Kwanini Samia hajaenda kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN)?

Kwanini Samia hajaenda kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN)?

Upepo wa Pesa

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
21,600
Reaction score
35,158
Niko nafwatilia speech za viongozi wa afrika huko UN lakini mpaka sasa sijaona jina la rais wetu Samia. Je nini tatizo?

NB: Mara ya mwisho nilimuona juzi akiwa jukwaani huko mtwara na akina Harmonize.
 
Si mlisema apunguze safari za kwenda nje ya nchi? Hiv watanzania wana matatizo gani? Akienda shida, asipoenda taabu?

Kuna uwezekano hii nchi ikawa na vichaa wengi sana!!
Kichaa moja wapo ni wewe. Ni nani kasema asiende nje? Hoja ni kwamba asiende nje kuomba omba na kuuza bandari zetu.
 
Niko nafwatilia speech za viongozi wa afrika huko UN lakini mpaka sasa sijaona jina la rais wetu Samia. Je nini tatizo?

NB: Mara ya mwisho nilimuona juzi akiwa jukwaani huko mtwara na akina Harmonize.
Anatapanya pesa kulipa wasanii badala kuwaza vyanzo vipya vya umeme.

Nchi hii imelogwa, alisema Magufuli.
Magufuli asingevumilia taabu hii ya umeme, mnyonge anyongwe lkn haki yake asinyang'anywe.

Tumerudi enzi za Kikwete...giza, rushwa na kutokuwajibika.

Kikwete anaenda UN kama nani?

UN ndiko marais hutafuta fursa kwa ajili ya nchi, marais wanakutana kirahisi na kubadilishana fursa za kiuchumi za watu wao.

Samia bibi, mama na dada yetu anatuangusha sana.

Hajui kuweka vitu vya kwanza, kwanza.

Ziara ya Kusini sio mbaya lakini ingeweza kusubiri arudi UN kwani ratiba yake ilijulikana mapema.

Nasemaje? Kama nchi tunapishana na muda, wengine wanaenda mbele, sisi Tz tunarudi nyuma kwa speed.

Nchi haina umeme.
Welders hawana kaxi
Vinyozi na wasusi hawana kazi

Watumia umeme kiuchumi wanalia....NANI ANAJALI?
 
Niko nafwatilia speech za viongozi wa afrika huko UN lakini mpaka sasa sijaona jina la rais wetu Samia. Je nini tatizo?

NB: Mara ya mwisho nilimuona juzi akiwa jukwaani huko mtwara na akina Harmonize.
Amekwepa maswali kuhusiana na uongozi wake kuwa ktk kashfa nyingi za upigaji ie DP World. Camera za vyombo vya habari vya kimataifa visingemuacha salama! Labda alinusa kwamba akina Stephen wa BBC Hard talk wanamsubiri.
 
Amekwepa maswali kuhusiana na uongozi wake kuwa ktk kashfa nyingi za upigaji ie DP World. Camera za vyombo vya habari vya kimataifa visingemuacha salama! Labda alinusa kwamba akina Stephen wa BBC Hard talk wanamsubiri.
Issue ya Ngorongoro ni mwiba kwake,kumbe UNESCO walishaipa serikali muongozo wa namna ya kushughulikia suala la Masai kuhama!
 
Sema waTz bana, akienda kero, asipoenda kero,
Ndo mana alisema yeye atafanya tu, mana watu watasema tu,
 
Sema waTz bana, akienda kero, asipoenda kero,
Ndo mana alisema yeye atafanya tu, mana watu watasema tu,
Kitu hatutaki ni rais kwenda kuomba omba na kudalila bandari zetu.

Kwenda kwenye mkutano wa UN kunaisaidia Tz kujitangaza na watu kuijua zaidi.
 
Niko nafwatilia speech za viongozi wa afrika huko UN lakini mpaka sasa sijaona jina la rais wetu Samia. Je nini tatizo?

NB: Mara ya mwisho nilimuona juzi akiwa jukwaani huko mtwara na akina Harmonize.

Vise ameenda
 
Kitu hatutaki ni rais kwenda kuomba omba na kudalila bandari zetu.

Kwenda kwenye mkutano wa UN kunaisaidia Tz kujitangaza na watu kuijua zaidi.
Kwan ukiacha issue ya bandari kadalalia nn tena, mbna kila akienda maneno,
WaTz na sisi tunakuwa kama watoto wa kambo, hatuna jema,

Nb. Samia kawakilishwa na VP huko UN
 
Niko nafwatilia speech za viongozi wa afrika huko UN lakini mpaka sasa sijaona jina la rais wetu Samia. Je nini tatizo?

NB: Mara ya mwisho nilimuona juzi akiwa jukwaani huko mtwara na akina Harmonize.
kwani unadhani wanahutubia pale UN wote ni marais? kuna marais, prime ministers, mawaziri, mabalozi etc ilimradi allocation ya kila nchi ipate mzungumzaji.
 
Si mlisema apunguze safari za kwenda nje ya nchi? Hiv watanzania wana matatizo gani? Akienda shida, asipoenda taabu?

Kuna uwezekano hii nchi ikawa na vichaa wengi sana!!
Kwa aibu aliyolitia taifa ingeshangaza kwenda yani kila sehemu duniani watanzania tunafikilika kua niwatu wajinga sana kwa vipengele vya mkataba wa Bandari .
 
Back
Top Bottom