Kwanini Serikali inawambia watu ambao haiwezi kuwaajiri waombe nafasi za ajira?

Kwanini Serikali inawambia watu ambao haiwezi kuwaajiri waombe nafasi za ajira?

Bado yapo malalamiko mengi sana mkuu. Fuatilia utajionea mwenyewe.
Hata ufanyeje malalamiko hayawezi kuisha mkuu. Wabongo asili yetu ni kulalamika na kulaumu kwa kila jambo hata kama lina manufaa sisi ni kulalamika tu kwakwenda mbele ila mfumo wa ajira portal kwa kiasi kikubwa umepunguza urasimu na wengi wamafurahishwa nao. Wachache wanaolalamika achana nao maana sio kila kitu kitapendwa na kila mtu
 
Sasa hao ndo walifanya makusudi wenyw kbs. Hao ata nafasi wasipewe maana wanawazibia wenzao rizki
Wazir kashasema na kuna hoja kaiona kwao ndio maana, halafu kama Taifa hatuwezi kutoa ajira kwa mitego. Kama yupo Mtanzania kapata fursa ya kwenda kujiendeleza hata nje aende na akurudi apewe nafasi kama zipo ili kuleta ufanisi zaid.
 
Kwenye tangazo la ajira kada ya afya na ualimu kigezo ni wahitimu waliomaliza kati ya 2012-2019.

Lakini leo bungeni waziri Ummy anasema wataajiri waliomaliza kati ya 2012 na 2015. Sasa kulikuwa na maana gani ya kuwambia waliomaliza kati ya 2016 hadi 2019 kuomba hizi ajira ikiwa kipaumbele ni wahitimu wa 2012?

Jambo lingine la kujiuliza, kipindi cha nyuma mh. Jakaya alikuwa akiajiri wahitimu kwa maelfu, sasa hawa wa 2012 wanatoka wapi au ni wale waliotumbuliwa kwa vyeti feki wanataka kurudishwa kivingine?

Mbona toka serikali ya awamu ya tano ianze kuajiri wahitimu wa miaka ya nyuma wamekuwa wakipewa kipaumbele . Je , wapo wengi kiasi gani kwamba wao hawaishi?
Hapo hakuna ajira mpaka sasa pdf ya majina feki imeshaandaliwa, nibora yule ambaye hakuajiri kabisa kuliko huu unafiki unaoendelea.
 
Back
Top Bottom