Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida sana
Bainisha na ainisha makosa iliyoyang'amua,kwenye maandiko husika.
Ponda ponda FC generation. Nimejitahidi kuangalia makosa sijaona hata 1 au mimi sijasoma shule wanaopanda magari ya Njano.
1. Hiyo ya Dr. Mwinyi hapo kwenye "We offer our deepest sympathies with the loss of..." kuna makosa badala ya hiyo WITH palitakiwa pawekwe FOR.Mbona ziko sawa tu!
Upo sahihi Boss1. Hiyo ya Dr. Mwinyi hapo kwenye "We offer our deepest sympathies with the loss of..." kuna makosa badala ya hiyo WITH palitakiwa pawekwe FOR.
Isomeke hivi "We offer our deepest sympathies for the loss of..."
2. Hiyo ya Samia hapo kwenye "It is with deep sadness we have received the news..." kuna neno THAT limekuwa skipped. Ingekuwa sahii kama ingesoma hivi.
"It is with deep sadness that we have received the news..."
Kama nimekosea aje linguist hapa.
Home boy kumbe upo vzr kwenye lugha ya Malkia1. Hiyo ya Dr. Mwinyi hapo kwenye "We offer our deepest sympathies with the loss of..." kuna makosa badala ya hiyo WITH palitakiwa pawekwe FOR.
Isomeke hivi "We offer our deepest sympathies for the loss of..."
2. Hiyo ya Samia hapo kwenye "It is with deep sadness we have received the news..." kuna neno THAT limekuwa skipped. Ingekuwa sahii kama ingesoma hivi.
"It is with deep sadness that we have received the news..."
Kama nimekosea aje linguist hapa.
Common mistakes1. Hiyo ya Dr. Mwinyi hapo kwenye "We offer our deepest sympathies with the loss of..." kuna makosa badala ya hiyo WITH palitakiwa pawekwe FOR.
Isomeke hivi "We offer our deepest sympathies for the loss of..."
2. Hiyo ya Samia hapo kwenye "It is with deep sadness we have received the news..." kuna neno THAT limekuwa skipped. Ingekuwa sahii kama ingesoma hivi.
"It is with deep sadness that we have received the news..."
Kama nimekosea aje linguist hapa.
Yep, was just pointing em out for those who could'nt identify em.Common mistakes
Kawaida sana haina maajabu hiyo lugha. Ila huwa inaleta ukakasi mtu yupo kwenye taasisi kubwa kama State House n.k anafanya rookie mistakes kama hizo.Home boy kumbe upo vzr kwenye lugha ya Malkia
Ujue kila mahala sio kuandika kama unajibu mtihani wa English....Conjuctions na prepositions zinawatoa kamasi wabongo wengi. Ni tatizo wanalo wengi ambao lugha hii sio vernacular.
Mkuu hapa tunaongelea watz hakuna anayekataa hakuna watu wa mataifa mengine wanaochapia.Ujue kila mahala sio kuandika kama unajibu mtihani wa English..
Umesikiliza speech za Wazungu tofauti tofauti, wanaongea broken sana lakini kwa kuwa ni wazungu....hamuoni kama wana kosea!
Kiukwel binafsi hata sijagundua kama palikuwa na makosa mpaka nliposoma hapoKawaida sana haina maajabu hiyo lugha. Ila huwa inaleta ukakasi mtu yupo kwenye taasisi kubwa kama State House n.k anafanya rookie mistakes kama hizo.
Hii ya kiongozi wa bara bila hiyo that pia ingeweza kuwa correct kama ange-punctuate vizuri ujumbe wake1. Hiyo ya Dr. Mwinyi hapo kwenye "We offer our deepest sympathies with the loss of..." kuna makosa badala ya hiyo WITH palitakiwa pawekwe FOR.
Isomeke hivi "We offer our deepest sympathies for the loss of..."
2. Hiyo ya Samia hapo kwenye "It is with deep sadness we have received the news..." kuna neno THAT limekuwa skipped. Ingekuwa sahii kama ingesoma hivi.
"It is with deep sadness that we have received the news..."
Kama nimekosea aje linguist hapa.
Tena kwenye jambo la kifo (rambi rambi) kwa nchi mfadhili, Ndio namkumbuka Magufuli na kumuelewa kwanini alikuwa anatumia Kiswahili zaidi. Ingekuwa ni salamu za posa kule kaskazini magharibi basi wangerudisha hiyo posa. maana umewakosea.Kawaida sana haina maajabu hiyo lugha. Ila huwa inaleta ukakasi mtu yupo kwenye taasisi kubwa kama State House n.k anafanya rookie mistakes kama hizo.