Mkungunero
JF-Expert Member
- Aug 13, 2023
- 401
- 569
Uzwazwa huo... Tanganyika dola halipo [emoji1787]Labda kwenu Zanzibar sio Tanganyika
[emoji1787]Mabange ya alfajiri
Mwenzio kasema awe rais mpaka 2035, usijali mkuu atakuwa life president.Mi naona anafaa sana mana Sasa hivi nchi imetulia sana Kuna uhuru wa kila namna na watanzania tunajilsikia kuwa watanzania na si watumwa ndani ya nchi yetu kama kipindi Cha yule jamaa ambapo hata kwenye daladala tulikuwa tunaogopana.
Above all naomba aongoze maisha yake yote mpaka atakapokufa. Kama urusi au china Wana life presidents kwa Nini sisi tusihalalishe.
na wewe kufikiri kwako kumeishia hapo.....Mi naona anafaa sana mana Sasa hivi nchi imetulia sana Kuna uhuru wa kila namna na watanzania tunajilsikia kuwa watanzania na si watumwa ndani ya nchi yetu kama kipindi Cha yule jamaa ambapo hata kwenye daladala tulikuwa tunaogopana.
Above all naomba aongoze maisha yake yote mpaka atakapokufa. Kama urusi au china Wana life presidents kwa Nini sisi tusihalalishe.
Akiwa mama Yako inatoshaMi naona anafaa sana mana Sasa hivi nchi imetulia sana Kuna uhuru wa kila namna na watanzania tunajilsikia kuwa watanzania na si watumwa ndani ya nchi yetu kama kipindi Cha yule jamaa ambapo hata kwenye daladala tulikuwa tunaogopana.
Above all naomba aongoze maisha yake yote mpaka atakapokufa. Kama urusi au china Wana life presidents kwa Nini sisi tusihalalishe.
Nchi yenyewe ndiye mama wa wananchi. Nchi huwa haina mama duniani kote. Ukiona mtu anataka mtu awe mama wa taifa jua huyo ni mtu mpumbavu na hayawani asiye na akili kabisa.Mi naona anafaa sana mana Sasa hivi nchi imetulia sana Kuna uhuru wa kila namna na watanzania tunajilsikia kuwa watanzania na si watumwa ndani ya nchi yetu kama kipindi Cha yule jamaa ambapo hata kwenye daladala tulikuwa tunaogopana.
Above all naomba aongoze maisha yake yote mpaka atakapokufa. Kama urusi au china Wana life presidents kwa Nini sisi tusihalalishe.
Nchi imekuwa shamba la Bibi, kila kona inapigwa ndio utulivu wenyewe?. Au kwa kuwa kuna viongozi dhaifu asiyeweza hata kukemea upumbavu ndio utulivu wenyewe?Mimi naona anafaa sana maana sasa hivi nchi imetulia sana. Kuna uhuru wa kila namna na Watanzania tunajisikia kuwa Watanzania na si watumwa ndani ya nchi yetu kama kipindi cha yule jamaa ambapo hata kwenye daladala tulikuwa tunaogopana.
Above all, naomba aongoze maisha yake yote mpaka atakapokufa. Kama Urusi au China wana life presidents kwanini sisi tusihalalishe?
Kwani wewe ukitangaza kuwa Mama wa ukoo wenu unashindwa?Mimi naona anafaa sana maana sasa hivi nchi imetulia sana. Kuna uhuru wa kila namna na Watanzania tunajisikia kuwa Watanzania na si watumwa ndani ya nchi yetu kama kipindi cha yule jamaa ambapo hata kwenye daladala tulikuwa tunaogopana.
Above all, naomba aongoze maisha yake yote mpaka atakapokufa. Kama Urusi au China wana life presidents kwanini sisi tusihalalishe?
Unajua watu tunatofautiana Sana aidha maoni ya mtu binafsi huathiliwa pia na ubinafsi na nafasi aliyo nayo wakati huo kuufikia mkate wa uzima.Mimi naona anafaa sana maana sasa hivi nchi imetulia sana. Kuna uhuru wa kila namna na Watanzania tunajisikia kuwa Watanzania na si watumwa ndani ya nchi yetu kama kipindi cha yule jamaa ambapo hata kwenye daladala tulikuwa tunaogopana.
Above all, naomba aongoze maisha yake yote mpaka atakapokufa. Kama Urusi au China wana life presidents kwanini sisi tusihalalishe?
We kama huna mama nenda vituo vya kulea yatima tuondolee uharo hapa.Mimi naona anafaa sana maana sasa hivi nchi imetulia sana. Kuna uhuru wa kila namna na Watanzania tunajisikia kuwa Watanzania na si watumwa ndani ya nchi yetu kama kipindi cha yule jamaa ambapo hata kwenye daladala tulikuwa tunaogopana.
Above all, naomba aongoze maisha yake yote mpaka atakapokufa. Kama Urusi au China wana life presidents kwanini sisi tusihalalishe?
Awe mama yako kabisaMimi naona anafaa sana maana sasa hivi nchi imetulia sana. Kuna uhuru wa kila namna na Watanzania tunajisikia kuwa Watanzania na si watumwa ndani ya nchi yetu kama kipindi cha yule jamaa ambapo hata kwenye daladala tulikuwa tunaogopana.
Above all, naomba aongoze maisha yake yote mpaka atakapokufa. Kama Urusi au China wana life presidents kwanini sisi tusihalalishe?
Dunia inatambua mchango wake harafu sisi tumejikalisha tuu kana kwamba hatuoni Juhudi zake.Mimi naona anafaa sana maana sasa hivi nchi imetulia sana. Kuna uhuru wa kila namna na Watanzania tunajisikia kuwa Watanzania na si watumwa ndani ya nchi yetu kama kipindi cha yule jamaa ambapo hata kwenye daladala tulikuwa tunaogopana.
Above all, naomba aongoze maisha yake yote mpaka atakapokufa. Kama Urusi au China wana life presidents kwanini sisi tusihalalishe?