Kwanini Saidoo hayupo kwenye orodha ya Wachezaji wa Simba waliosafiri?

Kwanini Saidoo hayupo kwenye orodha ya Wachezaji wa Simba waliosafiri?

Wazee mifupa imeanza kukakamaa hawawezi cheza mfululizo
 
Sio Mbaya Ile ni Mechi ya ugenini, ugenini unakwenda kwa mkakati wa kuzuia zaidi, kupunguza MAGOLI na KUSHINDA.

HUWEZI kwenda na silaha zooote, MICHEZO ijayo atakuwepo.

Msilete mambo ya Ausems uchebe.
Unaenda kucheza na Al ahly bila kuzuia unakula nne.
7. Okwi.
9. Kagere
10. Boko
11. Chama

Ndio maana mnyama Alikuwa anakufa 5 Tano.
 
Simba nao wananiangusha. Walitoa taarifa za kikosi wakatuambia Okrah pekee atakosekana. Leo Saido hayupo. Walisahau au vipi. Hizi drama zina faida gani
 
Kumekucha
IMG-20230209-WA0004.jpg
 
Mwenye kujua sababu za Ntibazonkiza kutojumuishwa kwenye orodha ya wachezaji wa Simba wanaosafiri kwenda Guinea kuivaa Holoya atueleze.

It is said kwamba hayupo cup tied coz hajacheza mchezo wowote huko Geita gold alikotoka. Sasa kama hana majeraha yoyote kwann aachwe Dar wakati mchango wake kwa timu (in recent games) ni mkubwa?

Fodkt5qXEBofwkG
Mimi nikimuonaga mwanangu Kibu tu roho yangu swaaafiii...hao wengine mpira hawajui ndo maana wanaachwa
 
Mlipeni fedha zake acheni longolongo?
 
Mwenye kujua sababu za Ntibazonkiza kutojumuishwa kwenye orodha ya wachezaji wa Simba wanaosafiri kwenda Guinea kuivaa Holoya atueleze.

It is said kwamba hayupo cup tied coz hajacheza mchezo wowote huko Geita gold alikotoka. Sasa kama hana majeraha yoyote kwann aachwe Dar wakati mchango wake kwa timu (in recent games) ni mkubwa?

Fodkt5qXEBofwkG
Hiki kikosi kikijitahidi kupata matokeo ugenini basi ni sare! Maana walinzi na viungo ndiyo wametia fora.
 
Mwenye kujua sababu za Ntibazonkiza kutojumuishwa kwenye orodha ya wachezaji wa Simba wanaosafiri kwenda Guinea kuivaa Holoya atueleze.

It is said kwamba hayupo cup tied coz hajacheza mchezo wowote huko Geita gold alikotoka. Sasa kama hana majeraha yoyote kwann aachwe Dar wakati mchango wake kwa timu (in recent games) ni mkubwa?

Fodkt5qXEBofwkG

Kocha ndiyo anajua maana ni mwalimu! Tusimpangie cha kufanya, sisi tusubiri matokeo!
 
Back
Top Bottom