Kwanini ROMBO ipo TANZANIA badala ya kuwa KENYA?

Bora umesema wewe nilidhani huyu ni Mkenya au Mrombo aliyekulia Mombasa maana hata wazee wa Rombo wengi mlima umewaneemesha sana kibiashara watalii wanao panda wana fanyabiasha kubwa sana Rombo ambayo haipo kwenye maeneo mengine.

msavi ni msavi tiki! Nyeloa hata msanya! Unawasemea wazee wa rombo huku kwakuwa hawakujui? Nenda kawakusanye siku moja huko wanakokunywa dadii uvavie modwe uu!
 
msavi ni msavi tiki! Nyeloa hata msanya! Unawasemea wazee wa rombo huku kwakuwa hawakujui? Nenda kawakusanye siku moja huko wanakokunywa dadii uvavie modwe uu!

Aha ha ha samahani Mkuu kumbe hutaki tuchangie hoja inayopingana nawe!? Kwa heri
 
Aha ha ha samahani Mkuu kumbe hutaki tuchangie hoja inayopingana nawe!? Kwa heri

hahahaha...nimekukamata pabaya ndugu yangu! Hata lugha huijui, unajifanya kuwasemea watu ambao huishi nao! Poleeee....
 
Mi napita tu nafika ha kiboro kwa idosi kupata kinana vuguvugu akili ikae sawa kwanza!
 
Unawezaje kutumia Masaa 4 kwenda umbali wa km 140 kwenye Barabara nzuri? Hayo ni makadirio ya wapi? Kama Dar - Morogoro ni Kilometa ~190 na hakuna mtu anayetumia masaa 4 iweje hapo km 140 utumie masaa 4? Kuna kitu hakipo sawa!

Hakusema kuwa kuna umbali wa KM 140, ila alimaanisha kuwa ukiwa unaendesha gari kwa mwendo wa kilomita 140 kwa saa ni wastani wa saa 4.
 
kutokuwa na akili ni ujinga kumbe, au hujawahi kuendesha hata gari? ukiendesha gari spidi ya 140(yaani seedometer kwenye dashboard yako isome 140) utatumia masaa manne kufika huko ngara.

Unawezaje kutumia Masaa 4 kwenda umbali wa km 140 kwenye Barabara nzuri? Hayo ni makadirio ya wapi? Kama Dar - Morogoro ni Kilometa ~190 na hakuna mtu anayetumia masaa 4 iweje hapo km 140 utumie masaa 4? Kuna kitu hakipo sawa!
 
anamtindio wa ubongo.pia unaruhusiwa kuhama wewe na ndugu zako wote mwende kenya we mwenye akili chafu

wewe dubu kweli! Hebu soma hata kidogo uelewe kilichoandikwa.
 
Wabongo wengine kuwaelewa lazina u split atoms kama Large Hadron Collider kwanza. Take that from Kiranga no less.
Mtu anakuandikia kitu kuhusu historia halafu hata timeline haweki, hakuna hata alipoandika mwaka, mwezi wala tarehe.
 
unaujua mji unaoitwa rombo wewe uliopo kenya? Nenda pale linganisha na upande wa tz. Watz wengi wa mipakani huolewa kenya ilihali wakenya wanaoolewa tz ni kama hamna coz wanaolewa siku chache wanakimbia shida. Chezea KIBUNG'AA!

kibung'aa maruveni mekuu. kaki walemua na wandumii vaa ngikuarie? uishi ndarara shoo mya?
 
Nashukuru mbunge wangu wa rombo kwa kuuliza swali kuhusu tatizo la mawasiliano rombo. Jibu la serikali linaonyesha kuwa, "hakuna mfuatiliaji ili tatizo hilo liishe"
mh. Selasini, ukishindwa kulimaliza ukatafute jimbo lingine mwaka ujao.
 

hata vinywaji kama bia , vyakula kama mafuta, sukari etc huduma nyingi zinatokea NAIROBI serikali ifanye hima kuangalia hili kwamanufaa ya taifa letu na kuacha mawazo potofu ya ukabila, wachaga wengi kuanzia mkuu hadi kamwanga wanaitajirisha KENYA kwani wanajishughulisha zaidi na biashara huko nairobi kuliko Moshi na Dar.
 
uwanja wa ndege huo wa Taveta ndo upi mi Taveta ninayojua imechoka haina barabara ya lami sasa sijui unaongelea Taveta acha unafki Mrombo wewe! Rombo ipo kwenye hali nzuri kuliko Taveta! evidence nakupa


Leta yako ya uwanja wa ndege!
 
Last edited by a moderator:
uwanja wa ndege huo wa Taveta ndo upi mi Taveta ninayojua imechoka haina barabara ya lami sasa sijui unaongelea Taveta acha unafki Mrombo wewe! Rombo ipo kwenye hali nzuri kuliko Taveta! evidence nakupa

19/5/2013

‘Worst road in Kenya' hurts trade, tourism

The Taveta-Voi road - a key link for trade and commerce between Kenya and Tanzania - is one of the most potholed in the country despite being a key economic artery


PHOTO | GIDEON MAUNDU A bus that was involved in an accident due to the poor state of the Mwatate-Taveta Road in April. Economic activity is grinding to a halt in the area. NATION MEDIA GROUP

In Summary



  • Traders and farmers lose millions of shillings every week because agricultural produce gets spoilt in the market and on farms because of the poor state of the road
  • Last month, AfDB approved about Sh19.5 billion for the 157.5-kilometre road project from Mwatate to Taveta in Kenya while the road from Holili to Arusha on the Tanzanian side was allocated Sh9.5 billion


ANTHONY KITIMO akitimo@ke.nationmedia.com

The Taveta-Voi road - a key link for trade and commerce between Kenya and Tanzania - is one of the most potholed in the country despite being a key economic artery.

Some of the sections were washed away by recent rains, while others have numerous diversions that make driving on it a nightmare for motorists, traders and tourists visiting the Tsavo West National Park through the Mwatate road.


Failure by the government to rehabilitate the 80-kilometre road has also stunted development in the area. Taita Taveta governor John Mruttu said the county's leadership might not be able to deliver on the promises made to voters if the road is not rehabilitated.


The once famous Taveta market is a pale shadow of its glorious past largely due to the sorry state of the road. The market was once a key source of horticultural products and the bananas consumed in the coast region.


Economic activities


Traders and farmers lose millions of shillings every week because agricultural produce gets spoilt in the market and on farms because of the poor state of the road.

In the 1980s, the market was also served by a railway line, which has since been neglected, leading to disuse. As a result of the slow-down in economic activities, the standards of living in the area have declined.


Mr George Kariuki, a trader, said the number of buyers had declined drastically and the market is now frequented by Tanzanians who prefer manufactured goods.


"In the past, most of the farm produce used to be supplied to various towns in the country, but currently it is getting spoilt in the market and in farms," he said.

Another trader, Mr Elijah Mnjala, said sales have been on a downward trend with less than five buses from Mombasa and other regions ferrying people on market days compared to more than 20 a day when the road was usable.


"Currently very few business people are willing to use their trucks and buses to ferry goods and people to and from Taveta because of the persistent breakdowns which raise the costs of operation," he said.


Taita-Taveta County Chamber of Commerce chairperson Pascal Mtula said the area has high potential, but it cannot develop due to poor infrastructure.
"Towns such as Mwakitau, Mwatate and Bura have remained stagnant," Mr Mtula said.


According to statistics from the Kenya Export Promotion Council (EPC), the volume and value of Kenya's exports to Tanzania form a significant portion of the country's total exports.


Tanzania was ranked the third largest market for Kenyan products in 2011. The country bought goods worth $488 million from Kenya, up from $390 million in 2010.


