Kwanini Serikali inaogopa wachunguzi wa Kimataifa?

Wachunguzi wa kimataifa kwa ajili ya Ben Sanane? Una roho ngumu sana. Police na vyombo vyetu vingine wanaiweza hii kazi haihitaji hayo. Tutawakamata tuuu.

Toka lini MTEKAJI akajichunguza?
 
Mkuu kwanini cdm isilete mchunguzi wke kutoka huko uk afanye uchunguzi kimyakimya na kutoa jibu ili tujue ukweli kma kijana mwenzetu nani kamfanyia ubaya

Hauwezi kuleta wachunguzi bila serikali kuwakubali na kamwe hii serikali haiwezi kukubali wachunguzi kutoka nje ya nchi.
 
Mkuu kwanini cdm isilete mchunguzi wke kutoka huko uk afanye uchunguzi kimyakimya na kutoa jibu ili tujue ukweli kma kijana mwenzetu nani kamfanyia ubaya

Unafikiri watapata ushirikiano mzuri kama Serikali imekataa??Unadhani kwanini serikali imekataa unafikiri AG na WM hawajui nani yuko nyuma ya kupotea kwa Ben??
 
kama ben kafichwa na chadema wenyewe bc waruhusu intelejisia za kimataifa waje wachunguze tujue chadema ndio wamefanya na km wamefanya wao wewe hauoni n mtaji tosha kwa CCM kwenye chaguzi zijazo...

Mtekaji akubali kuchunguzwa,labda awamu iwe nyingine
 

Ni kweli kabisa vyombo imara uchunguzi Miezi sita na bado kuna utata hata kutoa habari.Ni kweli wakija wachunguzi toka nje siri za Serikali zitatoka na watekeaji kujulikana na serikali siyo rahisi kukubali siri za mauaji yanayofanywa na kitengo maalum kujulikana kikishirikiana kwa karibu na baadhi ya UVCCM chini ya Green guard.

AG na WM wanaujua ukweli macho,masikia na lugha ya miili yao inajionyesha.Ila kikubwa hakuna siri ya watu wawili
 
Wewe unatakiwa kukamatwa na kusema Ben alipo kwani kwa maneno yako inaonekana unajua alipo au alipelekwa wapi au nini kilimpata.
Basi waanze na Mbowe atwambie siku hiyo alimtuma wapi au alimuaga anakwenda wapi? Aliposhindwa kurudi alifanya nini? Na kwanini alishindwa kutoa taarifa polisi saa ishirini na nne toka alipopotea? Mpaka baada ya mwezi ndipo wanakuja kujitoa kimasomaso.
 
1+1-_2 wanahusika.
 
Jibu ni rahisi sana , Wachunguzi wa kimataifa hawapokei maagizo yoyote kutoka juu , wakifika watatufunua waziwazi .
 
[HASHTAG]#BringbackBenSaanane[/HASHTAG]
 
Wachunguzi wa kimataifa kwa ajili ya Ben Sanane? Una roho ngumu sana. Police na vyombo vyetu vingine wanaiweza hii kazi haihitaji hayo. Tutawakamata tuuu.
Mpumbavu wew usiyejielewa..gharama za scotland yard zitalipwa na wew?? Unajua ni kiasi gani familia yake inaumia kumkosa kijana wao na serikali haitoi majibu..wakati mwingine funga kombo gani usioneshe watu how stupid you are
 
UTG ni Union of Tutokeje Group. Mkasome hata Ultimatum za Austria-Hungary na mjiulize why ile ya external investigators ilikaliwa.
Mnaleta brah brah hata OUR NATION form One ulifeli kudefine Sovereignty?
Au unataka iwe chance ku-claim kuwa hamna trust na dola ya nchi even in other issues?
Mmefeli.
 
Mpumbavu wew usiyejielewa..gharama za scotland yard zitalipwa na wew?? Unajua ni kiasi gani familia yake inaumia kumkosa kijana wao na serikali haitoi majibu..wakati mwingine funga kombo gani usioneshe watu how stupid you are
Unahisi ni Ben tu aliyepotea? Au aliyejiteka? Tunza ujinga wako wewe.
Tunaanzaje kuruhusu huo ujinga? Nchi ina maslahi mapana kuliko kelele zenu na michezo ya kitoto.
[HASHTAG]#TunzaUjingaWako[/HASHTAG]
 
Unahisi ni Ben tu aliyepotea? Au aliyejiteka? Tunza ujinga wako wewe.
Tunaanzaje kuruhusu huo ujinga? Nchi ina maslahi mapana kuliko kelele zenu na michezo ya kitoto.
[HASHTAG]#TunzaUjingaWako[/HASHTAG]
Kwani wakifanya utafiti wew ina kuuma nin?? Tatizo humo kichwani umejaza kinyesi cha mavi ya kuku...huo ujinga wako peleka huko instagram kwa watot wenzako wa sekondari maana naona likizo yenu ya pasaka haijaisha...choko wew usiyejielewa..
 
