Kwanini Samia hajaenda kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN)?

Kwanini Samia hajaenda kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN)?

Si mlisema apunguze safari za kwenda nje ya nchi? Hiv watanzania wana matatizo gani? Akienda shida, asipoenda taabu?

Kuna uwezekano hii nchi ikawa na vichaa wengi sana!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Umeona ee?
 
Anatapanya pesa kulipa wasanii badala kuwaza vyanzo vipya vya umeme.

Nchi hii imelogwa, alisema Magufuli.
Magufuli asingevumilia taabu hii ya umeme, mnyonge anyongwe lkn haki yake asinyang'anywe.

Tumerudi enzi za Kikwete...giza, rushwa na kutokuwajibika.

Kikwete anaenda UN kama nani?

UN ndiko marais hutafuta fursa kwa ajili ya nchi, marais wanakutana kirahisi na kubadilishana fursa za kiuchumi za watu wao.

Samia bibi, mama na dada yetu anatuangusha sana.

Hajui kuweka vitu vya kwanza, kwanza.

Ziara ya Kusini sio mbaya lakini ingeweza kusubiri arudi UN kwani ratiba yake ilijulikana mapema.

Nasemaje? Kama nchi tunapishana na muda, wengine wanaenda mbele, sisi Tz tunarudi nyuma kwa speed.

Nchi haina umeme.
Welders hawana kaxi
Vinyozi na wasusi hawana kazi

Watumia umeme kiuchumi wanalia....NANI ANAJALI?
"Kikwete anaenda UN kama nani?'"

JIBU NI

Nahisi hajawakilisha nchi,nchi
imewakilishwa na na VP Mpango, yeye Kikwete ni kiongozi kwenye baadhi ya jumuiya za kimataifa,kama sio mwenyekiti ni mjumbe ,kwa nafasi hiyo anaweza hudhuria
 
Si mlisema apunguze safari za kwenda nje ya nchi? Hiv watanzania wana matatizo gani? Akienda shida, asipoenda taabu?

Kuna uwezekano hii nchi ikawa na vichaa wengi sana!!
Hii ni tofauti na ziara!
Wacha upopoma wako wa ki- CCM....
Hii ni mojawapo ya vikao muhimu kwa nchi kuwakilishwa.na Rais mwenye kujielewa na kuuelewa umuhimu wa uongozi.hawezi kuacha hii ikampita.
Hii ni platform ya kukutana na viongozi wote Duniani na huko ndio lobbying za muhimu hufanyika.
Ila inahitaji Rais anayeelewa anachokirafuta kwa niaba ya nchi yake.
Huko panahitaji Genius leader na sio ile misafara ya ziara kukagua gwaride viwanja vya ndege?
Je!
Wa kwetu ni Presidential Materials?????
Tuanzie hapo.
View attachment 2758078
 
Si mlisema apunguze safari za kwenda nje ya nchi? Hiv watanzania wana matatizo gani? Akienda shida, asipoenda taabu?

Kuna uwezekano hii nchi ikawa na vichaa wengi sana!!
Ameshutuka , Ameisha likoroga, Diaspora wangempokea na kumsindikiza na Mabango, lakini pia Dunia mpaka sasa haimwelewi, upende usipende ndivyo ilivyo, Pamoja na mengine kwa wamasai wa Ngorongoro aliemshauri alimwingiza cha kiume
 
Hajiendei tu...

Ana makubwa ya kuyafanya kwa kipindi hiki....

Umesikia kuwa kwa miaka 2 ya uongozi wake UCHUMI umekuwa dola bilioni 18 zaidi ya jumla ya Kenya na Uganda?!!! [emoji1787]
 
Ameshutuka , Ameisha likoroga, Diaspora wangempokea na kumsindikiza na Mabango, lakini pia Dunia mpaka sasa haimwelewi, upende usipende ndivyo ilivyo, Pamoja na mengine kwa wamasai wa Ngorongoro aliemshauri alimwingiza cha kiume
Dunia gani isiyomuelewa ?!!!

Wa DUNIANI wanakuhusu nini wewe?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Delusion hiyo.....

George Bush hakueleweka na dunia na bado wananchi wake walimuelewa.....
 
Dunia gani isiyomuelewa ?!!!

Wa DUNIANI wanakuhusu nini wewe?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Delusion hiyo.....

George Bush hakueleweka na dunia na bado wananchi wake walimuelewa.....
Unajua maana ya Delusion? Hii ni fact, Tulitegemea nchi toka kwenye mkwamo hasa anzia kipindi cha mwendazake , leo hata huelekeo haupo,
 
Unajua maana ya Delusion? Hii ni fact, Tulitegemea nchi toka kwenye mkwamo hasa anzia kipindi cha mwendazake , leo hata huelekeo haupo,
Delusion unaijua wewe peke yako....

Mwelekeo upi ?!!!

Ndani ya miaka 2 ya uongozi wake taifa limejipatia dola bilioni 18....hii ni jumla ya bilioni 17 za mataifa ya Kenya na Uganda....

Unaongelea takwimu jadidi ama mbango ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom