Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Hii inatoa picha Gani kwa taifa? Je kitendo kilichofanyika ni kitendo Cha kiungwana?
Mkuu wa mkoa anapata wapi ujasiri wa kuzungumza hadharani kuwa mama mjamzito akakatwe kisu na mumewe nyumbani?
Anapata wapi mandatory ya kuzungumzia rushwa hadharani?
Kwanini Rais ambaye ni mfariji namba moja ndiyo amekaa kimyaa kwenye suala muhimu kama hili?
Mkuu wa mkoa anapata wapi ujasiri wa kuzungumza hadharani kuwa mama mjamzito akakatwe kisu na mumewe nyumbani?
Anapata wapi mandatory ya kuzungumzia rushwa hadharani?
Kwanini Rais ambaye ni mfariji namba moja ndiyo amekaa kimyaa kwenye suala muhimu kama hili?