Wewe badala ya kujibu hoja unakuja na mihemko yko kma umevuta bangi mbichi,nafasi za uteuzi zimeisha kuna wenzako jf elizaboni,jingalao,stroke,,ruta wamepiga debe miaka hata ukatibu kata hawakupewa,
Unakuja n porojo zko dhaifu eti hapa kazi tu wakti comedy ndio kazi tu kwasasa hakuna jipya lolote dawa hosp hakuna,ajira hakuna,mishahara shida,makampuni makubwa kma tbl,cocacola,tanzania distillers wanapunguza wafanyakazi.
Wakti tbl ndio mlipa kodi mkubwa no 1 tanzania halafu wewe unakuja na porojo zko za makonda hapa,shubaaamitt