The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Vyoo ni vichafu sana, jana nimeenda mavi nje nje, kwa kifupi watueleze hizo pesa zimeenda wapi.Acha uchawa wa kijinga, tuelezee wewe kipi kilichofanyika hapo uwanjani kwa gharama ile iliyotajwa? Kwanini screen za matangazo hazioperate? Kwanini hakuna big screen? Kwanini pitch bado mbovu? Umepita muda gani tangu uwanja ufungwe? Utakuja kusema wamefunga taa, wifi ya bure ambayo hata haipo kwa sasa!, kurekebisha vyoo na vyumba vya kubadilishia nguo. Kwa hiyo muda wote huo hicho tu ndicho kilichofanyika?? Hapo utaambiwa imeshatumika bilioni 27, na ulivyo chawa zwazwa utasema sawa 😄😄😄
lile liuwanja ni lichafu huduma mbovu hakuna sehemu ya kuuza vyakula vizuri vyoo vimejaa mimaji hakuna network niliskia wamefunga na wifi bado zinafanya kazi kweliVyoo ni vichafu sana, jana nimeenda mavi nje nje, kwa kifupi watueleze hizo pesa zimeenda wapi.
Taifa la weziNilitegemea kwa yale mabilioni yaliyomwagwa kwa ajili ya ukarabati wa uwanja wa Mkapa pamoja na kuufungia usitumike mpaka sasa japo pamoja na marekebisho madogo kwenye vyumba vya kubadilishia nguo, vyoo, taa n.k Lakini mbona bado quality yake haifiki level ya viwanja vingine vikubwa tunavyoviona kwenye video?? Shida iko wapi?? Kwanini hauvutii? Kwa marekebisho yaliyofanyika mpaka sasa sidhani kama yanazidi 400 mil. Je hizo pesa zingine ziko wapi? Pitch haivutii, screen zipo tu lakini hazioperate, screen kubwa pale juu kazi yake kuonyesha tu score! Viti havina mvuto n.k
Wahusika mtueleze shida iko wapi?
View attachment 2949600View attachment 2949601View attachment 2949602
Hizi ndizo Pitch za Mkapa 👇👇👇
View attachment 2949603
View attachment 2949604
Na wifi bado inafanya kazi??Juzi nilishangaa kuona ile TV haifanyi kazi na badala yake ikafungwa screen ndogo
Ile screen ndogo ilikuwa haikidhi viwango kwasababu haikua msaada kwa watu waliokuwa mbali.
Kiufupi ni kuwa kwenye huu uwanja kuna upigaji mkubwa umefanyika kwenye haya matengenezo recently ya ufunguzi wa AFL.
Ni kama walifanya maintanance ya kuegesha tu kusukuma siku kadhaa mbele kisha tatizo lirudi baada ya muda.
WiFi waliziegesha tu.Na wifi bado inafanya kazi??
kwahyo ww ndio injinia mpka ujue kwamba bado haujakamilika au ndio nyani haoni kunduleuwanja bado haujamalizika kutengenezwa hebu acha uongo,wewe sio injinia unajua nini kinafanyika hapo uwanjani,kama umeshiba maharage bora ujambe
uko sahihiJuzi nilishangaa kuona ile TV haifanyi kazi na badala yake ikafungwa screen ndogo
Ile screen ndogo ilikuwa haikidhi viwango kwasababu haikua msaada kwa watu waliokuwa mbali.
Kiufupi ni kuwa kwenye huu uwanja kuna upigaji mkubwa umefanyika kwenye haya matengenezo recently ya ufunguzi wa AFL.
Ni kama walifanya maintanance ya kuegesha tu kusukuma siku kadhaa mbele kisha tatizo lirudi baada ya muda.
Iko waziInategemea na urefu wa kamba
Taifa la wezi hufanya wizi kila sehemu. Sheria za kikatiri sana zinatakiwa nchini ili kukata huu mzizi wa wizi ulioanza kuzama kutokana na urefu wa kamba.
Kila unaposikia serikali imepata mkopo au imeingia mkataba fulani ujue hapo kuna watu wameshakwamua fedha za umma na kuziweka mifukoni mwao.
"Urefu wa kamba "
Viongozi wa wizara husika tunaomba mtupe maelezo
Uwanja ni mchafu mnooo, vyoo vichafu viti vilevile, pitch ileile, sehemu ya kukimbia wanariadha bado iko vilevile chafu, viwanja vya kisasa sehemu ya kukimbia wanariadha inakuwa ya blue lkn kwa mkapa iko vilevile, hapa kuna ufisadi mkubwa umefanyika na mama yuko kimya kama kawaida yake.
Billboards za pembezoni mwa uwanja hazi animate, ziko static sasa kuna haja gani kuweka LCDS za gharama kubwa alafu hazifutii Audience.
Ujinga mtupu
lile liuwanja ni lichafu huduma mbovu hakuna sehemu ya kuuza vyakula vizuri vyoo vimejaa mimaji hakuna network niliskia wamefunga na wifi bado zinafanya kazi kweli
Taifa la wezi