Kwanini Serikali inanunua magari ya Tsh 300M hadi 500M?

Kwanini Serikali inanunua magari ya Tsh 300M hadi 500M?

Walipa kodi bado kidogo lakini serikali nayo inatakiwa kupunguza matumizi

Msafara wa "Tuna imani nawe Mwigulah" ...Ni matumizi tu haya yasiyo na tija yoyoye...
 
Wengi mna hoja lakini kwa nchemba kuna meengi ya kuyafanyia kazi
1. Sisi TZ Toyota wanatuuzia magari mata mbili ya bei,kenye wao kwao ni pungufu .
2. Tulimpigia makofi meengi basi atekeleze ahadi ya hao wakubwa watumia magari yao.
 
Serikali inaongoza mazuzu, majinga na mapoyoyo yasiyohoji na hayaelewi kama fedha zinazotumiwa na serikali ni zao na wanapaswa kuhoji matumizi yake.

Naiomba serikali inunue magari ya bilioni 1 ,2 au 3 mpk haya matanzania yaamke.
Ulifanikiwa kutoa mimba.?
 
Haya maajabu yapo Tza Waziri yupo kwenye v8 la Milioni 500 plus msafara wa magari na gharama ya mafuta isiyopungua milioni 6 anaenda pigia kelele chumba cha milioni 11.
 
Kwani Watanzania ni wajinga kwanini wasinunue pickup double cabin kama ni kwa safari?. Na pili wanaenda wapi wakati kuna viongozi Tanzania nzima. Yaani wewe ni Mkurugenzi Dodoma unaenda Mwanza kufanya nini hasa wakati kule kuna viongozi. Kama ni shughuli au ni kijijini kwenye tumia usafiri wako binafsi.

lakini Watanzania wengine wasio na V8 wanasafiri vipi?
Nilichogundua una wivu mkuu, unatamani utembelee gari ya ghali kuliko hata ya rais, waziri atembelee pikapu kabisa[emoji1787][emoji1787]
 
Haya maajabu yapo bongolala pekee ambapo maafisa wa serikali wanatumia magari ambayo hata wafanyabiashara wakubwa wanaoilipa kodi hawawezi kumudu kununua, only in bongolala can this happen!
 
Haya nayo ni majabu ya Tanzania. Pamoja na kwamba naunga mkono tozo lakini siungi mkono Serikali kununua magari ya kifahari. Magari ya kifahari tuwaachie watu binafsi na sio serikali.

Kwenye hili tusilaumu Serikali iliyopo pekee hata Kikwete na Magufuli walitumia pesa vibaya sana na hasa Magufuli kwenye ziara zake na misafara mikubwa.

Hakuna sababu ya msingi ya Serikali kushindwa kupata magari mazuri tena na warranty kwa 100M za Kitanzania.

Hatuwezi kuendelea kutetea Serikali kama haitachukua hatua za haraka kwenye hili. Serikali imekuwa ikijivuta vuta sana.

Natambua serikali ilitaka kuja na utaratibu wa kukopesha lakini wafanye haraka.
Cha kwanza ikatae tozo inayokwenda kinyume na katiba na sheria za nchi

Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
 
Haya nayo ni majabu ya Tanzania. Pamoja na kwamba naunga mkono tozo lakini siungi mkono Serikali kununua magari ya kifahari. Magari ya kifahari tuwaachie watu binafsi na sio serikali.

Kwenye hili tusilaumu Serikali iliyopo pekee hata Kikwete na Magufuli walitumia pesa vibaya sana na hasa Magufuli kwenye ziara zake na misafara mikubwa.

Hakuna sababu ya msingi ya Serikali kushindwa kupata magari mazuri tena na warranty kwa 100M za Kitanzania.

Hatuwezi kuendelea kutetea Serikali kama haitachukua hatua za haraka kwenye hili. Serikali imekuwa ikijivuta vuta sana.

Natambua serikali ilitaka kuja na utaratibu wa kukopesha lakini wafanye haraka.
Tunaongozwa na watu wasiostahili hilo wenzako hawawezi kuliona hata wale karoti shamba zima
 
Haya nayo ni majabu ya Tanzania. Pamoja na kwamba naunga mkono tozo lakini siungi mkono Serikali kununua magari ya kifahari. Magari ya kifahari tuwaachie watu binafsi na sio serikali.

Kwenye hili tusilaumu Serikali iliyopo pekee hata Kikwete na Magufuli walitumia pesa vibaya sana na hasa Magufuli kwenye ziara zake na misafara mikubwa.

Hakuna sababu ya msingi ya Serikali kushindwa kupata magari mazuri tena na warranty kwa 100M za Kitanzania.

Hatuwezi kuendelea kutetea Serikali kama haitachukua hatua za haraka kwenye hili. Serikali imekuwa ikijivuta vuta sana.

Natambua serikali ilitaka kuja na utaratibu wa kukopesha lakini wafanye haraka.
Kwasababu sisi wananchi ni wajinga.
 
Back
Top Bottom