Haya nayo ni majabu ya Tanzania. Pamoja na kwamba naunga mkono tozo lakini siungi mkono Serikali kununua magari ya kifahari. Magari ya kifahari tuwaachie watu binafsi na sio serikali.
Kwenye hili tusilaumu Serikali iliyopo pekee hata Kikwete na Magufuli walitumia pesa vibaya sana na hasa Magufuli kwenye ziara zake na misafara mikubwa.
Hakuna sababu ya msingi ya Serikali kushindwa kupata magari mazuri tena na warranty kwa 100M za Kitanzania.
Hatuwezi kuendelea kutetea Serikali kama haitachukua hatua za haraka kwenye hili. Serikali imekuwa ikijivuta vuta sana.
Natambua serikali ilitaka kuja na utaratibu wa kukopesha lakini wafanye haraka.
Kwenye hili tusilaumu Serikali iliyopo pekee hata Kikwete na Magufuli walitumia pesa vibaya sana na hasa Magufuli kwenye ziara zake na misafara mikubwa.
Hakuna sababu ya msingi ya Serikali kushindwa kupata magari mazuri tena na warranty kwa 100M za Kitanzania.
Hatuwezi kuendelea kutetea Serikali kama haitachukua hatua za haraka kwenye hili. Serikali imekuwa ikijivuta vuta sana.
Natambua serikali ilitaka kuja na utaratibu wa kukopesha lakini wafanye haraka.