Siku akipotea wa damu yako ndio utajua kuwa huu mchango wako wa leo hauna maana
 
Unahisi ni Ben tu aliyepotea? Au aliyejiteka? Tunza ujinga wako wewe.
Tunaanzaje kuruhusu huo ujinga? Nchi ina maslahi mapana kuliko kelele zenu na michezo ya kitoto.
[HASHTAG]#TunzaUjingaWako[/HASHTAG]
Mungu akuwezeshe umpendae apotee utajua waliopotelewa na jamaa zao wanajisikiaje.
 
Kuna watu wajinga sana nchi hii unapoongelea uhai wa mtu halafu wanakuja humu kupost utumbo wao nachukia sana tumwangalie Ben Kama kaka yako tumwangalie Ben kama mdogo wako tumwangalie Ben kama mjomba wako tumwangalie Ben kama mtoto wako vaa hivyo viatu halafu njoo na ujinga wako unaopost msiba usikie kwa jirani mzee Focus saanane alisema Ben ni mtoto wake sio mbuzi ana haki kujua yuko wapi au kama amekufa basi wafanye matanga wamalize lakini ni mwezi wa Sita sasa mtoto wake haonekani na wala serikali haijali tunachotaka kujua hapa watanzania kama amekufa tujue tuweke msiba tumalize matanga maisha yaendelee ndio msingi mkuu uliotoa swali kwa waziri mkuu miezi Sita hakuna trace yoyote iliyofanyika hata Mimi nashawishika kuomba Scotland yard Waje kutusaidia kuondoa sintofahamu hii
 
Wachunguzi wa kimataifa kwa ajili ya Ben Sanane? Una roho ngumu sana. Police na vyombo vyetu vingine wanaiweza hii kazi haihitaji hayo. Tutawakamata tuuu.
Miezi 6 hata kutrace mawasiliano mmeshindwa.komsingi hamjaonesha nia ya kusghulika na hili suala kwa dhati.hivyo kuna kila sababu ya kuita wachunguzi wa kimataifa.Ni akili za kiBASHITE(0%) TU ndio zinaweza kuwa na mlengo WAKO.
 
Kwani wakifanya utafiti wew ina kuuma nin?? Tatizo humo kichwani umejaza kinyesi cha mavi ya kuku...huo ujinga wako peleka huko instagram kwa watot wenzako wa sekondari maana naona likizo yenu ya pasaka haijaisha...choko wew usiyejielewa..
1-Usalama wako unakuwa endanger hasa ukizingatia ni mambo yanayohusu ulinzi wako na itakuwa rahisi kujua mnavyifanya kazi
2-Kugaramia jambo ambalo lipo ndani ya uwezo ni ujinga pia
3-Hawaaminiki vile vile, they can be used either na serikali zao au institutions za kutimiza agenda zao,ee can't rely on them!
4-Taasisi zenu za upelelezi zinauwezo mkuwa na ndomana unatoa macho kwenye simu ukiwa salama kabisa, kufanya hivyo ni kuwashusha na kuwafisha moyo.
KAMA HUJAELEWA SABABU, ULIZA TENA
 
Kwani wakifanya utafiti wew ina kuuma nin?? Tatizo humo kichwani umejaza kinyesi cha mavi ya kuku...huo ujinga wako peleka huko instagram kwa watot wenzako wa sekondari maana naona likizo yenu ya pasaka haijaisha...choko wew usiyejielewa..

hii inahitaji elimu kidogo tu ya ufahamu
1-Tuna institution zinazojitosheleza na kamwe hazijasema zimeshindwa.
2-mtoa wazo hajaishia hapo kaenda mbele kwa kupendekeza *uingereza* sisi tunahoji kwanini uingereza??
3-Anapokuja kutajwa kwenye hili huoni tayar anaandaa mazingira ya kusema hana imani na uchunguzi wa vyombo vyetu??anatuandaa psychological mapema!
 
Wachunguzi wa kimataifa kwa ajili ya Ben Sanane? Una roho ngumu sana. Police na vyombo vyetu vingine wanaiweza hii kazi haihitaji hayo. Tutawakamata tuuu.
Angepotea jesca ndo wangeitwa wachunguzi wa kimataifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…