Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Kweli,ni wapumbavu sana.Wanasiasa wa nchi hii ni wapumbavu na malofa, hawana hata huruma na vijana wanaosota mtaani tangu kumaliza vyuo. I repeat ni wapumbavu!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli,ni wapumbavu sana.Wanasiasa wa nchi hii ni wapumbavu na malofa, hawana hata huruma na vijana wanaosota mtaani tangu kumaliza vyuo. I repeat ni wapumbavu!!!
Na kama walidhamiria kuwaajiri waliokuwa wanajitolea kwanini hawakwenda moja kwa moja kwenye mashule tena kwa siri wakachukua majina yao?Kwenye tangazo la ajira kada ya afya na ualimu kigezo ni wahitimu waliomaliza kati ya 2012-2019.
Lakini leo bungeni waziri Ummy anasema wataajiri waliomaliza kati ya 2012 na 2015. Sasa kulikuwa na maana gani ya kuwambia waliomaliza kati ya 2016 hadi 2019 kuomba hizi ajira ikiwa kipaumbele ni wahitimu wa 2012?
Jambo lingine la kujiuliza, kipindi cha nyuma mh. Jakaya alikuwa akiajiri wahitimu kwa maelfu, sasa hawa wa 2012 wanatoka wapi au ni wale waliotumbuliwa kwa vyeti feki wanataka kurudishwa kivingine?
Mbona toka serikali ya awamu ya tano ianze kuajiri wahitimu wa miaka ya nyuma wamekuwa wakipewa kipaumbele . Je , wapo wengi kiasi gani kwamba wao hawaishi?
Umesahau na kagawa K kwa dada zetuAjira zikirudishwa halmashauri ndio majanga zaidi maana ili upate utategemea kuwa na kimojawapo kati ya hivi vitatu
1. Rushwa
2. Kujuana
3. Undugu
Ukikosa kimoja wapo kati ya hivyo utasota milele
Ni rushwa hiyo mkuu... namba mokoUmesahau na kagawa K kwa dada zetu
Sehemu yoyote ambayo kuna binadamu lazima kuwe na risk ya rushwa, kujuana na undugu. Mbona hata tume ya ajira bado wanalalamikiwa kwa hayo?Ajira zikirudishwa halmashauri ndio majanga zaidi maana ili upate utategemea kuwa na kimojawapo kati ya hivi vitatu
1. Rushwa
2. Kujuana
3. Undugu
Ukikosa kimoja wapo kati ya hivyo utasota milele
Jiwe aliwaita walimu wa art ni wasaniiMwalimu wa Arts 🤣
Sasa hao ndo walifanya makusudi wenyw kbs. Hao ata nafasi wasipewe maana wanawazibia wenzao rizkiKuanzia hiyo 2012 watu walipangiwa vituo kabla hata matokeo ya mwisho hayajatoka, ukiona hivyo wengi waliukimbia ualimu na kwenda private, Sasa huko mazingira sio rafiki tena wanaamua kurejesha majeshi.
Wazir ameweka wazi kabisa kuna watu waliripoti na wakala na mishahara kabisa na mpaka kukopa kwenye mabenki na wakakimbia, sasa hapa ndio anatakiwa kuwa makini kwenye hizo ajira kinyume chake anaenda kuajiri majambazi na wahujumu uchumi.
Umeongea point nzuri kbs. Hao hawana nafasi ni kwasbb ya upumbavu wao. Wasiwazibie wenzao rizkiChini ya hapo kikwete alikuwa anaajiri wote , ni upumbavu Tu kumpa nafas ya pili mjinga wakat kuna watu kibao wanatamani hata hyo first chance.....!! Kama alidharau nafas ya kwanza hakuna haja ya kumpa nafas ya pili katika mazingira ambayo maelf ya vijana wanalilia ajira
Yani sasa hivi ni full kuvurugana. NB; mwanangu hatokuja kua mtumwa wa ajira kama ninavyopambana baba ake sasa hivi...Kwenye tangazo la ajira kada ya afya na ualimu kigezo ni wahitimu waliomaliza kati ya 2012-2019.
Lakini leo bungeni waziri Ummy anasema wataajiri waliomaliza kati ya 2012 na 2015. Sasa kulikuwa na maana gani ya kuwambia waliomaliza kati ya 2016 hadi 2019 kuomba hizi ajira ikiwa kipaumbele ni wahitimu wa 2012?
Jambo lingine la kujiuliza, kipindi cha nyuma mh. Jakaya alikuwa akiajiri wahitimu kwa maelfu, sasa hawa wa 2012 wanatoka wapi au ni wale waliotumbuliwa kwa vyeti feki wanataka kurudishwa kivingine?
Mbona toka serikali ya awamu ya tano ianze kuajiri wahitimu wa miaka ya nyuma wamekuwa wakipewa kipaumbele . Je , wapo wengi kiasi gani kwamba wao hawaishi?
Mfumo wa serikali mtu hawezi kuajiriwa mara mbili yaani hakuna check namba mbili Kwa mtu mmoja.Kuanzia hiyo 2012 watu walipangiwa vituo kabla hata matokeo ya mwisho hayajatoka, ukiona hivyo wengi waliukimbia ualimu na kwenda private, Sasa huko mazingira sio rafiki tena wanaamua kurejesha majeshi.
Wazir ameweka wazi kabisa kuna watu waliripoti na wakala na mishahara kabisa na mpaka kukopa kwenye mabenki na wakakimbia, sasa hapa ndio anatakiwa kuwa makini kwenye hizo ajira kinyume chake anaenda kuajiri majambazi na wahujumu uchumi.
Upo sahihi sana mkuu maana haingilii akilini mtu uliyemwajiri akakimbia baadaye anarudi kuomba kazi ile ile. Sasa Mtu kama huyu ukimpa ajira unakuwa na uhakika gani kwamba hatakukimbia tena??Chini ya hapo kikwete alikuwa anaajiri wote , ni upumbavu Tu kumpa nafas ya pili mjinga wakat kuna watu kibao wanatamani hata hyo first chance.....!! Kama alidharau nafas ya kwanza hakuna haja ya kumpa nafas ya pili katika mazingira ambayo maelf ya vijana wanalilia ajira
Halafu mbona kwenye tangazo la ajira la mwaka jana year interval ilikuwa wahitimu wa 2014-2019 iweje mwaka huu warudishe miaka nyuma hadi wa 2012 & 2013??. Kuna kitu hapa sio bureHawa wa 2012 ni wale walianza private ili badae waingie serikalini sasa baada ya kuona upepo hautabiliki nao wanaomba waajiliwe na serikali
Umemnena sahihi kaka,kama mtu hakuajiliwa kipindi cha JK huenda aliikimbia kazi hasahasa ya ualimuChini ya hapo kikwete alikuwa anaajiri wote , ni upumbavu Tu kumpa nafas ya pili mjinga wakat kuna watu kibao wanatamani hata hyo first chance.....!! Kama alidharau nafas ya kwanza hakuna haja ya kumpa nafas ya pili katika mazingira ambayo maelf ya vijana wanalilia ajira
Tume ya ajira ilikuwa ikilalamikiwa zamani lakini baada ya kuanzishwa kwa ajira portal sijasikia tena malalamiko kama hayoSehemu yoyote ambayo kuna binadamu lazima kuwe na risk ya rushwa, kujuana na undugu. Mbona hata tume ya ajira bado wanalalamikiwa kwa hayo?