Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abuduli Bwana!!!Mimi naona anafaa sana maana sasa hivi nchi imetulia sana. Kuna uhuru wa kila namna na Watanzania tunajisikia kuwa Watanzania na si watumwa ndani ya nchi yetu kama kipindi cha yule jamaa ambapo hata kwenye daladala tulikuwa tunaogopana.
Above all, naomba aongoze maisha yake yote mpaka atakapokufa. Kama Urusi au China wana life presidents kwanini sisi tusihalalishe?
Yeye mwenyewe ni mamaWe kama huna mama nenda vituo vya kulea yatima tuondolee uharo hapa.