Kwanini Serikali inaogopa wachunguzi wa Kimataifa?

wewe binafsi utachangia bei gani tuwalete?
 
Wewe badala ya kujibu hoja unakuja na mihemko yko kma umevuta bangi mbichi,nafasi za uteuzi zimeisha kuna wenzako jf elizaboni,jingalao,stroke,,ruta wamepiga debe miaka hata ukatibu kata hawakupewa,
Unakuja n porojo zko dhaifu eti hapa kazi tu wakti comedy ndio kazi tu kwasasa hakuna jipya lolote dawa hosp hakuna,ajira hakuna,mishahara shida,makampuni makubwa kma tbl,cocacola,tanzania distillers wanapunguza wafanyakazi.

Wakti tbl ndio mlipa kodi mkubwa no 1 tanzania halafu wewe unakuja na porojo zko za makonda hapa,shubaaamitt
 
Kweli.watu wengine ni vichwa vigumu Ben ni binaadamu ana familia
 
Police na vyombo vyetu vingine wanaiweza hii kazi haihitaji hayo. Tutawakamata tuuu.
Labda kama atapatikana Mulundi mwingine kutoka Kenya na kwenda kanisani kwa Gwajima kukiri ndiye aliyemteka Ben. Mwenye taarifa za yule Mulundi wa Ulimboka aliishia wapi tunaomba atujulishe, mara ya mwisho alikuwa amegoma kula kule mahabusu. Kitengo kina sanaa nyingi.
 

Be reasonable what you say. Ametoa maoni na ushauri wake. Kuna tatizo kubwa, watu wamepotea katika mazingira ya kutatanisha, sasa ni miezi sita na zaidi, na hakuna hata dalili kwamba kuna utatuzi umepatikana. Unataka mpaka baba yako apotee ndipo utaoana hilo kama tatizo kubwa? don't be an idiot.
 
Ina maana hatuna wachunguzi waliobobea nchini? Usitutie Aibu
 
we jamaa hovyo sana CHADEMA si wanaccho kitengo cha inteligensia kwa nini wasichunguze mnataka serikali tu? kwa taarifa yako file la uchunguzi kuhusu Ben limeshafungwa mmemficha wenyewe halafu mnasumbua watu
 
Inaogopa !!
Nawe umeona uwadanganye wakudanganywa
 
Kila mchuma janga hula na wa kwao. Ben kachuma janga kwa yote aliyokuwa akiyafanya. Kama madhara kayapata kwa kuwa msaidizi wa karibu wa Mbowe ni yeye ndiye aliyekubari kuwa huko. Kama kupotea kwake ni kwa ajili ya michango kwenye mitandao ya kijamii ni yeye mwenyewe aliamua hivyo. Kama amejificha ili kupata kiki ni yeye mwenyewe aliamua hivyo. Hivyo hana budi kula na wa kwao ambao ni ndigu zake na chama chake. Serikali ilipofikia isubiri mwenye taarifa.
 
Wewe unatakiwa kukamatwa na kusema Ben alipo kwani kwa maneno yako inaonekana unajua alipo au alipelekwa wapi au nini kilimpata.
 
Eti wachunguzi wa kimataifa? Kwa matukio yapi haswaa? Au Ben Saanane ambaye bosi wake Mbowe hakushtuka wala kuona umuhimu wa kuripoti tukio la kupotea kwake hadi pale watu walipoanza kupiga kelele mitandaoni.
 
Kwahiyo wewe unaepiga porojo mamvi ashakupa kitu gani ?
 
Nahisi ni afadhali Maumivu ya kufiwa na mtu(ndugu, jamaa, rafiki, mtoto n.k) sababu unajua ameshafariki na hutoonana nae tena hapa duniani kuliko Maumivu ya kupotelewa na mtu ambae hufahamu yuwapi aidha amekufa au bado mzima. Inauma na kusikitisha sana. Mwenyezi mungu aipe subra na moyo wenye imani familia ya ndugu Ben maana ninaimani tutampata akiwa mzima inshaallah.
 
Mungu huwa anafundisha na kutoa majibu kwa muda autakao,kama sio wewe basi ndugu au jamaa zako au kizazi chako kinaweza kuja kupata kadhia kama hii.kweli ndugu yako au jamaa yako angepotea kwenye mazingira kama haya miezi sita imeshapita kweli ungeandika kama ulivyoandika?
 
we jamaa hovyo sana CHADEMA si wanaccho kitengo cha inteligensia kwa nini wasichunguze mnataka serikali tu? kwa taarifa yako file la uchunguzi kuhusu Ben limeshafungwa mmemficha wenyewe halafu mnasumbua watu
kama ben kafichwa na chadema wenyewe bc waruhusu intelejisia za kimataifa waje wachunguze tujue chadema ndio wamefanya na km wamefanya wao wewe hauoni n mtaji tosha kwa CCM kwenye chaguzi zijazo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…