Kwanini Saed Kubenea na Absalom Kibanda wanaweweseka baada ya taarifa ya kutimuliwa Lowassa CCM?

CCM WAMFUKUZE lOWASA AU WAMWACHE BADO MACHUNGU NI YALE YALE .
SASA HIVI CCM WAMEBANWA KWENYE CRITICAL ANGLE .

CCM HAITAFIKA MARCH MWAKA HUU
Tuliambiwa toka 2010 nchi haitatawalika,maandamano yalifanyika nchi nzima.Mijamaa bado inapeta tu.kupambana na CCM kunahitaji akili na si maneno ya mitandaoni
 

Unamfahamu aliesuka mpango wa kujeruhiwa na tindikali ndgu Kubenea???je wajua chanzo cha kuvamiwa kubenea ni issue ya Richmond???
 

Mkuu Muganyizi kakuuliza swali, uonyeshe hizo dalili za kuchanganyikiwa, ulicho jibu ni kuwa kuna tofauti kati ya kuweweseka na kuchanganyikiwa, ukiwa umesahau kuwa kwenye uzi wako umetumia neno kuchanganyikiwa. Mkuu tatizo si lowasa tatizo ni ccm, inabidi chama kijitathmini, kwani kwa sasa kimebeba uozo na kinanuka, hatua muhimu ni chama kijisafishe kwa dhati kwa kuondoa mafisadi wote.
 
Raisi wa mwaka huu ni EDWARD LOWASSA lakini eti CCM wamepanga raisi awe DK. SHEIN Kule visiwani aachiwee MTOTO WA MWINYI KUWA RAISI
 
lowasa anawatesa sana aisee, naona mmemtuma na mtabiri anene yake. tusubiri.
 


Oooohh ssshhh so hot news from Hot Lady... Ooyeees!!!
 
Awo wa naomfukuza Lowasa hebu watuambie wao wanausafi gani kwennye uongozi n chama chao cha CCM?
 
Unamfahamu aliesuka mpango wa kujeruhiwa na tindikali ndgu Kubenea???je wajua chanzo cha kuvamiwa kubenea ni issue ya Richmond???
Mwache huyo hot" aendelee kuwashwa!! Lowasa ni adui mkubwa wa kubenea hata tindikali ulikuwa msuko wa EL.
 

Huu uongo mnaotunga utawapeleka Kaburini Manina zenu
 
Upinzani wanahaha sana Lowassa atimuliwe ili wao wapate mteremko uchaguzi october since wanajua jamaa akipita shughuli ni pevu

Chochoro wa upinzani upo kwa Lowasa. Akiteuliwa yeye na CCM upinzani utashangilia. Hakuna mwenye fedha ya kununua watazania milioni 10. Anaweza kuwahonga wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM lakini si wananchi wote. Uchochoro wa UPINZANI kushinda ni kwa CCM kumteua Lowasa. CCM ikimteua mtu kama Dr. Harison Mwakyembe, au Mzee Salim Ahamed Salim, Au Mzee Sinde Warioba au hata Prof Issa Shivji, upinzani utapata shida sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…