Kwanini Saidoo hayupo kwenye orodha ya Wachezaji wa Simba waliosafiri?

Kwanini Saidoo hayupo kwenye orodha ya Wachezaji wa Simba waliosafiri?

Sawa (kama ni kweli)
Kama si kweli?

Mbona unawashwa? Tambua jamaa ana goli 10 akiwa kama mchezeshaji wa timu tofauti na yule namba 9 mwenye goli 15
 
Kwani nyie mumeshavuka hadi mufukirie ya Simba? Hakika Luc Eymael aliona mbali kuwaita nyie mbwa na kima
Kuna sehemu nimeongelea kuhusu kuvuka? Uzi umeanzishwa kuhusu kikosi cha simba kilichosafiri.

Nimetoa tathmini yangu kama mdau wa michezo kuhusu wachezaji wengi walio safiri na timu kuwa walinzi na viungo!

Hivyo uache kunifokea, na pia kunipangia cha kusema. Na wewe unaweza pia kutoa tathmini yako.
 
Kama si kweli?

Mbona unawashwa? Tambua jamaa ana goli 10 akiwa kama mchezeshaji wa timu tofauti na yule namba 9 mwenye goli 15
Mmmmmh kuwashwa tena? Umejuaje mtu anawashwa?
 
Back
Top Bottom