Kwanini Serikali inaacha uvumi unaondelea kwenye mitandao uendelee?

Of course ilikuwa ni opinion yako ambayo ni ptofu ndio maana tupohapa.
Ajabu ni kwamba bado hukujifunza lolote tokea na hapo hadi hapa.
 
Na video unawekewa bado huamini?
Walewale
 
Na video unawekewa bado huamini?
Walewale
“Wangeleta za kina Gwajboy, Birian, nandyvchupi and other leaked Xvids apa WaTz tunaaminig bila ukakas ila kw hili la ndugu zetu kuzkw #19 na bila taarfa kw kwel tumezba masikio na hatutak kuamin"Said by Santos De La Seine Jaques Walter Vladimir Suzuoka Lin X Kim Sang Mundri
 
Anza kuangaza hapo ulipo kama kuna maambukizi au vifo. Hiyo ndiyo taarifa iliyo sahihi kabisa.
 
Si wanamtumiaga ummy lkn ww inakuuma nn
 
Naogopa ku comment[emoji24][emoji24][emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahisi Kigogo ndie huyo huyo mangi kimambi. mangi kimambi aliacha kuisema serikali mda mrefu sijui mapatano yao na nadhani kafungua web kwa jina la kigogo kuwapoteza maboya na kuanza kuitukana serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
And me was my opinion sikuyaota ni Mambo nimeyasoma kwa undani zaidi in deep na sio kusimuliwa before, during and post - independence, wewe ndo hukunielewa
Of course ilikuwa ni opinion yako ambayo ni ptofu ndio maana tupohapa.
Ajabu ni kwamba bado hukujifunza lolote tokea na hapo hadi hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You can fool some people for some time, but you can not fool all the people all the time.
 
LOoo, now you show how shallow you indeed are!
Try and re-read what you have posted here!
I'm not shallow, you failed to understand my arguments and you started attacking me.
I have read and understood clearly, stop twisting, otherwise have a nice time, byeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I'm not shallow, you failed to understand my arguments and you started attacking me.
I have read and understood clearly, stop twisting, otherwise have a nice time, byeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Let me tell you this.
I have seen no substantive arguments anywhere in these postings of yours
 
Kama wewe huziamini sawa, endelea kujidanganya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo familia ya benson ilikuwa na cheo gani serikarini mpaka watangaze kifo chake, mbona watu wanakufa miaka yote huku mitaani hawatangazwi, au kwa kuwa huyo anapesa?
Duh! Uelewa wa WaTz? Hujawahi kufiwa pengine.
Matangazo huwekwa radioni, kwenye magazeti, na kwa wenye biashara zao, biashara kufungwa na tangazo la kifo hubandikwa kwa ajili ya wateja.
Kifo si siri, kama inavyoanza kulazimishwa kwa wakati huu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…