Mkungunero
JF-Expert Member
- Aug 13, 2023
- 401
- 569
Mimi naona anafaa sana maana sasa hivi nchi imetulia sana. Kuna uhuru wa kila namna na Watanzania tunajisikia kuwa Watanzania na si watumwa ndani ya nchi yetu kama kipindi cha yule jamaa ambapo hata kwenye daladala tulikuwa tunaogopana.
Above all, naomba aongoze maisha yake yote mpaka atakapokufa. Kama Urusi au China wana life presidents kwanini sisi tusihalalishe?
Above all, naomba aongoze maisha yake yote mpaka atakapokufa. Kama Urusi au China wana life presidents kwanini sisi tusihalalishe?