Kwanini Serikali inanunua magari ya Tsh 300M hadi 500M?

Kwanini Serikali inanunua magari ya Tsh 300M hadi 500M?

Oyaa acheni ujinga hata hayo magari ya mil 300-500 bado Ni ya pesa ndogo Saaaaana,wanatakiwa waendeshwe na Maybach,Rolls Royce,G-Wagon.Kwa wakuu wa mikoa Lamborghini zitawafaa.

Poleni viongozi wa serikali kwa kuumia migongo kwa Sababu ya kuendeshwa na magari ya Bei rahisi.

Wanyonge tuko tayari kuwakanda.
 
Haya nayo ni majabu ya Tanzania. Pamoja na kwamba naunga mkono tozo lakini siungi mkono serikali kununua magari ya kifahari. Magari ya kifahari tuwaachie watu binafsi na sio serikali.

Kwenye hili tusilaumu serikali iliyopo pekee hata kikwete na Magufuli walitumia pesa vibaya sana na hasa Magufuli kwenye ziara zake na misafara mikubwa.

Hakuna sababu ya msingi ya serikali kushidwa kupata magari mazuri tena na warranty kwa 100M za kitanzania.

Hatuwezi kuendelea kutetea serikali kama haita chukuwa hatua za haraka kwenye hili. Serikali imekuwa ikijivuta vuta sana

Natambua serikali ilitaka kuja na utaratibu wa kukopesha lakini wafanye haraka
Habari za Kikwete na Magufuli walifanya hazina maana yoyote hapa.
Kujisahihisha ndilo la muhimu.
Kosa la mmoja halihalalishi la mwingine.
 
Bwawa la kufua umeme la Mwalimu Nyerere likamilike. Hatutaki kusikia makusanyo ya tozo hayatoshi kuleta winchi ya kubeba mageiti! Sijui najadili kitu gani!
 
Kuna shida gani ikinunuliwa harrier?
Kweli ndugu yangu, nchi inatakiwa kuenenda kulingana na hali yake ya kiuchumi, na sio kuonyesha matumizi anasa' wakati ni maskini! Nchi kama Botswana huwezi kuta wana matumizi ya serikali 'zembe kama unavyoona Tz.....
 
Haya nayo ni majabu ya Tanzania. Pamoja na kwamba naunga mkono tozo lakini siungi mkono serikali kununua magari ya kifahari. Magari ya kifahari tuwaachie watu binafsi na sio serikali.

Kwenye hili tusilaumu serikali iliyopo pekee hata kikwete na Magufuli walitumia pesa vibaya sana na hasa Magufuli kwenye ziara zake na misafara mikubwa.

Hakuna sababu ya msingi ya serikali kushidwa kupata magari mazuri tena na warranty kwa 100M za kitanzania.

Hatuwezi kuendelea kutetea serikali kama haita chukuwa hatua za haraka kwenye hili. Serikali imekuwa ikijivuta vuta sana

Natambua serikali ilitaka kuja na utaratibu wa kukopesha lakini wafanye haraka
Hiyo sentence yako moja tu ya kuunga mkono tozo, inaonyesha unafikiwako.
 
Kwa nini kama magari wanayapenda wasinunue kwa hela zao wanatumia za walipa kodi ndio maana hata kelele za kodi kubwa kwenye magari hawaisikii kwa sababu muda mwingi wanatumia gari za Serikali..na wengi wao wakistaafu ndio maumivu haya wanaanza kuyapata..
 
Kwenye tozo mimi nina ropic nzima ya kusema nina unga mkono tozo hilo liwe wazi.

Unasema sheria ya magari mapya mbona kuna magari mapya mengi ya bei ya $30,000 na chini inakuwaje mapya iwe maana ya Tsh 300M hadi 500M.

