Kwanini Separatist wa muungano hawanyongwi?

Acha ni kusamehe sababu ya tatizo la kiasili ulionalo
Jibu hoja unisamehe we mwenyezi mungu??
Muungano ni wako hadi unisamehe??
We nani mpaka uhisi una haki ya kunisamehe?
Personal mi nina ugomvi gani naww??


Una matatizo ya akili au kuna kingine
 
Jibu hoja unisamehe we mwenyezi mungu??
Muungano ni wako hadi unisamehe??
We nani mpaka uhisi una haki ya kunisamehe?
Personal mi nina ugomvi gani naww??


Una matatizo ya akili au kuna kingine
Sister angu nakuheshimu naomba niishie hapo vinginevyo unachokitafuta utakipata na matokeo yake hayatakuwa mazuri kwako.
 
Uhuru zaidi au siyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…