Focus120
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 1,089
- 793
Habari zenu. Wanauchumi na wadau wengine wote humu ndani..
Naleta mada hii kwa misingi ya kutaka kuelewa, kama nchi inaweza Ku print noti mpya. Kwanini inakopa pesa?
Kwanini ina madeni kama uwezo wa kuyalipa na pesa mpya ipo
Kwa wenye uelewa. Tusaidiane tafadhali.
Mnisaidie concept ya "inflation" pia
Sent using Jamii Forums mobile app
**Update*. .
Asanteni sana wachumi na wadau wote kwa kutoa Elimu.
Nina amini wapo wengi waliojifunza kupitia swali langu la " Kipuuzi" ( kama baadhi walivyo chukulia)
Ila nimejifunza mengi.
Amani iwe Nanyi.
"SANITIZE"..
Naleta mada hii kwa misingi ya kutaka kuelewa, kama nchi inaweza Ku print noti mpya. Kwanini inakopa pesa?
Kwanini ina madeni kama uwezo wa kuyalipa na pesa mpya ipo
Kwa wenye uelewa. Tusaidiane tafadhali.
Mnisaidie concept ya "inflation" pia
Sent using Jamii Forums mobile app
**Update*. .
Asanteni sana wachumi na wadau wote kwa kutoa Elimu.
Nina amini wapo wengi waliojifunza kupitia swali langu la " Kipuuzi" ( kama baadhi walivyo chukulia)
Ila nimejifunza mengi.
Amani iwe Nanyi.
"SANITIZE"..