KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Of course ilikuwa ni opinion yako ambayo ni ptofu ndio maana tupohapa.Hyo ilikuwa opinion yangu sio Sheria pia kuamini eti watu kutumia tv kungefanya watu wasiende shule Ina relate vipi na maendeleo au ndo kushikiwa akili na watu wachache majority wawe mbumbumbu, hyo ya tv ilikuwa mfano wa vitu vingi vilivozuiwa tu kwenye nchi za kijamaa ku control masses.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajabu ni kwamba bado hukujifunza lolote tokea na hapo hadi hapa.