Hivi ni visingizio nakimbuka zamani kulikuwa na 505, Renaults, Carina sasa tuna barabara nzuri ofisa wa mjini na V8 ya nini? Yaani wafanyakazi wa Dar na mijini wote kuna sababu gani au ulazima wa kuwa na VX

Imekuwa ni aibu wanao tusaidia pesa kwenye shule na afya wanatumia magari ya kawaida. Hapa US viongozi wanatumia jeep na Ford na sisi tuna ushamba wa kujionyesha tena serikali kama sifa vile kununua magari ya tsh 500M
Kwani mkuu hujaona serikali wakitumia magari madogo? Hadi bajaji na pikipiki zipo pia
 
Wanazitumia kwa masafa marefu,

Kwani Watanzania ni wajinga kwanini wasinunue pickup double cabin kama ni kwa safari?. Na pili wanaenda wapi wakati kuna viongozi Tanzania nzima. Yaani wewe ni Mkurugenzi Dodoma unaenda Mwanza kufanya nini hasa wakati kule kuna viongozi. Kama ni shughuli au ni kijijini kwenye tumia usafiri wako binafsi.

lakini Watanzania wengine wasio na V8 wanasafiri vipi?
 
Unataka gari ya Raisi wa Nchi inunuliwe harrier?
Unadhani wakati wa nyerere hakukuwa na gari za kifahari ? Mzee wetu ndo pekee aliekuwa anajali shida zetu si hawa walamba asali.
 
Watanzania bwana, kila kitu tozo tuuu wakati imeanzishwa juzi tu na magufuli, na walalamikaji wengi ni walalahoi ambao walikua hawalipi kodi kwa kuhisi inalipwa na matajiri tu kumbe inalipwa na kila mtanzania haijalishi kipato chako sasa imebuni mbinu ya kuwakamua wote kelele nyingiii[emoji23][emoji23]

Kuhusu magari ya serikali mjue tu sheria inawabana, hairuhusu kununua chochote cha mtumba bali mpyaaa na karatasi lake sasa sisi tunanunua ya miaka 10 nyuma tunaona jipya [emoji23]
kwani suzuki ni shs ngapi? hata landrover zinatosha sana.
 
Kwani Watanzania ni wajinga kwanini wasinunue pickup double cabin kama ni kwa safari?. Na pili wanaenda wapi wakati kuna viongozi Tanzania nzima. Yaani wewe ni Mkurugenzi Dodoma unaenda Mwanza kufanya nini hasa wakati kule kuna viongozi. Kama ni shughuli au ni kijijini kwenye tumia usafiri wako binafsi.

lakini Watanzania wengine wasio na V8 wanasafiri vipi?
Sasa wewe mwenyewe unawakandia yet unaunga mkono waongeze kodi!!! Yaani una ndoo unaona kabisa inavuja maji yet una fight iendelee tu kujazwa maji!!!!
 
Watanzania bwana, kila kitu tozo tuuu wakati imeanzishwa juzi tu na magufuli, na walalamikaji wengi ni walalahoi ambao walikua hawalipi kodi kwa kuhisi inalipwa na matajiri tu kumbe inalipwa na kila mtanzania haijalishi kipato chako sasa imebuni mbinu ya kuwakamua wote kelele nyingiii[emoji23][emoji23]

Kuhusu magari ya serikali mjue tu sheria inawabana, hairuhusu kununua chochote cha mtumba bali mpyaaa na karatasi lake sasa sisi tunanunua ya miaka 10 nyuma tunaona jipya [emoji23]
Sheria,Iko sahihi mitumba ni ghali zaidi, lakini je hakuna magari mapya ya chini ya 300,?hakuna new brand60m? Tuamini kwamba serikali inamiliki magari ya300-500m?
 
Sasa wewe mwenyewe unawakandia yet unaunga mkono waongeze kodi!!! Yaani una ndoo unaona kabisa inavuja maji yet una fight iendelee tu kujazwa maji!!!!

Walipa kodi bado kidogo lakini serikali nayo inatakiwa kupunguza matumizi
 
Back
Top Bottom