenya kwa kuwa Serikali yao haiwajali kabisa, ukienda Taveta nako hivyo hivyo ukifika huko Wataita wengi wanajifanya Watz na wanaona ufahari kuwa Watz kwa kuwa Serikali yao (Kenya) haina Mpango nao, hilo swala la kuangalia TV au sijui kusikiliza Redio sio Ishu kwa maana wako Mpakani na Nairobi ni karibu zaidi kwao kuliko ilivyo Dar!

Hivyo usidanganye watu hapa, Rombo naijua Vizuri sana tu!

Bora umesema wewe nilidhani huyu ni Mkenya au Mrombo aliyekulia Mombasa maana hata wazee wa Rombo wengi mlima umewaneemesha sana kibiashara watalii wanao panda wana fanyabiasha kubwa sana Rombo ambayo haipo kwenye maeneo mengine.
 
Back
Top Bottom