Kwanini Samia hataki kuchukua hatua kwa kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam cha kudhalilisha wanawake?

Kwanini Samia hataki kuchukua hatua kwa kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam cha kudhalilisha wanawake?

Hii inatoa picha Gani kwa taifa? Je kitendo kilichofanyika ni kitendo Cha kiungwana?

Mkuu wa mkoa anapata wapi ujasiri wa kuzungumza hadharani kuwa mama mjamzito akakatwe kisu na mumewe nyumbani?

Anapata wapi mandatory ya kuzungumzia rushwa hadharani?

Kwanini Rais ambaye ni mfariji namba moja ndiyo amekaa kimyaa kwenye suala muhimu kama hili?
Acha wivu
 
Ujuhi gharama za kujifungua, inaonyesha bado ujazaa/ujazalisha.

Nilitegemea umuombe Rais na Serikali yake igharamie vifaa vya kujifungulia kwa wamama wanaokwenda kujifungua unakaa kuandika ushabiki.

GOD BLESS TANGANYIKA
 
Sijaona tatizo la Chalamila, miezi tisa mtu unakua ujajiandaa kabisa? Mnapenda kudeka pro max.sasa huyo mtoto na mama utawalisha na kuwahudumia vipi kwa hali hio?
 
Kauli ya Chalamila iwe somo kwa wote ambao bado wanazaa, kwamba wajiandae kabla ya kujifungua.
 
Waambie maana wanajisahau sana, nimefanya kazi salaries mtu anakuja jasho linamtoka kuomba mkopo mke kajifungua ghafla ila miezi imekamilika, hiyo ni ghafla kweli na tarehe hiyo hiyo ya makadirio kajifungua, mtampa tu maana hatoki ofisini hadi kero, wakiambiwa ukweli wanakasirika
Kajifungua ghafla? 😁
 
Hii inatoa picha Gani kwa taifa? Je kitendo kilichofanyika ni kitendo Cha kiungwana?

Mkuu wa mkoa anapata wapi ujasiri wa kuzungumza hadharani kuwa mama mjamzito akakatwe kisu na mumewe nyumbani?

Anapata wapi mandatory ya kuzungumzia rushwa hadharani?

Kwanini Rais ambaye ni mfariji namba moja ndiyo amekaa kimyaa kwenye suala muhimu kama hili?
 
Hakuna sababu zezote zile kwa mmawajawazito kuenda kuzalia kwa muhospital zaidi ya PESA.

Huu ujinga wa kutaka wajawazito kwenda kuzalia hospitali inachukua rasilimali za Familia za Watu bure tyu. Ina watia watu umasikini tyu.

Yaani, pamoja na kuuziwa maneno mazuri, kana vile, utapata Usafi(mazingira mazuri), wataokoa Maisha, wata kupa Dawa za Uchungu yote hayo hayana maana yeyote yale bali ni mbinu ya kukuchanganya uende Hospitali kuwachangia wenye hela.
Unauliza wenye hela ni nani? Wote wanaouza Vifaa vya Hospitali, Wote wanaotengeneza madawa:-wenye hela.
Nimetafakari sana hayo Juu, hasa kuhusu mwanzo wa unyanyaji wa mabebebru, (capital flight included). Yaani mtoto wa anazaliwa Afrika, wanaotajirika ni wale wa Nchi zanje? Shirikisha ubongo kidogo
Gharama, Gharama, Gharama=Pesa and if you follow the money utaishia katika mabara haya Asia, Ulaya na Amerika.
###########&&#########

NIseme, sikubaliani na matamshi ya you know who, kwani yanachangia kuuza bidhaa tu. Ni marketing strategy tyu. Hata hivyo sidhani kama yanadondokea kwenye udhalilishaji kama tunaouonanhumu JF. Tuache Unafiki
 
Ebu changieni huduma za afya.. miezi 9 yote unashindwaje kusave elfu 50? Mnapenda sana kubembelezwa
Sioni Ulazima. Na hayo ni maoni yangu.

Maneno kama haya 'Huduma za Afya" is tooooooo much overrated.

Turudi kwenye njia za Asili😁😁😁😁😁

#########
Hamna utofauti wa udhalilishaji kati ya matamshi yako, na aliyosema aliyoyasema.
 
Hii inatoa picha Gani kwa taifa? Je kitendo kilichofanyika ni kitendo Cha kiungwana?

Mkuu wa mkoa anapata wapi ujasiri wa kuzungumza hadharani kuwa mama mjamzito akakatwe kisu na mumewe nyumbani?

Anapata wapi mandatory ya kuzungumzia rushwa hadharani?

Kwanini Rais ambaye ni mfariji namba moja ndiyo amekaa kimyaa kwenye suala muhimu kama hili?
Unaweza kuta ule ni msimamo w serikali. Chalamila ametumika kama spika tu.
 
Hii inatoa picha Gani kwa taifa? Je kitendo kilichofanyika ni kitendo Cha kiungwana?

Mkuu wa mkoa anapata wapi ujasiri wa kuzungumza hadharani kuwa mama mjamzito akakatwe kisu na mumewe nyumbani?

Anapata wapi mandatory ya kuzungumzia rushwa hadharani?

Kwanini Rais ambaye ni mfariji namba moja ndiyo amekaa kimyaa kwenye suala muhimu kama hili?
Hajawadhalilisha wanawake bali yeye mwenyewe, mama yake na mke wake mbali na rais mwenyewe. Hata hivyo, huyu bambataa na chawa anajulikana kwa kujikomba na kutaka kuwafurahisha wanaomtupia matonge kama macc wengine.
 
Hii inatoa picha Gani kwa taifa? Je kitendo kilichofanyika ni kitendo Cha kiungwana?

Mkuu wa mkoa anapata wapi ujasiri wa kuzungumza hadharani kuwa mama mjamzito akakatwe kisu na mumewe nyumbani?

Anapata wapi mandatory ya kuzungumzia rushwa hadharani?

Kwanini Rais ambaye ni mfariji namba moja ndiyo amekaa kimyaa kwenye suala muhimu kama hili?
kesi ya Nyani unapeleka kwa Ngedere
 
Back
Top Bottom