Kwanini Rostam ameuza hisa zake za Vodacom?

Kwanini Rostam ameuza hisa zake za Vodacom?

hakuna mfanyabiashara mwenye akili ambaye atabaki anatumbua macho tuu kwenye hii nchi, kama namuona uhuru kenyata anavyofurahia kwa sasa maana atakua anapokea wafanyabiashara wengi sana.
 
Swali la msingi ni kwanini anauza na wakati huo huo anatuambia Magu anajenga uchumi mzuri sasa kwanini asiziache apate faida kufanya biashara TZ
Unatakiwa kujifunza kusoma , kusikia na kutafakari maana nyuma ya sauti zote hizo.. Ni kwamba uwanja unasawazishwa ... Lakini fursa au mazingira ya kuwekeza biashara ni tofauti ni hatarishi sana ... Kama ameamua kuuza share zake, inamaanisha anakuambia , hana hakika kwa hela yake kuwa katika soko hili, itampa faida , hivyo anasepa... Kwa ufupi mazingira ya kibiashara na kisiasa, hayamfanyi akafanya biashara zake huru... Yale mengine ilikuwa funika kombe...
 
2011 Akili kubwaaaz Rostam Abdul rasoul Aziz alipojiuzulu Ubunge wa Igunga alitoa hotuba Fupi Sana akielezea mwelekezi wa Siasa zetu kwenda Mrama lakin ma vuvuzela kina Said Kubenea Na kipeperushi chake Cha Mwanahalisi walikuwa busy kumchafua Kwa Kashfa Za kutunga

Nakumbuka ilifikia hatua alipofiwa Na Baba yake Mzazi Rostam ilitakiwa uwe Na roho ya kijasiri kwenda msiban pale kwake Kwa kuwa ilionekana Kama Ni kusaliti Taifa

Wakati Mzee wake akiwa Hospital Kule France ilikuwa watu wanaaga kwenda Marekan Kumbe uongo wanaenda France lakin Kwa usiri Mkubwa Hata Ubalozin kwetu hawafiki ili wasijulikane wakati Ni watu wakubwa Sana ,

ukitaka kumuua mbwa mpe jina Baya wahenga walinena


Kuna Rafiki zake wakubwa Sana ilibidi waende usiku usiku kuhani msiba wakati alikuwa Mtu wao wa Karibu Sana Kwa zaid ya Miaka 15
Vipi Tundu Lissu mbona wabunge wenzake wamemtelekeza ?

Tena mpaka ma-homeboy wake kina Kingu na Mwigulu !!
 
Hataki kuishi kama shetani kwa mali yake aliyochuma kwa jasho wakati kuna mahali anaweka wekeza akaishi kama malaika, kaangalia future yake na familia yake yasije mkuta ya mateso kwa mali yake mwenyewe.
 
Vipi Tundu Lissu mbona wabunge wenzake wamemtelekeza ?
Una uhakika katelekezwa? Unajuaje kama hawawasiliani na wanamtumia fund kupitia watu wengine? Unafikiri hakuna anaejua kama ikijulikana watapata taabu sana kwa kuwa dikteta hataki? Wanajua kuna maisha baada ya JIWE usiweke uhakika kama katelekezwa.
 
Amecheza game ya Kibaishara

Kauza hisa Za Kampuni yake Kwa Kampuni ile ya ki South Africa Halafu kaenda kununua hisa Za ile Kampuni ya South Africa

Katika Lugha rahisi kafanya kuhamisha Mtaji wake kutoka Hapa Nchini mpaka South Africa lakin faida ya Uwekezaji wake ataipata kupitia South Africa
Duh
 
Vipi Tundu Lissu mbona wabunge wenzake wamemtelekeza ?

Tena mpaka ma-homeboy wake kina Kingu na Mwigulu !!
Ndio Siasa Na Wanasiasa wa Tanzania

Hata Zitto Kabwe alipofiwa Na Mama yake Mzazi ambae Pia alikuwa Kiongozi wa Chadema Viongozi wa Chadema hawakushuriki Msiba wa Mama wa Mbunge mwenzao, Mwanasiasa mwenzao Na Mama huyo Pia alikuwa Mbunge wa Chadema Na Kiongozi.

Ukitaka kumuua mbwa Mpe jina Baya Wahenga walinena
Shetani akitaka kuongeza Maarifa ya Unafiki Basi atayapata Kwa Wanasiasa wa Bongo
 
26% amewazuia Vodacom south Afrika,why now?
Yaani muda mwingine utasema tu kuwa watanzania bado tunayo safari ndefu. Hivi kijana kama huyu unategemea aje adai uhuru wake. Anaandika kabisa kwanini kauza. Kuna mtu hapa atakuuliza kwanini umeuza baskeli yako. Hivi unawaza sawa sawa. Au ndio umeamka kutoka usingizini
 
Yaani muda mwingine utasema tu kuwa watanzania bado tunayo safari ndefu. Hivi kijana kama huyu unategemea aje adai uhuru wake. Anaandika kabisa kwanini kauza. Kuna mtu hapa atakuuliza kwanini umeuza baskeli yako. Hivi unawaza sawa sawa. Au ndio umeamka kutoka usingizini

Unajiona unajua Kumbe hujui

Kwenye Ulimwengu wa uwekezaji akitokea Mfanyabiashara Mkubwa wa level ya Rostam akiuza hisa zake huo ni Mjadala Mkubwa Sana Kwa Kuwa unaleta Impact kubwa kwenye FDI ( Foreign direct investment)

