GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
Unamanisha ALFA (Ali &Fatma) wale mtu na mkewe wenye Supermarkets?Tembelea maduka ya Alpha yapo miji mikubwa utawakuta tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamanisha ALFA (Ali &Fatma) wale mtu na mkewe wenye Supermarkets?Tembelea maduka ya Alpha yapo miji mikubwa utawakuta tu.
Kanda ya Ziwa pia kuna aina nyng za samak kuna ningu, nembe ila wanaishia huko huko kwann sangara na sato?
Mm nafikir kwasababu ya ladha na kuwa na kuwa na nyama nyngi
NdioUnamanisha ALFA (Ali &Fatma) wale mtu na mkewe wenye Supermarkets?
Samaki wa baharini- hawafai kuliwa kwa mtu mwenye ubongo timamu.
Radha yao mbaya
Sio watamu
Mwiko kula hawo wadudu
😂😂😂Katiba mpya itamke bayana bila kificho kuwa samaki wa baharini wafikishwe bara pia.
Sasa hawa hawawafikii vitoga, mboju, kambale, ningu,mbete, furu, kamongo n.k.Watamu sana
Bei yake pia changamoto nafuu ni dagaa Tu.Samaki wa Dar ni ngumu hata kuwakuta buchani.
Samaki wa baharini hawajawh nivutia, kuanzia mwonekano mpaka ladha.
Angalau kidogo labda kibua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sangara siyo origin mwanza maana walipandikizwaUkweli ni kwamba watu wa bara wengi ni antagonistic kutumia bidhaa za bahari. Msukuma ale papa, nguru, taa, tasi? Wao watakwambia wamezoea sato na kidogo sangara.
Kuna msukuma mmoja tulikua tunafanya naye kazi tulikaa pale hotel ya Peacock nikamzoesha kula changu ndio akaanza kuwaelewa samaki wa baharini.
Na hata huko kwao Mwanza utasikia sato....sangara hawawapendi. Ila kimsingi sangara ana mnofu sana. Napenda sangara kuliko sato
Upo mkoa gani? Dodoma tunazo na tunanunua kilo 9000 inategemea na Aina ya samaki ushindwe wewe.Wandugu kwanini hao samaki wa baharini hawafiki huku mikoani. Huku sijawahi ona bucha linauza samaki wa baharini. Labda vibua kidogo. Ingekuwa poa sana na sisi tupate dagaa mchele tupige na ugali.
Mabucha yote ni sangara na sato. Kwani pweza na hao samaki wengine wa baharini hawakai kwenye mafriza?
Nini kinakwamisha uduvi wasifike mikoani?