"The number of tourists visiting the area is small because of infrastructure. Suppliers of various goods to the hotels have also increased their prices due to persistent breakdown of their trucks while ferrying the products," he said. Such costs reduce the profit margins of the tourist establishments.


However, there seems to be light at the end of the dark tunnel. The East African Community - through the African Development Bank (AfDB) - has embarked on a feasibility study on how to rehabilitate the road.


Last month, AfDB approved about Sh19.5 billion for the 157.5-kilometre road project from Mwatate to Taveta in Kenya while the road from Holili to Arusha on the Tanzanian side was allocated Sh9.5 billion.


The loan will finance up to 89.1 per cent of the total project cost, while the beneficiary states will contribute the rest.


Construction should be completed in four-to-five years according to communication from the financiers.

http://www.nation.co.ke/news/Is-this-the-worst-road-in-Kenya/-/1056/1857412/-/view/printVersion/-/9iml20/-/index.html







Radio voice of gospel ipo pia Rombo

Leta yako ya uwanja wa ndege!
 
Last edited by a moderator:
msavi ni msavi tiki! Nyeloa hata msanya! Unawasemea wazee wa rombo huku kwakuwa hawakujui? Nenda kawakusanye siku moja huko wanakokunywa dadii uvavie modwe uu!

hahahah.....!!! Umenikumbusha dadii...!!!
 
ni ukweli usiopingika rombo na mlima kilimanjaro ilikuwa sehemu ya kenya kama mombasa ilivyokuwa sehemu ya tanzania na kunakipindi kenyata akiwa rais alikuja kuidai mw Nyere akamwambia haina tatizo ila arudishe mombasa ambayo ilikuwa sehemu ya Tanzania jamaa alipopiga mahesabu ya kukosa bandari akaamua kuishia mitini.
sio kweli kuna uwanja wa ndege wa kisasa taveta ila wakenya wana mpango wa kujenga uwanja huo kikubwa ni kupata watalii wengi watakaokuja mlima kilimanjaro serikali inachoweza kufanya ni kuimarisha uwanja wa kia ili ndege kubwa zije moja kwa moja kutoka ulaya
 
uwanja wa ndege huo wa Taveta ndo upi mi Taveta ninayojua imechoka haina barabara ya lami sasa sijui unaongelea Taveta acha unafki Mrombo wewe! Rombo ipo kwenye hali nzuri kuliko Taveta! evidence nakupa


Leta yako ya uwanja wa ndege!

inawezekana ukilinganisha kwa coverage ila kimji taveta town iko juu,tukirudi kwenye topic rombo ipo ya Tanzania na Kenya pia ukivuka border upande wa tarakea unaingia elasit then rombo ya Kenya kama ilivo kwa ziwa chala lililopo Tanzania na Kenya hivo ni mpangilio wa mipaka tu na ufafanuzi ndio umefanya uone na kufikiri kama mzee wako,kila nchi ina chake per mpaka
 
Last edited by a moderator:
uongo kabisa. shule watz pale mpakani ni kenya-eti wakenya wajihisi watz. hadithi za babu hizo.......

<span style="font-size: large;">
 
Last edited by a moderator:
leta evidence! na kati ya Mkuu na Tarakea ziko mbioni kuwa mji! Warombo msitake mpaka mjengewe mmepewa barabara halafu mmepimiwa viwanja mnataka serikali ije kuwajengea pia? wanaojenga lodges binafsi mbona hawalalamiki? wameona fursa na wewe ona pia!

Haya ubora wake uko wapi? Taita Taveta county town called wundanyi! Town hii ilitakiwa ifananishwe na Moshi town

Na hii ndio website yao ya county http://ttpf.files.wordpress.com/2010/06/wundanyi-town.jpg wanatumia blogs!

Website ya Rombo district http://www.rombodc.go.tz/
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…