Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,112
- 1,429
Acha wivuHii inatoa picha Gani kwa taifa? Je kitendo kilichofanyika ni kitendo Cha kiungwana?
Mkuu wa mkoa anapata wapi ujasiri wa kuzungumza hadharani kuwa mama mjamzito akakatwe kisu na mumewe nyumbani?
Anapata wapi mandatory ya kuzungumzia rushwa hadharani?
Kwanini Rais ambaye ni mfariji namba moja ndiyo amekaa kimyaa kwenye suala muhimu kama hili?
Kajifungua ghafla? πWaambie maana wanajisahau sana, nimefanya kazi salaries mtu anakuja jasho linamtoka kuomba mkopo mke kajifungua ghafla ila miezi imekamilika, hiyo ni ghafla kweli na tarehe hiyo hiyo ya makadirio kajifungua, mtampa tu maana hatoki ofisini hadi kero, wakiambiwa ukweli wanakasirika
Hii inatoa picha Gani kwa taifa? Je kitendo kilichofanyika ni kitendo Cha kiungwana?
Mkuu wa mkoa anapata wapi ujasiri wa kuzungumza hadharani kuwa mama mjamzito akakatwe kisu na mumewe nyumbani?
Anapata wapi mandatory ya kuzungumzia rushwa hadharani?
Kwanini Rais ambaye ni mfariji namba moja ndiyo amekaa kimyaa kwenye suala muhimu kama hili?
Sioni Ulazima. Na hayo ni maoni yangu.Ebu changieni huduma za afya.. miezi 9 yote unashindwaje kusave elfu 50? Mnapenda sana kubembelezwa
Unaweza kuta ule ni msimamo w serikali. Chalamila ametumika kama spika tu.Hii inatoa picha Gani kwa taifa? Je kitendo kilichofanyika ni kitendo Cha kiungwana?
Mkuu wa mkoa anapata wapi ujasiri wa kuzungumza hadharani kuwa mama mjamzito akakatwe kisu na mumewe nyumbani?
Anapata wapi mandatory ya kuzungumzia rushwa hadharani?
Kwanini Rais ambaye ni mfariji namba moja ndiyo amekaa kimyaa kwenye suala muhimu kama hili?
Hajawadhalilisha wanawake bali yeye mwenyewe, mama yake na mke wake mbali na rais mwenyewe. Hata hivyo, huyu bambataa na chawa anajulikana kwa kujikomba na kutaka kuwafurahisha wanaomtupia matonge kama macc wengine.Hii inatoa picha Gani kwa taifa? Je kitendo kilichofanyika ni kitendo Cha kiungwana?
Mkuu wa mkoa anapata wapi ujasiri wa kuzungumza hadharani kuwa mama mjamzito akakatwe kisu na mumewe nyumbani?
Anapata wapi mandatory ya kuzungumzia rushwa hadharani?
Kwanini Rais ambaye ni mfariji namba moja ndiyo amekaa kimyaa kwenye suala muhimu kama hili?
kesi ya Nyani unapeleka kwa NgedereHii inatoa picha Gani kwa taifa? Je kitendo kilichofanyika ni kitendo Cha kiungwana?
Mkuu wa mkoa anapata wapi ujasiri wa kuzungumza hadharani kuwa mama mjamzito akakatwe kisu na mumewe nyumbani?
Anapata wapi mandatory ya kuzungumzia rushwa hadharani?
Kwanini Rais ambaye ni mfariji namba moja ndiyo amekaa kimyaa kwenye suala muhimu kama hili?