Hata Wafanyabishara wakubwa kabla ya kuwekeza wanaenda kwenye Stock market kuona trend ya kuuza Na kununua hisa Sasa Wewe Kwa kutojua unadhan Ni ajabu Mtu kuleta mjadala wa kujadili issue ya Rostm kuuza hisa zake

Sio Kila usichojua Basi hakijulikani

Wakati Mwingine chukua peni Na pensel ujifunze Kwa vitu usivyo Na utaalam navyo Na si dhambi kutojua Ila Ni dhambi kujifany unajua wakati hujui
 
2011 Akili kubwaaaz Rostam Abdul rasoul Aziz alipojiuzulu Ubunge wa Igunga alitoa hotuba Fupi Sana akielezea mwelekezi wa Siasa zetu kwenda Mrama lakin ma vuvuzela kina Said Kubenea Na kipeperushi chake Cha Mwanahalisi walikuwa busy kumchafua Kwa Kashfa Za kutunga

Nakumbuka ilifikia hatua alipofiwa Na Baba yake Mzazi Rostam ilitakiwa uwe Na roho ya kijasiri kwenda msiban pale kwake Kwa kuwa ilionekana Kama Ni kusaliti Taifa

Wakati Mzee wake akiwa Hospital Kule France ilikuwa watu wanaaga kwenda Marekan Kumbe uongo wanaenda France lakin Kwa usiri Mkubwa Hata Ubalozin kwetu hawafiki ili wasijulikane wakati Ni watu wakubwa Sana ,

ukitaka kumuua mbwa mpe jina Baya wahenga walinena


Kuna Rafiki zake wakubwa Sana ilibidi waende usiku usiku kuhani msiba wakati alikuwa Mtu wao wa Karibu Sana Kwa zaid ya Miaka 15
THE KING MAKER,ALIYEPEWA KAPEWA TU. NA MCHUNGA NG'OMBE ATASALIA MCHUNGA NG'OMBE TU.
 
Unajiona unajua Kumbe hujui

Kwenye Ulimwengu wa uwekezaji akitokea Mfanyabiashara Mkubwa wa level ya Rostam akiuza hisa zake huo ni Mjadala Mkubwa Sana Kwa Kuwa unaleta Impact kubwa kwenye FDI ( Foreign direct investment)

Hata Wafanyabishara wakubwa kabla ya kuwekeza wanaenda kwenye Stock market kuona trend ya kuuza Na kununua hisa Sasa Wewe Kwa kutojua unadhan Ni ajabu Mtu kuleta mjadala wa kujadili issue ya Rostm kuuza hisa zake

Sio Kila usichojua Basi hakijulikani

Wakati Mwingine chukua peni Na pensel ujifunze Kwa vitu usivyo Na utaalam navyo Na si dhambi kutojua Ila Ni dhambi kujifany unajua wakati hujui
Mjadala mkubwa wa nn wakati bosi wako hataki wafanyabiashara. Ukiwa na biashara Tanzania magufuli ameshasema lazima wataishi kama mashetani. Wafanyabishara wanatekwa halafu unasema watu wajadili. Mnapoambiwa Magufuli wenu anaaribu nchi nyie ndio mko mbele katika kumtetea
 
Mjadala mkubwa wa nn wakati bosi wako hataki wafanyabiashara. Ukiwa na biashara Tanzania magufuli ameshasema lazima wataishi kama mashetani. Wafanyabishara wanatekwa halafu unasema watu wajadili. Mnapoambiwa Magufuli wenu anaaribu nchi nyie ndio mko mbele katika kumtetea

Kama hutaki mjadala kuhusu kuuza hisa Kwa Rostam huu uzi usingeufungua unge endelea na Mengine
 
Unajiona unajua Kumbe hujui

Kwenye Ulimwengu wa uwekezaji akitokea Mfanyabiashara Mkubwa wa level ya Rostam akiuza hisa zake huo ni Mjadala Mkubwa Sana Kwa Kuwa unaleta Impact kubwa kwenye FDI ( Foreign direct investment)

Hata Wafanyabishara wakubwa kabla ya kuwekeza wanaenda kwenye Stock market kuona trend ya kuuza Na kununua hisa Sasa Wewe Kwa kutojua unadhan Ni ajabu Mtu kuleta mjadala wa kujadili issue ya Rostm kuuza hisa zake

Sio Kila usichojua Basi hakijulikani

Wakati Mwingine chukua peni Na pensel ujifunze Kwa vitu usivyo Na utaalam navyo Na si dhambi kutojua Ila Ni dhambi kujifany unajua wakati hujui
Well said Mkuu. Mtu Makini
 
hapa kuna kitu kinatafutwa
Ukiona maswali ya why now......
 
Hizi comments zinaweza kufunga mjadala!
Inatufundisha tuwekeze kwenye Rasilimali akili sio rasilimali Majungu

Yaani kaituma Kampuni ya kikaburu kuja kumuwakilisha kwenye Uwekezaji wake Hapa Nchini Kwa Kuwa akiwekeza direct Kelele zinakuwa nyingi

Dowans alifanya hivyo akaita Symbion Kelele zikaisha Na Sasa Kelele Z umiliki wake Vodacom zitaisha soon
Wakati Biblia imemuandikia Mwanaume kwa Mwanamke "muishi nao kwa akili"

Basi Duniani ina maana muishi na Waswahili kwa akili.
 
Inatufundisha kuwa tumekaribia uchumi wa kati wa viwanda
kwahiyo kahama kutoka umiliki wa hisa kwenye kampuni ya kitanzania akaenda kwenye umiliki wa hisa kwenye kampuni ya kikaburu.

Hii inatufundisha nini?
 
Back
Top Bottom