Black Label
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 432
- 553
Walipa kodi bado kidogo lakini serikali nayo inatakiwa kupunguza matumizi
Msafara wa "Tuna imani nawe Mwigulah" ...Ni matumizi tu haya yasiyo na tija yoyoye...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walipa kodi bado kidogo lakini serikali nayo inatakiwa kupunguza matumizi
Ulifanikiwa kutoa mimba.?Serikali inaongoza mazuzu, majinga na mapoyoyo yasiyohoji na hayaelewi kama fedha zinazotumiwa na serikali ni zao na wanapaswa kuhoji matumizi yake.
Naiomba serikali inunue magari ya bilioni 1 ,2 au 3 mpk haya matanzania yaamke.
Yapo na wananunua pia, na pia ujue sio kila v8 ni ml400 zipo adi za 250Sheria,Iko sahihi mitumba ni ghali zaidi, lakini je hakuna magari mapya ya chini ya 300,?hakuna new brand60m? Tuamini kwamba serikali inamiliki magari ya300-500m?
Nilichogundua una wivu mkuu, unatamani utembelee gari ya ghali kuliko hata ya rais, waziri atembelee pikapu kabisa[emoji1787][emoji1787]Kwani Watanzania ni wajinga kwanini wasinunue pickup double cabin kama ni kwa safari?. Na pili wanaenda wapi wakati kuna viongozi Tanzania nzima. Yaani wewe ni Mkurugenzi Dodoma unaenda Mwanza kufanya nini hasa wakati kule kuna viongozi. Kama ni shughuli au ni kijijini kwenye tumia usafiri wako binafsi.
lakini Watanzania wengine wasio na V8 wanasafiri vipi?
Unajua % wanayokula ndani ya hii 'mikataba'Hatuwezi kuendelea kutetea Serikali kama haitachukua hatua za haraka kwenye hili. Serikali imekuwa ikijivuta vuta sana.
ZitachemshaWanunuliwe IST tu
Cha kwanza ikatae tozo inayokwenda kinyume na katiba na sheria za nchiHaya nayo ni majabu ya Tanzania. Pamoja na kwamba naunga mkono tozo lakini siungi mkono Serikali kununua magari ya kifahari. Magari ya kifahari tuwaachie watu binafsi na sio serikali.
Kwenye hili tusilaumu Serikali iliyopo pekee hata Kikwete na Magufuli walitumia pesa vibaya sana na hasa Magufuli kwenye ziara zake na misafara mikubwa.
Hakuna sababu ya msingi ya Serikali kushindwa kupata magari mazuri tena na warranty kwa 100M za Kitanzania.
Hatuwezi kuendelea kutetea Serikali kama haitachukua hatua za haraka kwenye hili. Serikali imekuwa ikijivuta vuta sana.
Natambua serikali ilitaka kuja na utaratibu wa kukopesha lakini wafanye haraka.
Tunaongozwa na watu wasiostahili hilo wenzako hawawezi kuliona hata wale karoti shamba zimaHaya nayo ni majabu ya Tanzania. Pamoja na kwamba naunga mkono tozo lakini siungi mkono Serikali kununua magari ya kifahari. Magari ya kifahari tuwaachie watu binafsi na sio serikali.
Kwenye hili tusilaumu Serikali iliyopo pekee hata Kikwete na Magufuli walitumia pesa vibaya sana na hasa Magufuli kwenye ziara zake na misafara mikubwa.
Hakuna sababu ya msingi ya Serikali kushindwa kupata magari mazuri tena na warranty kwa 100M za Kitanzania.
Hatuwezi kuendelea kutetea Serikali kama haitachukua hatua za haraka kwenye hili. Serikali imekuwa ikijivuta vuta sana.
Natambua serikali ilitaka kuja na utaratibu wa kukopesha lakini wafanye haraka.
Kwasababu sisi wananchi ni wajinga.Haya nayo ni majabu ya Tanzania. Pamoja na kwamba naunga mkono tozo lakini siungi mkono Serikali kununua magari ya kifahari. Magari ya kifahari tuwaachie watu binafsi na sio serikali.
Kwenye hili tusilaumu Serikali iliyopo pekee hata Kikwete na Magufuli walitumia pesa vibaya sana na hasa Magufuli kwenye ziara zake na misafara mikubwa.
Hakuna sababu ya msingi ya Serikali kushindwa kupata magari mazuri tena na warranty kwa 100M za Kitanzania.
Hatuwezi kuendelea kutetea Serikali kama haitachukua hatua za haraka kwenye hili. Serikali imekuwa ikijivuta vuta sana.
Natambua serikali ilitaka kuja na utaratibu wa kukopesha lakini wafanye haraka.
Hatimae wamekubali kupunguza misafara isiyo na tija, pamoja na mambo mengine ili kuondoa tozo🏇View attachment 2356029
Msafara wa "Tuna imani nawe Mwigulah" ...Ni matumizi tu haya yasiyo na tija yoyoye...
Mbona kapanda bus?Unataka gari ya Raisi wa Nchi inunuliwe harrier?