version001
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 841
- 2,004
Ndege ipo bond Dubai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Si mlisema apunguze safari za kwenda nje ya nchi? Hiv watanzania wana matatizo gani? Akienda shida, asipoenda taabu?
Kuna uwezekano hii nchi ikawa na vichaa wengi sana!!
"Kikwete anaenda UN kama nani?'"Anatapanya pesa kulipa wasanii badala kuwaza vyanzo vipya vya umeme.
Nchi hii imelogwa, alisema Magufuli.
Magufuli asingevumilia taabu hii ya umeme, mnyonge anyongwe lkn haki yake asinyang'anywe.
Tumerudi enzi za Kikwete...giza, rushwa na kutokuwajibika.
Kikwete anaenda UN kama nani?
UN ndiko marais hutafuta fursa kwa ajili ya nchi, marais wanakutana kirahisi na kubadilishana fursa za kiuchumi za watu wao.
Samia bibi, mama na dada yetu anatuangusha sana.
Hajui kuweka vitu vya kwanza, kwanza.
Ziara ya Kusini sio mbaya lakini ingeweza kusubiri arudi UN kwani ratiba yake ilijulikana mapema.
Nasemaje? Kama nchi tunapishana na muda, wengine wanaenda mbele, sisi Tz tunarudi nyuma kwa speed.
Nchi haina umeme.
Welders hawana kaxi
Vinyozi na wasusi hawana kazi
Watumia umeme kiuchumi wanalia....NANI ANAJALI?
Hii ni tofauti na ziara!Si mlisema apunguze safari za kwenda nje ya nchi? Hiv watanzania wana matatizo gani? Akienda shida, asipoenda taabu?
Kuna uwezekano hii nchi ikawa na vichaa wengi sana!!
Ameshutuka , Ameisha likoroga, Diaspora wangempokea na kumsindikiza na Mabango, lakini pia Dunia mpaka sasa haimwelewi, upende usipende ndivyo ilivyo, Pamoja na mengine kwa wamasai wa Ngorongoro aliemshauri alimwingiza cha kiumeSi mlisema apunguze safari za kwenda nje ya nchi? Hiv watanzania wana matatizo gani? Akienda shida, asipoenda taabu?
Kuna uwezekano hii nchi ikawa na vichaa wengi sana!!
Dunia gani isiyomuelewa ?!!!Ameshutuka , Ameisha likoroga, Diaspora wangempokea na kumsindikiza na Mabango, lakini pia Dunia mpaka sasa haimwelewi, upende usipende ndivyo ilivyo, Pamoja na mengine kwa wamasai wa Ngorongoro aliemshauri alimwingiza cha kiume
Unajua maana ya Delusion? Hii ni fact, Tulitegemea nchi toka kwenye mkwamo hasa anzia kipindi cha mwendazake , leo hata huelekeo haupo,Dunia gani isiyomuelewa ?!!!
Wa DUNIANI wanakuhusu nini wewe?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
Delusion hiyo.....
George Bush hakueleweka na dunia na bado wananchi wake walimuelewa.....
Delusion unaijua wewe peke yako....Unajua maana ya Delusion? Hii ni fact, Tulitegemea nchi toka kwenye mkwamo hasa anzia kipindi cha mwendazake , leo hata huelekeo haupo,