Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Akikosa wewe utapata huko ukuu wa Mkoa?Hii inatoa picha Gani kwa taifa? Je kitendo kilichofanyika ni kitendo Cha kiungwana? Mkuu wa mkoa anapata wapi ujasiri wa kuzungumza hadharani kuwa mama mjamzito akakatwe kisu na mumewe nyumbani? anapata wapi mandatory ya kuzungumzia rushwa hadharani? Kwanini Rais ambaye ni mfariji namba moja ndiyo amekaa kimyaa kwenye suala muhimu kama hili?
Acha usengeAkikosa wewe utapata huko ukuu wa Mkoa?
Wala siyo wivu maneno Yake Yana adhari kubwa sana kwenye sekta ya afya, Sasa itaonekana kutoa pesa ili upate huduma hata zile huduma za Bure za mama na mtoto ni jambo la kawaida. Ila kwa kuwa nchi hii wajinga wengi kama wewe mnaona ni sawa tu bila kujua Kuna watu hawana hata Elfu moja ya kula.Wivuu wivu mama wivuu
Sababu ni hii:Hii inatoa picha Gani kwa taifa? Je kitendo kilichofanyika ni kitendo Cha kiungwana? Mkuu wa mkoa anapata wapi ujasiri wa kuzungumza hadharani kuwa mama mjamzito akakatwe kisu na mumewe nyumbani? anapata wapi mandatory ya kuzungumzia rushwa hadharani? Kwanini Rais ambaye ni mfariji namba moja ndiyo amekaa kimyaa kwenye suala muhimu kama hili?
Swali zuri sana.Akikosa wewe utapata huko ukuu wa Mkoa?
Acha chuki, huyo mfariji kamfariji nani? Mzee kibao kuuawq na wengine kupotezwa na utekaji kwako sio kitu alipaswa kufanya? Mbona IGP, DCI wako kwenye nafasi zao? Hiyo faraja ni ipi? So unaona akiondolewa Chalamila ndio itakuwa faraja kwako?Asamehewe tu hajui alitendalo
Yaani huna elfu moja ya kula halafu unataka uzae ili upate huduma bure? Je baada ya hiyo huduma ya bure huyo mtoto ataishije. Hivi akili yako inafikiria vizuri kweli?Wala siyo wivu maneno Yake Yana adhari kubwa sana kwenye sekta ya afya, Sasa itaonekana kutoa pesa ili upate huduma hata zile huduma za Bure za mama na mtoto ni jambo la kawaida. Ila kwa kuwa nchi hii wajinga wengi kama wewe mnaona ni sawa tu bila kujua Kuna watu hawana hata Elfu moja ya kula.
Halafu wakigongewa wanakuja hapa kulialiaEbu changieni huduma za afya.. miezi 9 yote unashindwaje kusave elfu 50? Mnapenda sana kubembelezwa
Kabisa, wanazungumza lugha moja. Mteule ana historia ya kutoa kauli za kashfa na kushushua watu mara nyingi tu.Chalamila hawez kutenguliwa maana ndio mambo mteule anayapenda
Waambie maana wanajisahau sana, nimefanya kazi salaries mtu anakuja jasho linamtoka kuomba mkopo mke kajifungua ghafla ila miezi imekamilika, hiyo ni ghafla kweli na tarehe hiyo hiyo ya makadirio kajifungua, mtampa tu maana hatoki ofisini hadi kero, wakiambiwa ukweli wanakasirikaEbu changieni huduma za afya.. miezi 9 yote unashindwaje kusave elfu 50? Mnapenda sana kubembelezwa